[emoji117]Watu wa 3 walipata ajali ya gari nawakawa hawajitambui kabisa. Mtu akatokea sehemu ya ajali na akataka kupiga simu kwa msaada bahati mbaya hakuwa nasimu. Kwenye ajali kulikuwa na simu 6 lakin zote zilikuwa na passwords. Mwisho wasiku wakafa wote.
[emoji117]Mjamzito alianguka ghafla nyumbani kwake akiwa namwanae mdogo wakike, alivyoona mama ake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie Baba yake kwa msaada zaidi, simu ilikuwa na password Akapoteza maisha.
Nani mwenye makosa?
USHAURI WANGU
Wewe ni wa thamani sana kuliko taarifa unazoziwekea usalama katika simu.
Weka password katika WhatsApp, fb, Sms, Picha n.k lakini acha upande wa Phonebook na Calls siku moja yawezekana ukaokoa maisha yako au ya wapendwa wako.
Password katika simu yako yaweza pelekea umauti wako.
Fikilia mara mbili
Kama nimewaboa samahani lakini hiyo ndio hali halisi jamani