Mbuyimayi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 575
- 1,146
Hongera kwake kwa kupata watoto mapacha.
Tuwe kwanza watu chanya kama ulivyo comment mkuu watu wana machungu wengi wanaanza kutapika nyongo haha, ni kweli tu natembea na misongo ya mawazo sana
Kwa Makonda anachopitia ni kikombe chake akikimiza kukinywa atakuwa mtu mwingine muda wote maumbile yanatoa nafasi ya pili