Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

'wale ambao wanajiona wana madaraka sana kuliko mimi hamnijui, mimi ni mtu mkubwa kuliko wao' wajuvi tunaomba mtujuze hayo mamlaka aliyokuwa nayo konda boy yanayozidi hadi ya waziri mkuu.........
 
No comment
Itakuwa unampenda weweee,kumbeeee...
Nivema atakuwa amepewa haki ya ama kulisafisha jina lake ama kuwafundisha vijana wanaokurupuka wapewapo uongozi kubwa mwisho wa ubaya aibu!
Wenye ushahidi wajitokeze sasa taifa lipone japo najua sirkali itampambania ashinde
 
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Mkubwa Fella😅😅😅
 
Kuna msemo wa lugha ya Kiswahili wenye maneno, "Ukikaa karibu na waridi na wewe hunukia waridi".

Lakini kwa kujiongeza zaidi, kinyume cha msemo, ukiondoa neno "waridi" na kuweka kitu chenye kutoa harufu yenye kunuka, maana yake hubakia ileile.

Kwa utawala uliopita, alikaa karibu sana na waridi na akanukia hilo, ijapokuwa alikuwa akitenda ubaya ili kumfurahisha bosi wake. Sasa waridi lake halipo tena, yupo mikononi mwa wabaya wake na wengine wengi aliowahi kuwaumiza.

Atavuna alichopanda, kama ana mtu mzito aliyekaribu na familia ya Msoga ni wakati muhimu kwake wa kutafuta upatanisho.
Amekwishatuma watu kadhaa anaowaamini, kuomba huo upatanisho. Mzee wa watu kawaambia kuwa alisamehe tangu wakati huo huo ambapo Makonda alikuwa akimnanga. Hivyo haoni na wala hakuna haja ya kuombwa msamaha. Wote jibu wanalopewa ni moja. Lakini amekuwa anayafanya yote hayo ili ikiwezekana arudishwe serikalini, hata kwa nafasi ya uDC.

Sasa naona badala ya kuoewa cheo huku uraiani, huenda akapata cheo cha unyapara gerezani.
 
Hizi kesi mbona sijazielewaaa. Sasa wanampeleka mahakamani kwa kosa lipiii?? Au inaaamaa kila aliyefanya makaosa ya kiutendaji naye apelekwe mahakamaniii? Nani mkamilifu kiutendajii?? Tutakamata wangapiii
 
Huyo baba na mama mzazi mbona hawamjui Paul Makonda kwenye familia yao, hawamhusu. Mama mzazi aliwahi kusema kwenye runinga wanaona picha ya mtoto wao lakini jina si la mtoto wao! Mtoto wao akasema anaitwa Daudi Bashite, sasa atakayefikishwa mahakamani ni nani kati ya hawa wawili?
Mahakama itahitaji Picha tu..wakisema Paulo na Daudi waje..si picha zitalinganishwaa?
 
Clouds walishamkana huyo Mwanasheria wenu uchwara naona anatafuta kick kupitia jina la Makonda na msifikiri Kila mtu anafurahia kuona mtu mwingine anateseka kwa sababu TU ya chuki za kisiasa na kuna maisha mengine nje ya siasa
 
Hiyo ndiyo inayosababisha ugumu wa kupata KATIBA mpya watu wengi wanatamani waliopo madarakani washtakiwe wao wanatafuta Kinga ya kutoshtakiwa.

Binadamu wa kiafrika wanatabia za kipare wanaweza kuuza mbuzi kwa kesi ya kuku.

Wekeni bayana makosa ya Makonda @ Bashite ili tuyalinganishe na makosa yaliyowahi kufanywa na viongozi wengine waliowahikutokea.
 
Clouds walishamkana huyo Mwanasheria wenu uchwara naona anatafuta kick kupitia jina la Makonda na msifikiri Kila mtu anafurahia kuona mtu mwingine anateseka kwa sababu TU ya chuki za kisiasa na kuna maisha mengine nje ya siasa
Makonda ndio alikuwa anafurahia kuons wenzake wakiteseka.


Karma haiwezi kumuacha, na haijawahi kumuacha mtu salama. Vipi wewe ndio wale machawa wake?
 
Hiyo ndiyo inayosababisha ugumu wa kupata KATIBA mpya watu wengi wanatamani waliopo madarakani washtakiwe wao wanatafuta Kinga ya kutoshtakiwa.

Binadamu wa kiafrika wanatabia za kipare wanaweza kuuza mbuzi kwa kesi ya kuku.

Wekeni bayana makosa ya Makonda @ Bashite ili tuyalinganishe na makosa yaliyowahi kufanywa na viongozi wengine waliowahikutokea.
Makonda ni jambazi kama majambazi wengine, subiri kortini ndio utajuwa kimya kingi kina mshindo.
 
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Je vipi na maswahiba wake, Akina mnyeti, hapi, muro tuanze kuwaomba wajiandae na kuanza kupata uzoefu Kwa swahiba wao🤔?
 
Mbona Riziwani Kikwete ndio alikuwa mtu wake wa karibu?

Kitendo cha kumuorodhesha Riziwani kwenye orodha ya wauza unga huyu mjinga kamwe hawawezi kumsamehe, tena asubiri ile nongwa ya kiswahili haswa.
Unakumbuka ile picha anamfunga kamba za viatu R1, baadaye akapewa ukuu wa wilaya.Alafu akamtaja kwenye list ya bwimbi
 
Raia mwema limeuzwa kama Jenerali alivyoiza Rai na Habari corporation?

Ni lazima kuwajuwa kwanza wamiliki na wahariri wa haya magazeti yetu then hayawezi kukusumbuwa akili.

Kulikuwaga na Jambo leo la kina Juma Pinto la kuwalamba miguu serikari ya JK na Tanzanite la mgonjwa wa akili Musiba la kumsujudu na kumuabudu shetani wa Chato.

Kwahiyo cha msingi ni lazima ujuwe currently hilo gazeti je bado linamilikiwa na Jenerali Ulimwengu kwa 100%? Na je mhariri mkuu ni nani? Ndipo utapata majibu sahihi na kujiridhisha credibility ya gazeti husika.
huna akili.
 
Back
Top Bottom