Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

Wewe usidanganyike,la sivyo wanyarwanda wasingekimbilia France na Belgique
 
Wakati yeye na timu yake wanabadilisha katiba ili aendelee msimu wa tatu, JK anaondoka baada ya misimu yake miwili kwisha kwahiyo he's no match JK!

nadhani hujaelewa mantiki yake. soma vizuri kisha comment tena
 
Wananchi wenyewe ndio wamependekeza aendelee,fuvk term limits, they are meaningless sometimes.
Danganywa wewe,hapa wananchi wametumika tu maana hawana jinsi,ila order ilitoka juu,sema wameona bora maisha kuliko kifo
 
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA

Bora hajawa mnafiki..yes kapindisha tena live!! Vipi nyie ccm mko tayari kuwaachia ukawa nchi baada ya miaka 50 and plus madarakani??
 
Kwasababu wewe huwa unafikiri kila anayepinga hoja yako basi ni pro Mbowe... ukaishia kunikebehi. Na mimi vikojozi kama wewe huwa siwacheleweshi nawachezesha kindumbwe ndumbwe bila hata nguo!
 

mambo yataenda vizuri tu,,kama wanategemea watanzania kuuana waambie wasahau
 
Wewe usidanganyike,la sivyo wanyarwanda wasingekimbilia France na Belgique

Unachoandika hata haukielewi, kwani watanzania hawajawai kukimbia na kuwa wakimbizi? Kwani China hakuna waliokimbia nchi yaona kutafuta uraia wa nchi zingine, tunachosema hapa ni maendeleo ya nchi.... wewe vipi?
 
Usilinganishe Rwanda na Tanzania,Rwanda ni kama kijimkoa tu hapa kwetu.

Akili za ma-CCM hizi! Kwao nchi ni ukubwa! Na vi-nchi vidogo kama Norway vinavyowasaidia hao mafisadi wanaokuchagua kwenye bunge la ''vitu maalum'' basi ni mikoa!
 
nadhani hujaelewa mantiki yake. soma vizuri kisha comment tena
Mantiki ya msg kuangalia ikiwa kuna utofauti wowote kati ya JK kwa upande mmoja na PK and Nkrunzinza kwa upande mwingine! Kwanza nimesha-confirm hiyo message ni fake... haipo kwenye a/c yoyote ya PK! Lakini kwa upande mwingine kutaka kulinganisha demokrasia kati ya Tanzania VS Burundi na Rwanda; ni kichekesho ambacho hakina maana yoyote unless mtu awe anajadili kwa kuangalia political interests.
 
lowassa inabidi amualike Kagame siku anapo apishwa
 

Sasa kama ni feki kwanini unapoteza muda wako kutetea vitu feki?
 
Usilinganishe Rwanda na Tanzania,Rwanda ni kama kijimkoa tu hapa kwetu.
Siyo hata Kijimkoa,Rwanda kwa Tanzania ina Km za Mraba kama "Wilaya mpya ya MLELE"-iliyopo mkoa mpya wa KATAVI.Yaani hata KAYA YA MKURYA ni Kubwa kuliko Rwanda.Kulinganisha Tanzania na Rwanda ni Upumbavu uliokithiri
 
Kwasababu wewe huwa unafikiri kila anayepinga hoja yako basi ni pro Mbowe... ukaishia kunikebehi. Na mimi vikojozi kama wewe huwa siwacheleweshi nawachezesha kindumbwe ndumbwe bila hata nguo
Hapa wanajadiliwa wanasiasa na Mbowe ni mwanasiasa! Sasa umetumia vigezo gani kumuungiza mama angu kv tu nimekuuliza ulitaka asimamishwe Mbowe?Halafu eti vikojozi.,,, sasa unafikiri mie ndo nitakuogopa? Btw, umejuaje kama mimi ni kikojozi kama sio kwamba nilikukojolea? Kwa taarifa yako matusi hayauzi na kama unajifanya unajua kutukana sana, we endelea tu.
 
mnafiki tu hana uzito wowote. wakati yeye anafanya hila kwa kugeuza katiba ili abaki kwenye utawala jk bila kusita anajitayarisha kukabidhi dola baada ya muda wake kumalizika.
 
kagame anajua anachoongea,,,huyu kinyago wa kitusi yuko tayari kuwaback akina mbowe waingia forest,,huoni mbowe katanguliza pesa nchi za nje...


chakufanya vyombo vya usalama kuanzia tarehe 24 hawa viongozi wajuu wa ukawa wanatakiwa kuwa monitored,,wasije kutorokea nje na kutuachia msala huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…