Paul Gascoigne (Gazza) anasikitisha kwa kweli

PAGAN

JF-Expert Member
Aug 19, 2014
11,231
17,814
Mchezaji huyo wa zamani wa Newcastle, Tottenham na timu ya taifa ya Uingereza juzi alipigwa picha na majirani zake akiwa kwenye hali ya kusikitisha wakati anachukua taxi kwenda kununua pombe na sigara. Gazza alionekana katikati ya mtaa akiwa amevaa "dressing gown" bila hata nguo ya ndani (kufuli) huku akiwa peku peku bila viatu.



 
Huyu jamaa nilianza kusoma habari zake kwenye OK na HELLO magazine mwaka 95, wakati huo alikuwa Golden boy wao, wanawake pia wanachangia, alimoa mdada alieitwa Shirley wakati huo harusi ilikua kwenye HELLO pamoja na OK, Jamaa pia alikua wife bitter lakini mwanamama aliminya mpaka wino ulivyodondoka kwenye cheti cha ndoa ndio akasema anapigwa, divorce ilibidi wagawane na mwanamke alipata zaidi kwakua alikua na mtoto nae mmoja wa kiume. Toka pale jamaa akaanza kwenda down south emotionally.
 
Mshahara wa dhambi............
 
Gaza ana depression so he is drinking his self to death...kaachwa na wife, katumia pesa vibaya na kapoteza marafiki na wachache alio baki nao wameanza kumchoka.
Kuna kipindi alichangiwa pesa akapelekwa rehabilitation..... Inasikitisha sana.But despite everything he is going through.... Huyu jamaa alikua ni mwingereza anaeujua mpira,ile real talent.Kuna yeye,best(RIP),na currently Wilshire.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…