Itakuwa unampenda weweee,kumbeeee...No comment
Mkubwa Fella😅😅😅View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December
Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?
Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Amekwishatuma watu kadhaa anaowaamini, kuomba huo upatanisho. Mzee wa watu kawaambia kuwa alisamehe tangu wakati huo huo ambapo Makonda alikuwa akimnanga. Hivyo haoni na wala hakuna haja ya kuombwa msamaha. Wote jibu wanalopewa ni moja. Lakini amekuwa anayafanya yote hayo ili ikiwezekana arudishwe serikalini, hata kwa nafasi ya uDC.Kuna msemo wa lugha ya Kiswahili wenye maneno, "Ukikaa karibu na waridi na wewe hunukia waridi".
Lakini kwa kujiongeza zaidi, kinyume cha msemo, ukiondoa neno "waridi" na kuweka kitu chenye kutoa harufu yenye kunuka, maana yake hubakia ileile.
Kwa utawala uliopita, alikaa karibu sana na waridi na akanukia hilo, ijapokuwa alikuwa akitenda ubaya ili kumfurahisha bosi wake. Sasa waridi lake halipo tena, yupo mikononi mwa wabaya wake na wengine wengi aliowahi kuwaumiza.
Atavuna alichopanda, kama ana mtu mzito aliyekaribu na familia ya Msoga ni wakati muhimu kwake wa kutafuta upatanisho.
Ooh bashiteeeee....!!Bashiteeeeee... Ahuzunikaaaaaa....
Mahakama itahitaji Picha tu..wakisema Paulo na Daudi waje..si picha zitalinganishwaa?Huyo baba na mama mzazi mbona hawamjui Paul Makonda kwenye familia yao, hawamhusu. Mama mzazi aliwahi kusema kwenye runinga wanaona picha ya mtoto wao lakini jina si la mtoto wao! Mtoto wao akasema anaitwa Daudi Bashite, sasa atakayefikishwa mahakamani ni nani kati ya hawa wawili?
Kuanzia tar 3 utaanza kuliaminiSijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Makonda ndio alikuwa anafurahia kuons wenzake wakiteseka.Clouds walishamkana huyo Mwanasheria wenu uchwara naona anatafuta kick kupitia jina la Makonda na msifikiri Kila mtu anafurahia kuona mtu mwingine anateseka kwa sababu TU ya chuki za kisiasa na kuna maisha mengine nje ya siasa
Makonda ni jambazi kama majambazi wengine, subiri kortini ndio utajuwa kimya kingi kina mshindo.Hiyo ndiyo inayosababisha ugumu wa kupata KATIBA mpya watu wengi wanatamani waliopo madarakani washtakiwe wao wanatafuta Kinga ya kutoshtakiwa.
Binadamu wa kiafrika wanatabia za kipare wanaweza kuuza mbuzi kwa kesi ya kuku.
Wekeni bayana makosa ya Makonda @ Bashite ili tuyalinganishe na makosa yaliyowahi kufanywa na viongozi wengine waliowahikutokea.
Watu hufanana na wapo wa asilimia mia.Mahakama itahitaji Picha tu..wakisema Paulo na Daudi waje..si picha zitalinganishwaa?
Hatari na nusu, zihifadhi hizo tutalumangia ugali mbele.No comment
Je vipi na maswahiba wake, Akina mnyeti, hapi, muro tuanze kuwaomba wajiandae na kuanza kupata uzoefu Kwa swahiba wao🤔?View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December
Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?
Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Ni mpakwa mafuta
Zaidi soma hapa Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!.
Nlijua anashtakiwa na jamhuri mummyAkatwe miguu kwanza ndo apelekwe mahakamani
Unakumbuka ile picha anamfunga kamba za viatu R1, baadaye akapewa ukuu wa wilaya.Alafu akamtaja kwenye list ya bwimbiMbona Riziwani Kikwete ndio alikuwa mtu wake wa karibu?
Kitendo cha kumuorodhesha Riziwani kwenye orodha ya wauza unga huyu mjinga kamwe hawawezi kumsamehe, tena asubiri ile nongwa ya kiswahili haswa.
Bushmamy kumbe na wewe humpendi ehe? Mimi nilidhani wewe ni ''chawa'' wake. Mimi huyu ndiye kiumbe aliyenikera kuliko viumbe wote duniani wakati wa Magufuli. Hata hawa virus wa korona hawajanikera namna hiyo!Akatwe miguu kwanza ndo apelekwe mahakamani
huna akili.Raia mwema limeuzwa kama Jenerali alivyoiza Rai na Habari corporation?
Ni lazima kuwajuwa kwanza wamiliki na wahariri wa haya magazeti yetu then hayawezi kukusumbuwa akili.
Kulikuwaga na Jambo leo la kina Juma Pinto la kuwalamba miguu serikari ya JK na Tanzanite la mgonjwa wa akili Musiba la kumsujudu na kumuabudu shetani wa Chato.
Kwahiyo cha msingi ni lazima ujuwe currently hilo gazeti je bado linamilikiwa na Jenerali Ulimwengu kwa 100%? Na je mhariri mkuu ni nani? Ndipo utapata majibu sahihi na kujiridhisha credibility ya gazeti husika.