Passwords katika simu yako inaposababisha kifo chako

Passwords katika simu yako inaposababisha kifo chako

Katika vilivyonishinda ni kuweka password simu yangu.
Kwangu mimi najioneaga usumbufu tu.
Huwezi kuta simu yangu ina password na ikiwa nayo jua kuna jambo
 
Aisee mimi sijawahi kuweka password kwa simu yangu ila Me too huyu anaweka password hadi call log
 
Kila kitu kina faida na hasara.kifo kipo tu.kwa maoni yako unataka tuwetunaacha wazi hata nyumba zetu.

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
[emoji117]Watu wa 3 walipata ajali ya gari nawakawa hawajitambui kabisa. Mtu akatokea sehemu ya ajali na akataka kupiga simu kwa msaada bahati mbaya hakuwa nasimu. Kwenye ajali kulikuwa na simu 6 lakin zote zilikuwa na passwords. Mwisho wasiku wakafa wote.

[emoji117]Mjamzito alianguka ghafla nyumbani kwake akiwa namwanae mdogo wakike, alivyoona mama ake anagugumia maumivu huku hajitambui, alichukua simu ya mama yake ili ampgie Baba yake kwa msaada zaidi, simu ilikuwa na password Akapoteza maisha.

Nani mwenye makosa?

USHAURI WANGU
Wewe ni wa thamani sana kuliko taarifa unazoziwekea usalama katika simu.

Weka password katika WhatsApp, fb, Sms, Picha n.k lakini acha upande wa Phonebook na Calls siku moja yawezekana ukaokoa maisha yako au ya wapendwa wako.

Password katika simu yako yaweza pelekea umauti wako.

Fikilia mara mbili

Kama nimewaboa samahani lakini hiyo ndio hali halisi jamani

Hizo simu gani zisizo na njia ya kupiga emergency call?
 
Usidanganywe kutoweka password kwenye simu yako
Utapata ajali
Watu wataibeba na kusepa nayo

Muhimu andika namba kwenye kitambulisho chako ie passport au weka namba za dharura kwenye pochi yako

Ila kifo hakizuiliki
Na inakuwaje mtu anapata tatizo watu hawampeleki hospital eti wanaanza kagua simu?
Ila hayo yote umeyatunga
 
Kila kitu kina faida na hasara.kifo kipo tu.kwa maoni yako unataka tuwetunaacha wazi hata nyumba zetu.

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Nimeshauri tu mkuu Kuwa... Basi angalau contacts ziwe hazijawekwa Passwords
 
Yangu kiboko mpaka nikitaka kutype inapidi niingize password,nikitaka kuizima kwanza password,kuwasha data password!!yaani ina password mwili mzima![emoji16] [emoji16]

Nokia tochi
 
Yangu kiboko mpaka nikitaka kutype inapidi niingize password,nikitaka kuizima kwanza password,kuwasha data password!!yaani ina password mwili mzima![emoji16] [emoji16]

Nokia tochi
Ahahahaaaaaa wewe kiboko [emoji119]
 
Kwaiyo kipindi simu hazipo watu walikuwa hawapotezi maisha?? kama terehe imefika imefika tu.

BTW, Ushauri wako ni mzuri
 
Shemeji/wifi yenu mkali na ana wivu kushinda yule mnyama nyegere[emoji16] !usipofanya hivyo utakuta amewatukana wote walio kutext na kukupigia siku hiyo,mradi ajue ni jinsia ya ke!

Nokia tochi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeh hiyo inaitwa abiria chunga mzigo wako [emoji26]
Wifi yetu apewe heshima yake kwakweli
 
Back
Top Bottom