Uzalendo ni pamoja na kuita uchafu wa jalalani ni dhahabu! Really!Kilaza mama alokuzaa pumbavu sana, unamita Raisi wako na wa watanzania mil 50 kilaza! ficha umbumbu wako kishoka mkubwa wewe, sijui kwanini midudu mingine haina uzalendo! , hamia basi Rwanda ukaolewe huko
Kwanza sina hakika kama hiyo taarifa ni ya kweli! Lakini kama ni kweli, hilo kwenzi lipo wapi? Yeye anataka kuona ikiwa JK atakuwa tofauti na yeye au Nkurunzinza-- mpaka hapa tulipo tayari JK ameshajitofautisha na Kagame na Nkruzinza coz' wakati Nkruziza tayari ameshang'ang'ania madaraka huku PK na timu yake wakiwa mbioni kubadili katiba ili PK achukue msimu wa tatu; tayari JK ameshaonesha dhahiri kwamba anaondoka baada ya muda wake kwisha!
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA
Jukumu lipi la Tume ambalo amejitishwa yeye? Au kwa ufahamu wako unadhani kuanza kwa kampeni tu ndo tayari kunamuondolea nafasi yake kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu?Angeondoka na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki! Kwanini anajivika jukumu la tume! Na tuna info jinsi watakavyochakachua kura.... tena kwa kutumia nguvu
Wakati yeye na timu yake wanabadilisha katiba ili aendelee msimu wa tatu, JK anaondoka baada ya misimu yake miwili kwisha kwahiyo he's no match JK!
Jk bado ni mbora kuliko viongozi wote wa EA combined, hasa linapokuja suala la demokrasia!
Hata Mbowe anasubiri mbali mno,, huu Uhuru ulio nao leo haujaja by chance umekuwa created na ni kwa kuwa upo tu ndio maana huoni kuwa ni privilege!
Whatever unacho exercise hapa, in most of EA states huwezi hata kukidream!
ICC siyo sawa na kunywa "mbege"... UKAWA mnaongelea sana ICC bila hata kufahamu ICC ni nini..
Ni mara kumi yake Kagame kwa sababu hata anachokifanya kwa nchi yake kinaoneka! Ustawi wa jamii na maendeleo kwa ujumla. Sio kama huyu wetu anayeondoka, alingia na anatuavha na shida zetu. Alichofaidi ni kuitajirisha familia yake na yeye kujionesha nje ya nchi! Najuta sana kwamba nilimpigia kura yangu!
Ila Kama Rais Kikwete anataka kuendelea na heshima katika jumuia ya kimataifa ni hapa huu ndiyo mtihani kwake na wakifa watu naninavyoona ICC deligation ya watu 20 na ushee hata pona!
Ukisoma statement hii katikati ya mistari utaona hata wao wameshaanza kuona ugumu wa CCM kurudi madarakani, ndiyo maana wanasubiri kuona kama Kikwete atakubali kukabidhi ofisi kwa upinzani.Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
Kilaza mama alokuzaa pumbavu sana, unamita Raisi wako na wa watanzania mil 50 kilaza! ficha umbumbu wako kishoka mkubwa wewe, sijui kwanini midudu mingine haina uzalendo! , hamia basi Rwanda ukaolewe huko
Tarehe 19 mwezi uliopita Lowassa akiwa Bukoba alikutana kwa siri na team maalum iloyotumwa na Kagame!
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???