md4doctor2000
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 736
- 315
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
Mkuu KakaKiiza nina wasiwasi kama hiyo message ni kutoka kwa Paul Kagame, nimeangalia 'official twitter account' yake na sijaona hiyo post.
You may follow him at https://twitter.com/PaulKagame