CGI Live - live streaming video powered by LivestreamI kipindi cha dakika 30 tu,kwa sasa Askofu Tutu ndio anaongea
Jibu swali, tutaangalia na nini wakati hakuna umeme. Nyie mmeajiriwa na Rais, lakini kazi zenu ni kumdanganya? Mwache aonyeshe suti za kuhongwa siye hatuna umeme wa kumwangalia nayo. Ampigie Riz1 wana-kiduku wote ikulu waangalie. Nyambafff
[h=1]#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President Kikwete[/h]Event is LIVE NOW! |
|
#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President Kikwete
Event is LIVE NOW!
Hivi nyie watu wa kikwete, mnajua kweli kwamba tuna macho yetu humo ukumbini?
kutoa taarifa sio lazima uwe mtu wa fulani,hili ni jukwaa huru nami nimeona ni swala jema wanajamii wakajumuika na Raisi wao
lakini mpaka sasa kipindi kimeanza lakini mkuu wa nchi haonikani
#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President Kikwete
Event is LIVE NOW!
Kwa wale watakao kuwa karibu na mitandao ya internet basi mnaweza kupata nafasi ya kumshuhudia Raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano Mh Jakaya Kikwete akiwa na Raisi Mstahafu wa marekani Clitoni katika mahojiano ya moja kwa moja yanayo husu.
#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President Kikwete
Itumie nafasi hii kuona wataalamu wakichambuwa mada mbalimbali zinazohusu maisha yetu sisi waafrika kwa ujumla
CGI Live - live streaming video powered by Livestream[/QUOTE]
Ili iweje?? Kwa wakati huo nitakua busy naangalia ducumentary yenye maelekezo juu ya kilimo cha dengu Kijijini Kidababia.
we vipi yaani unaona pombe ni muhimu kuliko Rais. Majitu mengine ovyoo kabisa.
#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President Kikwete
Event is LIVE NOW!
Kwa wale watakao kuwa karibu na mitandao ya internet basi mnaweza kupata nafasi ya kumshuhudia Raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano Mh Jakaya Kikwete akiwa na Raisi Mstahafu wa marekani Clitoni katika mahojiano ya moja kwa moja yanayo husu.
#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President Kikwete
Itumie nafasi hii kuona wataalamu wakichambuwa mada mbalimbali zinazohusu maisha yetu sisi waafrika kwa ujumla
CGI Live - live streaming video powered by Livestream
huu ni upumbavu.nchi yetu ipo gizani hivi sasa kuna faida gani kuzurura ughaibuni kwa mambo madodogo ?