Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
3,639
Reaction score
11,320
Sawa najua yako sikupangii matumizi, ila be present at the moment angalau itaonyesha utimamu wako.
Na ikikubidi omba udhuru kisha utarejea au kama hulitaki tukio usiende/usije/usishiriki. Inashangaza mtu anakuita Kwa maongezi lakini yuko busy mno na simu yake, focus yake imehama iko kwingine. Sasa ulimuitia nini mtu?

Mtu baada ya kupanga date na mtu, ukifika ye yuko busy na simu, wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Hata kama una jambo la lazima basi mpe mwenzio hata dakika kumi mmalize alichokuitia kisha akuache na simu yako.

Unamuongelesha mtu badala akusikilize anahamia kwenye simu, unadhani bado anakusikiliza badala yake anaitika tu enhee, enhee...ulikuwa unasema? Halafu anarudi tena kwenye simu.

Tujifunze kuwa na kiasi, tusiruhusu hivi vifaa vitupelekeshe namna hiyo kuna muda wa kuwa busy kuperuzi, kuchat kwenye magroup na kuna muda wa kufocus kwenye mambo mengine nje ya simu. Shida Iko kwenye kubalance mzani.

Mzazi uko busy na simu hadi unamsahau mtoto, anakosa kampani na hata michezo toka kwako. Mahusiano yanakosa uhai, mwenza wako muda wote yuko busy na simu hamna muda wa kuongea mambo yenu. Mtu katoka mihangaikoni kwenye kazi zake, unaona huo ndio muda lakini bado yuko busy na simu mpaka kitandani busy na simu!

Watu mpaka zebra cross wanavuka huku wanaperuzi baadhi wanagongwa barabarani yote ni kukosa umakini. Ajali nyingine abiria mmelala dereva kule anachat huku anaendesha. Unaalikwa Kwa vikao/maongezi muhimu,we uko mbali unaperuzi.

Mtu anakusimamisha akuongeleshe jambo fulani unajibu huku unangalia simu, mambo mawili at the same time. Mpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadeki🤣🤣

NB: Sijaongelea kuacha matumizi ya simu, najua sio kuchat tu bali wengine kazi wanafanyia kwenye simu, biashara zinafanyika kwenye simu na mengine ya msingi. Ninachoongelea ni kubalance matumizi ya simu na matukio katika maisha halisi kuleta uwiano pande zote. Upande mmoja wa simu ukiwa na uzito Zaidi inaathiri upande wa pili.

Muwe na siku njema!

Sister Abigail♥️​
 
Sawa najua yako sikupangii matumizi,ila be present at the moment.angalau itaonyesha utimamu wako.
Na ikikubidi omba udhuru Kisha utarejea au kama hulitaki tukio usiende/usije/usishiriki.
Inashangaza mtu anakuita Kwa maongezi lakini Yuko busy mno na simu yake,focus yake imehama Iko kwingine.ulimuitia Nini mtu?
Mtu baada ya kupanga date na mtu,ukifika ye Yuko busy na simu.wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Hata kama una jambo la lazima basi mpe mwenzio hata dakika kumi mmalize alichokuitia Kisha akuache na simu yako.

Unamuomgelesha mtu badala akusikilize anahamia kwenye simu,unadhani bado anakusikiliza badala yake anaitika tu enhee,enhee...ulikuwa unasema?
Halafu anarudi Tena kwenye simu.
-tujifunze kuwa na kiasi,tusiruhusu hivi vifaa vitupelekeshe namna hiyo.kuna muda wa kuwa busy kuperuzi,kuchat kwenye magroup nk.Na Kuna muda wa kufocus kwenye mambo mengine nje ya simu.shida Iko kwenye kubalance mzani.

Mzazi uko busy na simu Hadi unamsahau mtoto,anakosa kampani na hata michezo toka kwako
Mahusiano yanakosa uhai,mwenza wako muda wote Yuko busy na simu.hamna muda wa kuongea mambo yenu.mtu katoka mihangaikoni kwenye kazi zake,unaona huo ndio muda lakini bado Yuko busy na simu.mpaka kitandani busy na simu!.
Watu mpaka zebra cross wanavuka huku wanaperuzi baadhi wanagongwa barabarani yote ni kukosa umakini
Ajali nyingine abrira mmelala dereva kule anachat huku anaendesha.
unaalikwa Kwa vikao/maongezi muhimu,we uko mbali unaperuzi
Mtu anakusinmisha akuongeleshe jambo Fulani unajibu huku unangalia simu,mambo mawili at the same time.
Mpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadeki🤣🤣

NB: sijaongelea kuacha matumizi ya simu,najua sio kuchat tu Bali wengine kazi wanafanyia kwenye simu,biashara zinafanyika kwenye simu na mengine ya msingi.
Ninachoongelea ni kubalance matumizi ya simu na matukio katika Maisha halisi kuleta uwiano pande zote.upande mmoja wa simu ukiwa na uzito Zaidi inaathiri upande wa pili.

Muwe na siku njema!

Sister Abigail♥️
Ujumbe wako ni kweli kabisa, lakini Vijana wa hovyo watakuja kukubishia... mitandao ya kijamii hasa facebook, intagram, tiktok daah! Ina kamata sana akili za watu, hasa vijana
 
Multitasking kwenye maongezi ya ana kwa ana ni dharau iliyopilitiliza.

Kama una mambo ya dharura yanayohitaji simu yako kila dakika, unatafuta nini kwenye social gatherings?

Baki nyumbani ushughukulikie hiyo empire yako kuliko kuleta usumbufu na kuonekana mshamba uliyepata smartphone ukubwani.

Wenye hii tabia huwa nawaona kama hawana utimamu wa akili.
 
Sawa najua yako sikupangii matumizi,ila be present at the moment.angalau itaonyesha utimamu wako.
Na ikikubidi omba udhuru Kisha utarejea au kama hulitaki tukio usiende/usije/usishiriki.
Inashangaza mtu anakuita Kwa maongezi lakini Yuko busy mno na simu yake,focus yake imehama Iko kwingine.ulimuitia Nini mtu?
Mtu baada ya kupanga date na mtu,ukifika ye Yuko busy na simu.wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Hata kama una jambo la lazima basi mpe mwenzio hata dakika kumi mmalize alichokuitia Kisha akuache na simu yako.

Unamuomgelesha mtu badala akusikilize anahamia kwenye simu,unadhani bado anakusikiliza badala yake anaitika tu enhee,enhee...ulikuwa unasema?
Halafu anarudi Tena kwenye simu.
-tujifunze kuwa na kiasi,tusiruhusu hivi vifaa vitupelekeshe namna hiyo.kuna muda wa kuwa busy kuperuzi,kuchat kwenye magroup nk.Na Kuna muda wa kufocus kwenye mambo mengine nje ya simu.shida Iko kwenye kubalance mzani.

Mzazi uko busy na simu Hadi unamsahau mtoto,anakosa kampani na hata michezo toka kwako
Mahusiano yanakosa uhai,mwenza wako muda wote Yuko busy na simu.hamna muda wa kuongea mambo yenu.mtu katoka mihangaikoni kwenye kazi zake,unaona huo ndio muda lakini bado Yuko busy na simu.mpaka kitandani busy na simu!.
Watu mpaka zebra cross wanavuka huku wanaperuzi baadhi wanagongwa barabarani yote ni kukosa umakini
Ajali nyingine abrira mmelala dereva kule anachat huku anaendesha.
unaalikwa Kwa vikao/maongezi muhimu,we uko mbali unaperuzi
Mtu anakusinmisha akuongeleshe jambo Fulani unajibu huku unangalia simu,mambo mawili at the same time.
Mpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadeki🤣🤣

NB: sijaongelea kuacha matumizi ya simu,najua sio kuchat tu Bali wengine kazi wanafanyia kwenye simu,biashara zinafanyika kwenye simu na mengine ya msingi.
Ninachoongelea ni kubalance matumizi ya simu na matukio katika Maisha halisi kuleta uwiano pande zote.upande mmoja wa simu ukiwa na uzito Zaidi inaathiri upande wa pili.

Muwe na siku njema!

Sister Abigail♥️
dah,
hili ni kama bomu la Al-Qash kurushwa kutoka Ghaza na kutua kwa usahihi sana TelAviv- Isreal.

well done ndugu mdau 👊
 
Mtu baada ya kupanga date na mtu,ukifika ye Yuko busy na simu.wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Huyo wa hivyo anakua hana self confidence juu yako,ndio anakua anavunga na simu,
Kama anaangalia simu kisha anacheka cheka ina maana anaangalia upuuzi na kuto kukuthamini au kuthamini muda wako,

Mwanaume akikufanyia hivyo,simama na uondoke,know your worth.
 
Kuna wakati huwa najiuliza, ni lini nitaacha kuperuzi jf kila muda na kila mahali? Yaani jamii forums iko na mimi na mimi niko na jamii forums, kazini nashinda naperuzi jf na nyumbani nikifika jf,mpaka my wife huwa ananiuliza huwa unasoma nini na shule ushafeli,nabaki najichekesha chekesha tu bila mpangilio. Kiukweli tutenge muda kwenye matumizi ya simu,sio kila mahala ni simu,simu,simu inakera.
 
Back
Top Bottom