Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Ili kampani ya meko hiyo, Corona itawamaliza
 
Hahahahah
Sikumwelewa Mwendazake kwenye moja ya hotuba zake za mwisho akiwa kwenye uzinduzi wa daraja la Kijazi kama sijakosea, alisema "...namwomba Mungu asimchukue Mhehe huyu kabla hajamaliza kazi za ujenzi zinazoendelea nchini..."
 
Jamaa alikuwa productive kwenye nchi kuliko wapuuzi kibao mnaomponda! Amefanya vitu vya kuonekana kabisa!
 
Jamaa alikuwa productive kwenye nchi kuliko wapuuzi kibao mnaomponda! Amefanya vitu vya kuonekana kabisa!
Hivi kama yeye asingepewa nafasi enzi za alivyoajiriwa angefanya yote hayo? Lazima sheria ifuatwe na ni muhimu damu mpya ili nayo ipewe nafas ya kufanya kama aliyofanya huyu hayati ndo mana kukawa na kustaafu kwa hiari na lazima
 
Serikal iliwah kupitisha ruhusa kwa kada flan kuendelea kufanya kwa maana ktk serikal baada ya ule umri wa kustaafu kufika ..nafikir pia ilikuwa kwa wanazuoni Dkts,profs ..nafikir na exceptional professionals .....correct me if i am wrong
'Think tanks' lazima watunzwe na kuendelea kutumika kwa maslahi mapana ya jamii/taifa. Ukienda nchi zilizoendelea utashangaa zaidi!
 
Angefanya kazi za consultancy, huku akila pensheni, wanasiasa walimpotosha na kumtumia tu huyu baba, kafia kazini, na kafariki na kashfa, na hatutokumbuka madaraja bali REPORT ya B.o.T ya TANROADS kujilipa mara 2,2.

Pole SANA watani zangu, wanyalukolo wa Ifunda.

Everyday is Saturday...............................
 
Hivi kama yeye asingepewa nafasi enzi za alivyoajiriwa angefanya yote hayo? Lazima sheria ifuatwe na ni muhimu damu mpya ili nayo ipewe nafas ya kufanya kama aliyofanya huyu hayati ndo mana kukawa na kustaafu kwa hiari na lazima
Saw damu mpya itapewa nafasi yeye ameshafariki
 
'Think tanks' lazima watunzwe na kuendelea kutumika kwa maslahi mapana ya jamii/taifa. Ukienda nchi zilizoendelea utashangaa zaidi!
Wenzetu life expectacy yao ni miaka mingi mtu kufika 90 akiwa fit kawaida,sisi huku miaka 50 presha kisukari ,ukimwi,korona vyote vyako muda mwingi unaspend hospitali badala ya ofisini,
 

Mfugale alizaliwa 1953, siyo 1950
 
fundisho kwa vijana tubobee na kufanya kazi kwa juhudi utazeeka kwa raha. naona nchi za wenzetu wazee wanakufa bado hawahitaji msaada wa kiuchumi kutoka kwa watoto wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…