Inashangaza sana navojua pombe inaweza kuwa addicted lakini kwa kiwango hicho mmmh!.hapo pagumu unless ni drug user pia!
Mkuu 96?Inasikitisha; pombe na starehe za kilevi ni janga. Nakumbuka goli la Euro 96 na vituko vyake baadhi yetu tulijikuta tunakuwa washabiki wa England.
Mshahara wa dhambi............Mchezaji huyo wa zamani wa Newcastle, Tottenham na timu ya taifa ya Uingereza juzi alipigwa picha na majirani zake akiwa kwenye hali ya kusikitisha wakati anachukua taxi kwenda kununua pombe na sigara. Gazza alionekana katikati ya mtaa akiwa amevaa "dressing gown" bila hata nguo ya ndani (kufuli) huku akiwa peku peku bila viatu.
Ee bwana Euro 96 nilishuhudiaPale Mnazi mmoja ITV walikuwa wakionesha bure. Enzi Hizo Kina Mac manamanInasikitisha; pombe na starehe za kilevi ni janga. Nakumbuka goli la Euro 96 na vituko vyak
e baadhi yetu tulijikuta tunakuwa washabiki wa England.
Mbona unashangaa? Funguka uliza vizuriMkuu 96?
Shetani??Shetani anatesa sana watu. Kuna raha gani kutumikishwa kiasi hiki?
huyu jamaa anaweza kutusuta, tunamsingizia mengi sana.Shetani??
Kuna huyu mjinga nayeye mtamsikia tu muda si mrefu.Inasikitisha; pombe na starehe za kilevi ni janga. Nakumbuka goli la Euro 96 na vituko vyake baadhi yetu tulijikuta tunakuwa washabiki wa England.
Ndipo nilipo choka zaidihuyu jamaa anaweza kutusuta, tunamsingizia mengi sana.