kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #61
Ni kweli anaelalamika kapoteza hata kama hakina maana lakini jua kilikua na umuhimu dr hivi sasa umuhimu wake unaonekana kutokana na ombwe la uongozi lililopo linalopekea watu kila kukicha kutupa magwanda!Tushukuru kwa kupata lulu ktk chama chetu. Hebu nipe sifa zake kwani Pengo na sababu zake zitoshe asije huku kwetu akajiona ndo kila kitu na hili ndo tatizo tunalolizalisha ndani ya chama kwa unaonekana kuja na hoja muflisi. Kwa ujumla sijaona huyo unayemsifia