Patrobas ni pengo kubwa CHADEMA

Katumia haki yake kikatiba hapo sioni pengo lolote kwa chadema japo chadema ilikua bado inamuhitaji

Tulimuhitaji sana nyerere lakini MUNGU kamchukua hayo yote ni mambo ya dunia nawakumbusha

Tumche MUNGU dunia tunapita.
 
Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.

Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.

Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.

Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.

CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic

Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
Tulishuhudia pia alipotoja Nyalandu, taharuki ilikuwa kubwa upande wa pili. Mara spika anasema sijapokea barua, mara amefukuzwa ccm bila hata kuitwa wala vikao rasmi, mara ameuza vitalu, mara hakusaini sijui nini! Hii taharuki yote ilikuwa ni ya nini?
 
Tulishuhudia pia alipotoja Nyalandu, taharuki ilikuwa kubwa upande wa pili. Mara spika anasema sijapokea barua, mara amefukuzwa ccm bila hata kuitwa wala vikao rasmi, mara ameuza vitalu, mara hakusaini sijui nini! Hii taharuki yote ilikuwa ni ya nini?
Kwa hiyo mkuu unakiri ni pengo ndio maana majibu yamekua mengi!
 
Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.

Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.

Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.

Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.

CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic

Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
Bavicha na UVCCM zimepitwa na wakati sasa wamegeuka kuwa waganganjaa!!
 
Alianza Dr. Kaborou, akafuata Dr Lamwai, akafuata Zito Kabwe, akafuata Dr Slaa na wengine wadogo wadogo. La ajabu ni kwamba kila akiondoka anayedhaniwa ni muhimu CHADEMA inazidi kuimarika. Katambi ni mtu mdogoooo sanaaa compared to those others. Ameondoka shhudia CHADEMA itakavyoongezeka. Chama ni zaidi ya individual. Hata akiondoka Mbowe na Mtei Chama kitaimarika WHY? KWA SABABU CHAMA NI YA WANACHAMA AMBAO WANAZIDI KUONGEZEKA KILA WAKATI.
 
Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.

Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.

Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.

Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.

CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic

Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu


nimetafuta neno la kukusupport nimekosa....only to say....Huijui chadema. ungejua makali ya Dr Warid Kabourou kigoma. Dr Lamwai na Ubunge wake jimbo la Ubungo....bahati mbaya umezaliwa jana hujui.

Watafute watakueleza hasara ya kujipendekeza ccm
 
nimetafuta neno la kukusupport nimekosa....only to say....Huijui chadema. ungejua makali ya Dr Warid Kabourou kigoma. Dr Lamwai na Ubunge wake jimbo la Ubungo....bahati mbaya umezaliwa jana hujui.

Watafute watakueleza hasara ya kujipendekeza ccm
Nimezaliwa jana na wote nimewakuta wapo ccm baada ya kuachana na upinzani uchwara!
 
Alianza Dr. Kaborou, akafuata Dr Lamwai, akafuata Zito Kabwe, akafuata Dr Slaa na wengine wadogo wadogo. La ajabu ni kwamba kila akiondoka anayedhaniwa ni muhimu CHADEMA inazidi kuimarika. Katambi ni mtu mdogoooo sanaaa compared to those others. Ameondoka shhudia CHADEMA itakavyoongezeka. Chama ni zaidi ya individual. Hata akiondoka Mbowe na Mtei Chama kitaimarika WHY? KWA SABABU CHAMA NI YA WANACHAMA AMBAO WANAZIDI KUONGEZEKA KILA WAKATI.
Haya ni maneno ya kujifariji kwa mshabiki kwa uongozi hakuna budi kujitathimini vyema!
 
Msaliti na mchumia tumbo KAMWE hawezi kuacha pengo la aina yoyote ile.

Kampeni meneja wa Katambi, mwenyekiti wa BAVICHA Shinyanga Mjini aanika siri za katambi kuhamia CCM

Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.

Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.

Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.

Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.

CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic

Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
 
yuda yule mtume msaliti aliondoka na bado mitume hawakuyumba ndivyo ilivyo kwa chadema pia
 
Mbowe should confess now about the real situations in his party..CHADEMA waache blah blah.!
 
Back
Top Bottom