Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,978
- 107,457
wacha uzandiki wewe!Atakuwa ameondoka na hii phase 3, watanzania tujifunze kustaafu umri ukisogea, toka 77 upo kazini kweli jamani hakuna watanzania wengine? angekuwa ametulia na wajuu haya yasingetokea labda