Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,318
Binafsi nimefurahi sana kuondoka kwake aliifanya Bavicha ipooze sana.
Binafsi nimefurahi sana kuondoka kwake aliifanya Bavicha ipooze sana.
Binafsi nimefurahi sana kuondoka kwake aliifanya Bavicha ipooze sana.
Nchi inayumba kwenye majukwaa ya siasa tu zama ufanye tathimini!
Sentensi za namna hii anazipenda sana Mzee Wassira. Mtamkie hivyo atakuona boongee la "mjanja"!mpaka 2020 chadema itakuwa chaliiii.
Aliondoka dr Slaa na tukaendelea
Chadema ni kama nyasi ukikata zinachipua. Yawezekana zinazochipua ni stronger na zenye rutuba kuliko zile za kuomba kwa jirani kupandikiza. I wish I was still young to join this political game, ningenunua kadi ya CDM na ningehamasisha watu kibao ila basi tu. It is a shame mtu anatoka upande mwingine kuanzisha uzi usiomhusu. Waache wafu wazike wafu wao wewe kipara kipya inakuhusu nini? Au wewe ni yule aliyetoroka Mtwara kuhamia Lushoto? Maudhui yako na yake huwa vinashabihiana sana.Aliondoka dr Slaa na tukaendelea
nadhani unapaswa kufurahia mmepata jembe,litumieni au sio?Mtikisiko wa dr slaa matokeo yake ndio haya chama kupoteza watu muhimu kwa kukosa dereva!
Kila kitu kinawezekana kama nia ipo!NADHANI Malengo ya kuanzishwa chadema yalishatimia kwa sasa tunarudi kwenye taratibu zetu tulizojiwekea kama nchi tangu uwepo wake.
===
Rejea trend ya Nccr-mageuzi, cuf na sasa chadma. Vijana acheni kupoteza muda tuijenge nchi yetu. Ningependa ifikapo 2025, Tanzania iwe na ma CEO zaidi ya asilimia 50 vijana wanaomiliki makampuni yao.Na hao maCEO wawe wazalendo wa kitanzania.
kijana ameangalia muda!nadhani unapaswa kufurahia mmepata jembe,litumieni au sio?
yeye atakua sio wa kwanza tayari kuna kitila na mghwira wanafanya kwa ufanisi wa hali ya juu!Basi sawa CCM mpeni fursa.
HUYO balozi atakaye pangiwa kituo baadaeMtikisiko wa dr slaa matokeo yake ndio haya chama kupoteza watu muhimu kwa kukosa dereva
Chadema ndio pumzi za mwisho sakratul maut!Chadema ni kama nyasi ukikata zinachipua. Yawezekana zinazochipua ni stronger na zenye rutuba kuliko zile za kuomba kwa jirani kupandikiza. I wish I was still young to join this political game, ningenunua kadi ya CDM na ningehamasisha watu kibao ila basi tu. It is a shame mtu anatoka upande mwingine kuanzisha uzi usiomhusu. Waache wafu wazike wafu wao wewe kipara kipya inakuhusu nini? Au wewe ni yule aliyetoroka Mtwara kuhamia Lushoto? Maudhui yako na yake huwa vinashabihiana sana.
Hakuna kiongozi wa chadema mwenye darasa la nne wala hakuna wengi wenye phd za kununua. Watu makini hawahitaji wanachama wengi kusonga mbele ila ni juu ya wapiga kura kuona nani mwongo na nani anatarajia kuondoa watu kwenye giza.Chadema ndio pumzi za mwisho sakratul maut!
Watu muhimu kama Katambi? Wakati unaambiwa huko Songwe kijiji kizima kimehamia Chadema? Hicho kipara chako ungepeleka chato wakifanye uwanja wa helicopter



yeye atakua sio wa kwanza tayari kuna kitila na mghwira wanafanya kwa ufanisi wa hali ya juu!
yeye atakua sio wa kwanza tayari kuna kitila na mghwira wanafanya kwa ufanisi wa hali ya juu!