kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #141
Wewe si mwanachadema utamsikia vipi!Binafsi sijawah kumsikia huyo patrobasi mpaka juzi alipotangaza kuhamia ccm!
Wewe si mwanachadema utamsikia vipi!Binafsi sijawah kumsikia huyo patrobasi mpaka juzi alipotangaza kuhamia ccm!
Kampeni za udiwani kila kona kwa amani kabsa hakuonekani magari ya washa washa wala deraya!Hakuna kiongozi wa chadema mwenye darasa la nne wala hakuna wengi wenye phd za kununua. Watu makini hawahitaji wanachama wengi kusonga mbele ila ni juu ya wapiga kura kuona nani mwongo na nani anatarajia kuondoa watu kwenye giza.
Yawezekana wewe ni mdogo ila kama ni mtu uliyeishi enzi za TANU utajua jinsi chama kilivyokuwa dynamic na kuweza kuingia vyama vingi. Tatizo uongozi wa sasa si dynamic unaturudisha nyuma kwa kukataza siasa na kukataza mikutano mpaka kwenye uchaguzi. Tatizo CCM inafanya mikutano kila siku ila vyama vingine vinapigwa mabomu. Je, unaweza kumwaga sera kwenye mabomu na washa washa? Jibu ni turudi China, Urusi, Cuba na ilivyokuwa Zimbabwe. Zimbabwe ni mfano ambao hii spring in the south is coming. Wewe kama ni kipara hutaweza ila kama ni kijana, jiandae ki physiologia sababu it wont be long sababu wamewatengeneza wenyewe na wapo mitaani.
Leo hii nasikia ni balozi aseeAliondoka dr Slaa na tukaendelea
Kuhongwa na magamba raha kweli kweli.....
hebu cheki jamaa anavyochekelea, si bure kukenua namna hii..., anajua kuwa akaunti imeshasoma na mambo yake sasa safi...!
View attachment 636972
Maisha bora na yenye uhakika wa kiinua mgongo!Kuhongwa na magamba raha kweli kweli.....
hebu cheki jamaa anavyochekelea, si bure kukenua namna hii..., anajua kuwa akaunti imeshasoma na mambo yake sasa safi...!
View attachment 636972







miaka miwili kila wakiwafua jamaa bado ni wachafu tu!Kataa kuwa karai ewe kijana wa kijumba cha maajabu ufipa kwani kila aingiapo mwenye sumu ya rushwa husafishwa na kuwa msafi kama theluji![]()
Mliendeleaje? Kwa kuokoteza makapi ya CCM?Aliondoka dr Slaa na tukaendelea
Labda pengo laMpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.
Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.
Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.
Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.
CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic
Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu

Mihadarati!Labda pengo la![]()
![]()
Una ushahidi!CCM wewe Alafu unahubiri uwongo tu.... alichukua kiasi gani?
Ukisikiliza kauli ya mashinji ndio utajua umuhimu wa huyu kijana!Fikira za kijinga kabisa hizi,kwa hiyo chadema patrobas ndo alikuwa bora kuliko mamilioni ya wanachama wengine wa chadema!?? Hata akiondoka mbowe na lowassa,bado chadema itakuwa imara,ndo maana aliondoka Dr.slaa na wengine lkn chadema imebaki imara!
Huyu wala si wa kumsikitia,kwa sababu bado yupo hai..! Kilichompeleka ccm ni tumbo wala siyo uzalendo. Hao wote wameahidiwa vyeo na wote watapata. Rais hawaamini wana ccm wenzie,anaona bora afanye kazi na wapinzani kuliko ccm. Ndani ya ccm watu wa kuteua wameisha kabisaaaa....
Akiwa chadema ni msomi,hana njaa but akihama maneno lukuki,ana njaa,hana shule,kanunuliwa,siyo mzalendo.msitegemee kuendelea kwa aina hiyo ya siasa zaidi tegemeen kuporomoka ziadi,kwani kilichowapandisha ni hoja ngumu za kupinga ufisadi na si hizi hoja za mange za kuchambaPole kwahoja yako dhaifu unatafuta kuungwa mkono na makinikia chadema ni taasisi kitambi kimetafuta pakula
Mbona jamaa (chadema) wanatafuna makande kwa kwenda mbele? Hilo pengo si lingewaletea shida!?Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.
Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.
Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.
Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.
CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic
Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
Pepo ya ufisadi na ujangili!Mbona jamaa (chadema) wanatafuna makande kwa kwenda mbele? Hilo pengo si lingewaletea shida!?
Unaishi jehanamu yanayoendelea peponi huwezi yajua.
Mbona hamuwakamati kwa makosa hayo? Au mmewahalalishia!!?Pepo ya ufisadi na ujangili!