Passwords katika simu yako inaposababisha kifo chako

jangala

JF-Expert Member
Feb 17, 2014
1,583
2,362
Watu wa 3 walipata ajali ya gari na wakawa hawajitambui kabisa. Mtu akatokea sehemu ya ajali na akataka kupiga simu kwa msaada bahati mbaya hakuwa na simu. Kwenye ajali kulikuwa na simu 6 lakini zote zilikuwa na passwords. Mwisho wa siku wakafa wote.

Mjamzito alianguka ghafla nyumbani kwake akiwa na mwanae mdogo wa kike, alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampigie baba yake kwa msaada zaidi, simu ilikuwa na password akapoteza maisha.

Nani mwenye makosa?

USHAURI WANGU
Wewe ni wa thamani sana kuliko taarifa unazoziwekea usalama katika simu.

Weka password katika WhatsApp, fb, Sms, Picha n.k lakini acha upande wa Phonebook na calls siku moja yawezekana ukaokoa maisha yako au ya wapendwa wako.

Password katika simu yako yaweza pelekea umauti wako.

Fikiria mara mbili

Kama nimewaboa samahani lakini hiyo ndio hali halisi jamani
 
Bado hujafanikiwa kubadili msimamo wangu. Kama kufa utakufa tu, password si dawa au chanzo cha kifo. Nitaendelea kuweka password kutunza mambo yangu binafsi
Hujalazimishwa ndugu....
 
Mimi sehemu ya Phonebook sijaweka PIN, coz naelewa kuna wengi yamewakuta wakashindwa kusaidika sababu ya password.
Mwingine anaweka password hata kwenye kupokea simu, lol pale teknolojia inapogeuka utumwa kwako.
 
Achaa hadithi ww kifo n one tym aseee kama mtu n mahutut atakufaa tuu hata ukipga sm kwa jiran mtu alipigwaa mshale wa shavu lakn alisavaiv ww unaleta hadithi za darasa la 2
 
Back
Top Bottom