Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Nilijua kuwa Makonda kwa staili na hulka yake hasingeweza kubaki kwenye nafasi ya Katibu mwenezi wa CCM kwa muda mrefu na imetokea.

Pia Makonda kubaki RC wa Arusha ni suala la muda tu.

Makonda ameshawekwa kati na kamati ya maadili ya CCM na hiyo ni dadili mbaya kwake.

Cha msingi zaidi ni washauri wa kisiasa wa rais Samia ambao ni dhahiri hawamshauri vizuri katika mambo mengi.

Sasa hivi Makonda atabaki madarakani kwa kitambo kidogo kuondokana na aibu ya teua tangua lakini mwishoni ataachwa mazima. Tusubiri muda ufike.
Kwani wewe unaona makonda ana kosa gani. Au ni wale wenye kwenda na nani wako na madaraka. Kwetu sisi Makonda yuko sahihi kwa kua anatetea kweli na haki. Isitoshe mtindo wake hua na matokeo. Hao wenye kupinga mtindo wake wa uongozi ni wale wababaishaji wenye nia ya kukingia kifua watu na viongozi dhulumati. CCM ni chama cha mapinduzi ila kuna wapinga maendeleo wamekiteka tena baada ya magufuli kuondoka. Kuwaabisha vigogo fisadi na wazembe mbele ya mikutano ya hadhara ni mfumo wa kimapinduzi. Hatukanwi mtu ila maelezo yake kuhsu kero ya mwananchi itaonyesha anawajibika kwa kiwango gani kwenye utumishi wa umma.
 
Sifa kubwa ya mwanasiasa ni kuwa na uwezo wa kutunga na kubuni sera nzuri bila kusahau kuwa na ushawishi au umaarufu kwa watu, sera nzuri peke yake haitoshi.

Si mtazami makonda kama mwanasiasa bali namtazama kama mwanasaikolojia wa siasa na kijana anayetafuta ridhiki ili ajikimu kimaisha, Licha ya kutokea ktk familia masikini na skendo alizopitia huyu mwamba ila bado anapambana na hakauki midomoni mwa watu kwa kuja na style ndogo ndogo ambazo wengi huziona za kijinga ila ndizo zinazompa umaarufu na kumfanya apate trendView attachment 2974302

Mwaka 2015 wakati Raisi Magufuli kachukua nchi alitamka kuwa ktk orodha yake ya wakuu wa mikoa itakayotoka mtu pekee ambaye tayari ananafasi kwenye mkeka ni Paul Makonda,

Huyu ndiye mwamba pekee anaeweza kumuweka raisi yeyote close akawa kama mshikaji wake licha ya kuwa na cheo kidogo. Wengi mtachukulia poa lakini ni kazi ngumu sana,

Huyu ndiye mtu pekee Tanzania mwenye uwezo wa kiutrend mwaka mzima.

Yeye siku zote huanzisha trend na ni mjanja mjanja sana anawazidi wanasiasa wengi sana hapo CCM

Mnaikumbuka kauli yake ya juzi kwa raisi samia kuhusu mawaziri wanaolipa watu wamchafue taisi mtandaoni kuwa anawajua na ayawatataja na kuwaonya waache! Ile ni mbinu ya kivita ya kumuweka close mama, wazungu wanasema The enemy of your enemy is your friend

wanasiasa wasaka fursa mnachakujifunza kwa Makonda yule ni mwanasaikolojia wa siasa hawezi kulala njaa mjini
mara nyingi viongozi wenye uthubutu kwenye mambo madogo hujijengea uzoefu na umahiri mkubwa sana kwenye jamii na huaminika zaidi wanapopewa dhamana kwenye kushughulika na mambo makubwa kutokana na uthubutu wao kwenye madogo 🐒

viongozi wengi wa kisiasa hung'ang'ana na mambo makubwa hali ya kua madogo hawajafanya chochote. Matokeo yake huonekana wa kawaida tu kwasabb hata hayo makubwa yenyewe hakuna wanalofanya 🐒
 
Vipi kuhusu Shaka Hamdu Shaka ma Bi. Sophia Mjema nao hawakukaa muda mrefu kwenye nafasi ya uenezi. Una lolote la kuwasemea?

Jokate Mwengelo amedumu kama katibu wa UWT taifa miezi miwili tu. Je una chochote cha kuchambua?
Shaka alipotoka Uenezi akaenda kuwa Mkuu wa wilaya Makonda alipotoka kwenye Uenezi akaenda kuwa Mkuu wa mkoa

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
mara nyingi viongozi wenye uthubutu kwenye mambo madogo hujijengea uzoefu na umahiri mkubwa sana kwenye jamii na huaminika zaidi wanapopewa dhamana kwenye kushughulika na mambo makubwa kutokana na uthubutu wao kwenye madogo 🐒

viongozi wengi wa kisiasa hung'ang'ana na mambo makubwa hali ya kua madogo hawajafanya chochote. Matokeo yake huonekana wa kawaida tu kwasabb hata hayo makubwa yenyewe hakuna wanalofanya 🐒
Point
 
Wamerekani wametoa tamko kuwa kama makalio makubwa ataendelea kuwa RC wamerekani hawataenda kutembelea mbuga za wanyama tena kupitia Arusha.
Ndiyo maana siku zote nasema wewe ni MPUMBAVU, kwasababu ya chuki na upumbavu uliokujaa kichwani huoni shida kutunga uongo kama huu.
Habari njema kwako ni kuwa WAPUMBAVU wenzio humu jf watameza uongo na uzushi huu bila hata kutafakari.
 
Kwa hiyo Makonda anashindana nao katika kuua?
blaah blaah za sijui amefungiwa kuingia marekani inefika kipindi hzio sio point za kuwambia watu wenye akili maana marekani yenyewe ndo inaogoza kwa mauji duaniani na kudhulumu haki za watu kuishi
 
Makonda ni kijana mzuri sana

Namwombea kwa Mungu amtumie huyu kijana kwa ajili ya Tanzania
Ombea mzazi wako sio hawa wafhulumati. Huyo mpiga filimbi ni mcheza ngoma yeye vigelegele yeye mkata mananiliii yeye.
Ni mchafu sawa na hao anaowatuhumu
Anasema sababu anajua ndiyo mnayotaka kusikia
 
Kipi kizuri kimoja tu alichokifanya ambacho unaeza sema ona ile,huyo mjanjamjanja tu,ndo maana magu alimshtukia akampiga chini,anatumia njia ya kijuana na viongozi
Msamehe tu huyo aliyesema ni mzuri. Tatizo wabongo anayepiga porojo ndio anaonekana mtenda kazi zaidi.
 
Msikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.

hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.

inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.


Mungu ambariki Makonda, sisi watanzania we are proud of you! Wewe ndiye unayeielewa Tanzania ya sasa. Bravo! Mungu akulinde e Makonda
 
Msikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.

hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.

inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.


Ye mwenyewe amesahau nguvu zake.,?
 
Sijui na sidhan kama kwa sasa kuna Kiongozi tena Mkuu wa Mkoa tu ambaye anaweza kuwa na Backup ya Viongozi wa Dini kama alivyokua Mh Paul Makonda.

Hakuna na hakuna hakika!!.

Kwakua ukikubalika na Dini ,umekubalika Mbinguni .

Aliyesema Makonda, ndiye yule Ajaye, hakulopoka, alisema haya kwa sababu aliona anafaa na kustahili.
Are you for real bro?
 
You deserve this mr punk ass
 

Attachments

  • 20240421_105803.jpg
    20240421_105803.jpg
    32.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom