G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,376
- 5,262
Kuna sehemu nimefatilia hoja zako na Paskali kwenye uzi fulani humu ndani ukidai kuwa ccm uliihama juzi juzi wakati Rais alipoonyesha double standard na kabla ya hapo ulikuwa ccm na mfuasi wa Membe, hapa unadai aliondoka Dr Slaa mkaendelea kuwa salama, kumbe na wewe ulikuwa na double standard, ulikuwa unatumikia vyama viwili kwa wakati mmoja kuwa makini sky, tunakusomaa...hebu tufafanulie make unatuchanganya.Aliondoka dr Slaa na tukaendelea