The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,168
- 51,120
Hongera kwake kwa kupata watoto mapacha.
We umejuaje kafanya mauaji?Mikono yako imetapakaa damu usilidhihaki jina la bwana Mungu wako! Laana zaidi itakushukia.
Hiv mzee mbona una roho ya chuki Sana hiv mfano Makonda akifeli wewe unanufaika na Nini?ashukuru na maabara ya China kwa kazi husika.
Sidhani kama kuna mtakatifu msafi duniani..hakuna mtu alikua mbaya kama sauli. Lakini kupitia yeye leo hii tumefahamu injili na kumjua Mungu.Mikono yako imetapakaa damu usilidhihaki jina la bwana Mungu wako! Laana zaidi itakushukia.
Yeye aliponyang'anya watu nafasi ya kuishi aliongezewa muda wa kuishi?Hiv mzee mbona una roho ya chuki Sana hiv mfano Makonda akifeli wewe unanufaika na Nini?
Asante Sayansi ya kupandikiza. Asante pia kwa Mungu kwa kuruhusu watoto Embriyo zilizopandikizwa kukua.
Asante pesa,maana asingekuwa na hela ya kupandikiza watoto angewasikia tu.
Hapo shukran za pekee ziwaendee wachina
Europe wana IVF clinic nzuri! Hawashindwi kitu!!
Ongera Baba Kegan..Baba Mapacha!!
Hii inaonekana ni wazungu!!
Huyu jamaa hayuko sawa kisaikolojia.Haya yote nadhani ni uwoga na kutumuliwa asikae jukwaa la viongozi, dah!
=======
Heshima na Mamlaka ni zako eee Mungu wa Mbingu na Nchi na kwako wewe tunalia Aba, nitaendelea kutaja ukuu wako siku zote za maisha yangu kwakua hujawahi kuniacha hata dakika moja.
Pamoja na mapito magumu na mazito lakini naiona nuru yako huku nikisikia sauti ya ROHO mtakatifu ikisema mwanangu Paul Christian Makonda nalikujua kabla sijakuumba na nikakutenga kwa kusudi langu usikubali TAA iwakayo ndani yako ikazimika.
Ona sasa unavyozidi kuniheshimisha katikati ya machozi umenipatia zawadi tena itokayo kwako.
Mimi nilieitwa tasa ulinipa mtoto KEAGAN ambaye alishangaza ulimwengu kwa ujio wake:Ukaona haitoshi LEO umenipa DOUBLE PORTION:Leo Mungu wangu umenipa MAPACHA tena wa KIUME na Wa KIKE hii yote ni kutangaza UKUU wako maishani mwangu.
Kwa wale ambao bado hawajakuamini na wanateseka juu ya uzazi,naomba kupitia watoto hawa wakauone ukuu wako Ewe YESU mwana wa Mungu ulie hai.
Hongera sana kipenzi changu Maria Mungu amejitwalia utukufu kupitia wewe.
Asanteni sana watumishi wa Mungu, wazazi wetu, dada na kaka zetu kwa kuwa nasi nyakati zote, kama ambavyo mmekuwa baraka kwetu.Naomba pia Mungu awainulie watu wema nyakati za uhitaji wenu.
EhhNafsiYanguMUHIMIDI-Bwana
MoyoWaShukrani
Wewe umejuaje Kama ameua ulimuona live akifanya hivyo au ndio ushabiki mavi?Yeye aliponyang'anya watu nafasi ya kuishi aliongezewa muda wa kuishi?
Mungu humpa mtu jaribu analolimudu. Sasa Mungu amasaidie apate kazi kama lilivyo ombi wazazi wengine wengine wenye uhitaji huo wapate ili waweze kuwalea watoto waoAsante pesa,maana asingekuwa na hela ya kupandikiza watoto angewasikia tu.
mkuu dhulma haidumu hata ikidumu inaangamizaHuyu jamaa hayuko sawa kisaikolojia.
Anafosi sana attention na league za kutaka kuwaprove wrong walimwengu.
Na kibaya zaidi anajiona kama vile Mungu ni wake peke yake anatetakiwa kumsikiliza yeye tu na katika maisha yake snajiona hajawahi kukosea!!!
Nyakati kama hizi alipaswa ajitoe kabisa katika kwenye public attention mpaka ikitikea vinginevyo
Ulaya kazuiwa kwenda, angeenda hata Mwanza kupumzisha akili.
Hapa ndio unaona mali za dhulma kula mpaka uwe na roho la kikatili.
Shida ya uzazi imekua kubwa sana Tanzania, tena wataalamu wanasema wanaume ni wengi zaidi ila hawajui na unaweza pata ugumba baada ya kuzaa Mara moja au mbiliHapo shukran za pekee ziwaendee wachina
Yeye alivyokuwa anauchukia upinzani alikuwa anafaidika nini?Hiv mzee mbona una roho ya chuki Sana hiv mfano Makonda akifeli wewe unanufaika na Nini?
Jamaa kajilimbikizia mali lakini hana furaha.mkuu dhulma haidumu hata ikidumu inaangamiza
Mungu kweli sio AthumaniHongera kwake kwa kupata baraka hii.Asikate tamaa Mungu atamjibu maombi yake yale mengine.
Yeye ni nyuki mashine,gazeti lote hilo wakti watoto wa kupandikiza kama tembele.Haya yote nadhani ni uwoga na kutumuliwa asikae jukwaa la viongozi, dah!
=======
Heshima na Mamlaka ni zako eee Mungu wa Mbingu na Nchi na kwako wewe tunalia Aba, nitaendelea kutaja ukuu wako siku zote za maisha yangu kwakua hujawahi kuniacha hata dakika moja.
Pamoja na mapito magumu na mazito lakini naiona nuru yako huku nikisikia sauti ya ROHO mtakatifu ikisema mwanangu Paul Christian Makonda nalikujua kabla sijakuumba na nikakutenga kwa kusudi langu usikubali TAA iwakayo ndani yako ikazimika.
Ona sasa unavyozidi kuniheshimisha katikati ya machozi umenipatia zawadi tena itokayo kwako.
Mimi nilieitwa tasa ulinipa mtoto KEAGAN ambaye alishangaza ulimwengu kwa ujio wake:Ukaona haitoshi LEO umenipa DOUBLE PORTION:Leo Mungu wangu umenipa MAPACHA tena wa KIUME na Wa KIKE hii yote ni kutangaza UKUU wako maishani mwangu.
Kwa wale ambao bado hawajakuamini na wanateseka juu ya uzazi,naomba kupitia watoto hawa wakauone ukuu wako Ewe YESU mwana wa Mungu ulie hai.
Hongera sana kipenzi changu Maria Mungu amejitwalia utukufu kupitia wewe.
Asanteni sana watumishi wa Mungu, wazazi wetu, dada na kaka zetu kwa kuwa nasi nyakati zote, kama ambavyo mmekuwa baraka kwetu.Naomba pia Mungu awainulie watu wema nyakati za uhitaji wenu.
EhhNafsiYanguMUHIMIDI-Bwana
MoyoWaShukrani