We naona unaendeleza zile stori za kijinga [ignorant tales].Ni ngumu sana kumkanyaga nyoka ukimwona anakatiza barabarani mwache apite vinginevyo kama hujafunga kioo utapata madhara makubwa
Anaconda mkubwa ana uwezo wa kumeza binadamu,nguruwe mkubwa,mbuzi,kondoo,mamba picha ni kama huyo hapo.Ila kwa binadamu hata chatu wa huku kwetu ana uwezo huo akiwaAnaconda ana ukubwa kiasi gani?
mkubwa unajua kabla hajameza anavunja vunja mifupa kwa hivyo umbo linakuwa dog😵na picha mfano wa Anaconda mkubwaNyoka anayeongelewa kwenye vitabu vya dini sio nyoka kama mnavyomjua huyu tulio naye ingekuwa hivyo kwenye gharika la Nuhu asingepandishwa kwenye Safina.Pia wanavyosema Eva alimdanganya Eva akala tunda la mti wa kati sio tunda la mti wa kati kama unavyojua wewe tunda.Vitabu vya dini vina mafumbo mengi.Na wanavyosema Bustani ya Eden je hiyo bustani iko wapi hadi leo mbona hatuioni.Mambo ya imani ni mbele kwa mbele tumche mungu tuNyoka hapaswi kuachwa aendelee kuishi. Ndiyo chanzo cha laana kwa Adam na Eva
We naona unatumia stori za vijiweni tu.Anaconda mkubwa ana uwezo wa kumeza binadamu,nguruwe mkubwa,mbuzi,kondoo,mamba picha ni kama huyo hapo.Ila kwa binadamu hata chatu wa huku kwetu ana uwezo huo akiwaView attachment 1603914 mkubwa unajua kabla hajameza anavunja vunja mifupa kwa hivyo umbo linakuwa dog😵na picha mfano wa Anaconda mkubwa
Contrary to myth, the snake does not crush the prey, or break its bones. However, several natural observations exist involving wild Anacondas that show broken bones in large prey. ... Further, multiple species of snakes have been shown to constrict with pressures higher than those shown to induce cardiac arrest.Anaconda mkubwa ana uwezo wa kumeza binadamu,nguruwe mkubwa,mbuzi,kondoo,mamba picha ni kama huyo hapo.Ila kwa binadamu hata chatu wa huku kwetu ana uwezo huo akiwaView attachment 1603914 mkubwa unajua kabla hajameza anavunja vunja mifupa kwa hivyo umbo linakuwa dog😵na picha mfano wa Anaconda mkubwa
Tatito unajiona kila kitu unajua huna tofauti na Lissu ingawa unampondaWe naona unaendeleza zile stori za kijinga [ignorant tales].
kama havunji mifupa anakuviringa kutafuta nini? nijibu kwanza hapo ndio maana anaitwa the constrictor soma maelezo haya mimi natoka sehemu zenye nyoka wakubwa misitu ya CONGO najua ninachoongea sitokei Kariakoo.Nyoka wenye sumu hawahitaji kuvunja vunja kitu maana wakiuma wanasubiri kiumbe kizimie wameze nyoka wote wasio na sumu kama chatu na anaconda inabidi watumie mbinu ya constrictionWe naona unatumia stori za vijiweni tu.
La, unaweza niwekea vipimo vya anaconda hapa?
Halafu chatu na anaconda wala huwa hawavunji mifupa kama unavyodai.
Tumia mtandao kufuta ujinga ulonao.
Nyani Ngabu hizi ndizo akili za ccm wenzakoNyoka hapaswi kuachwa aendelee kuishi. Ndiyo chanzo cha laana kwa Adam na Eva
ushasema ni america ya kusiniHuyo kwenye video ni chatu wa Amerika ya Kusini, ajulikanaye kama anaconda.
Inadaiwa kuwa hapo ni kwenye mji wa Porto Velho, nchini Brazil.
Joka lilikuwa linavuka barabara na watu wakasimamisha magari yao na kuliacha livuke kwa amani na utulivu na bila kulidhuru wala kuliua.
Wengine wakashuka toka kwenye magari yao na kulipiga picha za kawaida na video kwa kutumia simu zao.
Hatimaye joka likamaliza kuvuka na likatokomea kwenye kichaka.
Hiyo ingetokea hapa Tanzania....hahahaa!
Si ajabu yangesemwa mengi sana.
Kwanza, nadhani lingeuliwa. Kama si kwa kukanyagwa na gari basi kwa kupondwa mawe.
Ingiza sasa na zile imani za kijinga.
Si ajabu kuna watu ambao wasingelala usiku kwa kuamini kuwa limetumwa.
Watu wangehaha kwenda kwa waganga [emoji1787] ili kujua kulikoni!
Wakati hakuna lolote zaidi ya ecosystem kuwa kazini.
Huyo kwenye video ni chatu wa Amerika ya Kusini, ajulikanaye kama anaconda.
Inadaiwa kuwa hapo ni kwenye mji wa Porto Velho, nchini Brazil.
Joka lilikuwa linavuka barabara na watu wakasimamisha magari yao na kuliacha livuke kwa amani na utulivu na bila kulidhuru wala kuliua.
Wengine wakashuka toka kwenye magari yao na kulipiga picha za kawaida na video kwa kutumia simu zao.
Hatimaye joka likamaliza kuvuka na likatokomea kwenye kichaka.
Hiyo ingetokea hapa Tanzania....hahahaa!
Si ajabu yangesemwa mengi sana.
Kwanza, nadhani lingeuliwa. Kama si kwa kukanyagwa na gari basi kwa kupondwa mawe.
Ingiza sasa na zile imani za kijinga.
Si ajabu kuna watu ambao wasingelala usiku kwa kuamini kuwa limetumwa.
Watu wangehaha kwenda kwa waganga 🤣 ili kujua kulikoni!
Wakati hakuna lolote zaidi ya ecosystem kuwa kazini.
Anajivingirisha ili aweze kukukaba vizuri. Ni anakupuga kabali. Ushawahi kupigwa kabali wewe?kama havunji mifupa anakuviringa kutafuta nini?
Wewe naona hata lugha ya Kiingereza imekutupa.nijibu kwanza hapo ndio maana anaitwa the constrictor
Maelezo unayonambia niyasome, wewe mwenyewe hujayaelewa.soma maelezo haya mimi natoka sehemu zenye nyoka wakubwa misitu ya CONGO najua ninachoongea sitokei Kariakoo.Nyoka wenye sumu hawahitaji kuvunja vunja kitu maana wakiuma wanasubiri kiumbe kizimie wameze nyoka wote wasio na sumu kama chatu na anaconda inabidi watumie mbinu ya constriction
Maelezo uloyaleta mwenyewe yanasema “they kill by suffocation or cardiac arrest.How do snakes kill humans?
They can reach lengths of more than 10m (32ft) and are very powerful. They attack in an ambush, wrapping themselves around their prey and crushing it - squeezing tighter as the victim exhales. They kill by suffocation or cardiac arrest within minutes