The Intelligent,Humu mtandaoni kuna watu ambao sio watanzania, wanapandikiza chuki kwa kujifanya wao ni wapinzani, kwa kuwa wanaweza kuandika kiswahili basi watanzania wanajua ni wenzao. Fanyeni ushenzi wenu lakini mtambue kuwa Dola iko macho na inafanya kazi.
Thanks for this! Binafsi kwa asili ninakuwaga na misimamo mikali sana dhidi ya PK! Sasa miaka michache ya nyuma mijadala kuhusu PK hapa jamvini ilikuwa haikauki na katika hiyo mijadala, kulikuwa na member mmoja ilikuwa ni lazima ani-mention kunikaribisha kwenye mjadala! In short, mimi na yeye tulikuwa tunaongea lugha moja against PK as "Tanzanians" lakini baadae nikamshitukia yule jamaa kwamba ni Mhutu anaye-pause as Tanzanian! Kwahiyo alikuwa anataka kuendeleza minyukano yao ya Hutu vs Tutsi na akawa anatumia advantage ya Watanzania wengi kuwa against PK hususani kipindi kile cha vita vya DRC! Tangu nimshitukie yule jamaa; siku hizi huwa sishiriki mijadala yake inayomuhusu Kagam coz' nilishagundua kwamba alikiwa ananitumia! Kwahiyo usemacho ni sahihi... humu wengine unaweza kudhani we're here as Tanzanians kumbe wanataka kufanikisha malengo ya huko kwao ya kuwa against or in favor of Kagame!