*INA MAANA GAN?*
watu wa 3 walipata *ajali* ya gari na wakawa hawajitambui kabisa. Mtu akatokea sehem ya ajali na akataka kupiga simu *kwamsaada* bahati mbaya hakuwa na simu. Kwenye ajali kulikuwa na *simu 6* lakin zote zilikuwa na password. Mwisho wa siku wakafa wote.
*Mjamzito* alianguka ghafla nyumban kwake akiwa na mwanae mdogo wakike, alivyoona mama yake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama'ake ili ampgie *baba ake* kwa msaada zaid, simu ilikuwa na password. *Akapoteza maisha.*
*Nan mwenye makosa?*
*USHAURI*.
Wewe u wa *thamani* sana kuliko *taarifa* unazoziwekea usalama ktk simu.
Weka password ktk whatsapp, fb, meseji, picha n.k
Acha upande wa *phonebook na calls bila password, siku moja yawezekana ukaokoa *maisha* yako au ya wapendwa wako.
*Password* ktk *simu* yako yaweza pelekea *umauti* wako.
*Fikiria mara mbili*
BINAFSI NIMEZIONDOA MANA HAKUNA NINALOFICHA NA HATA SIMU IKIIBIWA INAENDA KUFLSHIWA TU.
Post sent using JamiiForums mobile app