Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

CCM huwa hawaonekani kwenye post zinazogusa maslahi yao

sajili #T2015CDM
 
Kilaza mama alokuzaa pumbavu sana, unamita Raisi wako na wa watanzania mil 50 kilaza! ficha umbumbu wako kishoka mkubwa wewe, sijui kwanini midudu mingine haina uzalendo! , hamia basi Rwanda ukaolewe huko
Uzalendo ni pamoja na kuita uchafu wa jalalani ni dhahabu! Really!
 
Kwanza sina hakika kama hiyo taarifa ni ya kweli! Lakini kama ni kweli, hilo kwenzi lipo wapi? Yeye anataka kuona ikiwa JK atakuwa tofauti na yeye au Nkurunzinza-- mpaka hapa tulipo tayari JK ameshajitofautisha na Kagame na Nkruzinza coz' wakati Nkruziza tayari ameshang'ang'ania madaraka huku PK na timu yake wakiwa mbioni kubadili katiba ili PK achukue msimu wa tatu; tayari JK ameshaonesha dhahiri kwamba anaondoka baada ya muda wake kwisha!

Kwanza hayo maneno ni ya kweli Kagame kayasema!kwa kukusaidia tu mkuu unapoachia madaraka ndani ya vyama vingi huwezi ukaanza kuhangaika kuwaforce watu kwa kutumia vitisho kibao ili tumchague mteule wake no!!? Ndo maana ya Kagame kuja na maneno hayo!ni afadhali an'gan'ganie kama Kagame kuliko kutuchagulia mtu anayemtaka yeye ili amwendeshe kwa remote control!
 
Jamaa anamaanisha nini lugha ya malkia wajameni!
 
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA

Kwani JK hajapindisha katiba? Mtu ukiwa mjinga bana ni shida mno.
 
Angeondoka na kuruhusu uchaguzi huru na wa haki! Kwanini anajivika jukumu la tume! Na tuna info jinsi watakavyochakachua kura.... tena kwa kutumia nguvu
Jukumu lipi la Tume ambalo amejitishwa yeye? Au kwa ufahamu wako unadhani kuanza kwa kampeni tu ndo tayari kunamuondolea nafasi yake kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu?
 
.. huyu atakuwa aliangalia zile hotuba za Joseph Msukuma na Nape akawa pissed off.
 
Jk bado ni mbora kuliko viongozi wote wa EA combined, hasa linapokuja suala la demokrasia!
Hata Mbowe anasubiri mbali mno,, huu Uhuru ulio nao leo haujaja by chance umekuwa created na ni kwa kuwa upo tu ndio maana huoni kuwa ni privilege!
Whatever unacho exercise hapa, in most of EA states huwezi hata kukidream!

Kwanini nyie watu wa CCM mnapenda kuririshwa kila kitu kutoka hapo LUMUMBA....!!! kwaakili yako na wapuuzi wt wa kijani mnaamini kwamba CCM ndio imetoa UHURU wa kuongea daaah....
 
kwa hiyo Kagame anatakaje sasa,yani ikishinda ccm sio democracy ila ukishinda upinzani ndio democracy?anachokitaka hakiwezi kuwa yeye asubiri siku zake zinahesabika
 
Hiyo sio account ya PAUL KAGAME!ni account ya mtu anayejiita hivyo
 
Ni mara kumi yake Kagame kwa sababu hata anachokifanya kwa nchi yake kinaoneka! Ustawi wa jamii na maendeleo kwa ujumla. Sio kama huyu wetu anayeondoka, alingia na anatuavha na shida zetu. Alichofaidi ni kuitajirisha familia yake na yeye kujionesha nje ya nchi! Najuta sana kwamba nilimpigia kura yangu!

Rwanda ni kijimkoa kwa TZ
 
Ila Kama Rais Kikwete anataka kuendelea na heshima katika jumuia ya kimataifa ni hapa huu ndiyo mtihani kwake na wakifa watu naninavyoona ICC deligation ya watu 20 na ushee hata pona!

Hivi hawa watu wa ICC huwa wanadeal na viongozi wa siasa wa serikali pekee au hata wapinzani?.
 
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
Ukisoma statement hii katikati ya mistari utaona hata wao wameshaanza kuona ugumu wa CCM kurudi madarakani, ndiyo maana wanasubiri kuona kama Kikwete atakubali kukabidhi ofisi kwa upinzani.
 
Kilaza mama alokuzaa pumbavu sana, unamita Raisi wako na wa watanzania mil 50 kilaza! ficha umbumbu wako kishoka mkubwa wewe, sijui kwanini midudu mingine haina uzalendo! , hamia basi Rwanda ukaolewe huko

Mkuu punguza jazba hebu Tusaidie tafsiri ya Neno UZALENDO inaposemekana MTU ni Mzalendo au sio Mzalendo ielewekeje
 
Tarehe 19 mwezi uliopita Lowassa akiwa Bukoba alikutana kwa siri na team maalum iloyotumwa na Kagame!

Kwasababu Bukoba ni karibu na Rwanda mkafikiri mtaweza kuwadnganya watu! Hivi kungekuwa na mkutano sensitive kama huo ungefanyikia sehemu za uwazi kama hizo? Hili jambo utawadnganya watu wasiojua ABC za mikakati ya kijasusi
 
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
attachment.php
 
Back
Top Bottom