Patrick was Gold exceptionally nakwambia kipesonali, am happy for him having been such a highly trustable man
Kwakuwa alikuwa swahiba wake dikteta ndio asijadiliwe, misukule ya dikteta mna taabu
Katika hali ya kawaida serikali inaweza kumuongezea muda wa utumishi serikalini mtumishi ye yote wakati ikijipanga kuandaa watumishi wengine wanaoweza kuchukua nafasi ya mtumishi anayestaafu. Kitendo cha Mhandisi Mfugale kuongezewa muda wa utumishi wa serikalini kwa muda usiojulikana hadi anafariki dunia ni dharau iliyopindukia kwa watumishi wengine wa TANROADS na kuna kila dalili za ufisadi na wizi wa fedha za umma kupitia TANROADS.
Haingii akilini kuwa hakuna Mtanzania mwingine ye yote ambaye angeshindwa kuchukua nafasi ya Mfugale baada ya kupata mafunzo stahiki! Kuna haja na sababu muhimu kufanyika kwa uchunguzi kwa nini Mfugale akaongezewa muda mrefu kiasi hicho. Aidha kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa watumishi wote walioongezewa muda kupindukia uhusiano wao na watawala. Mfano mwingine wa mtumishi aliyeongezewa muda kupindukia ni marehemu Kijazi.
Uchunguzi huu ni muhimu na hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanakosa ajira na hivyo kuwanyima fursa za kuonyesha vipaji vyao.
Mfugale alizaliwa mwaka 1953 na alipaswa kustaafu mwaka 2013 baada ya kutimiza umri wa miaka 60.
Uyo na mwendazake wote walikuwa wapiga dili tena walianza upigaji tangu mwendazake alivyokuwa waziri wa mabarabara
Mwambie pia atafute taarifa za Nancy Pelos spika wa bunge Marekan.Dr. Fauci wa Marekani ana miaka 81 na bado anapiga kazi kama kawaida. Alipewa ukurugenzi miaka 36 iliyopita na hajawahi kustaafu.
Mama Anna mghwira alitolewa Rc kule kilimanjaro akiwa na miaka 62 kwa madai amestaafu,makongoro nyerere kateuliwa kuwa RC kwa umri huo huo 62
Kwa ufupi marehemu mwendazake alikuwa mpumbavuuuu!! Alikuwa haangalii kabisa sheria zinasemaje maana yeye aliamini ndiye sheria mama!
Sikumwelewa Mwendazake kwenye moja ya hotuba zake za mwisho akiwa kwenye uzinduzi wa daraja la Kijazi kama sijakosea, alisema "...namwomba Mungu asimchukue Mhehe huyu kabla hajamaliza kazi za ujenzi zinazoendelea nchini..."
We mwana naomba uteuliwe kusimamia madaraja.Hahahahah
Hivi kama yeye asingepewa nafasi enzi za alivyoajiriwa angefanya yote hayo? Lazima sheria ifuatwe na ni muhimu damu mpya ili nayo ipewe nafas ya kufanya kama aliyofanya huyu hayati ndo mana kukawa na kustaafu kwa hiari na lazimaJamaa alikuwa productive kwenye nchi kuliko wapuuzi kibao mnaomponda! Amefanya vitu vya kuonekana kabisa!
Mambo ya kipenzi cha wanyonge hayo.
'Think tanks' lazima watunzwe na kuendelea kutumika kwa maslahi mapana ya jamii/taifa. Ukienda nchi zilizoendelea utashangaa zaidi!Serikal iliwah kupitisha ruhusa kwa kada flan kuendelea kufanya kwa maana ktk serikal baada ya ule umri wa kustaafu kufika ..nafikir pia ilikuwa kwa wanazuoni Dkts,profs ..nafikir na exceptional professionals .....correct me if i am wrong
Saw damu mpya itapewa nafasi yeye ameshafarikiHivi kama yeye asingepewa nafasi enzi za alivyoajiriwa angefanya yote hayo? Lazima sheria ifuatwe na ni muhimu damu mpya ili nayo ipewe nafas ya kufanya kama aliyofanya huyu hayati ndo mana kukawa na kustaafu kwa hiari na lazima
Wenzetu life expectacy yao ni miaka mingi mtu kufika 90 akiwa fit kawaida,sisi huku miaka 50 presha kisukari ,ukimwi,korona vyote vyako muda mwingi unaspend hospitali badala ya ofisini,'Think tanks' lazima watunzwe na kuendelea kutumika kwa maslahi mapana ya jamii/taifa. Ukienda nchi zilizoendelea utashangaa zaidi!
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021