Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

wenye vitz/swift tunaomba uanachama kwenye POA ila inabidi mubadilishe jina liwe SPVOA (Swift Passo & Vitz Owners Association. Ili twende sawa. Maana matatizo yetu yanafana ikiwemo hilo la kudharaulika barabarani na kwenye Parking
 
Jama namimi nina kamoango ka kujivutia ka passo, hv kwa sasa vinakwenda kwa tshs ngapi?
 
watz wengi malimbukeni!!!iweje ujivunie kuumia ati kwaajili ya kuwafurahisha watu wengine???? iwe v8 au paso zote gar
 
Wale wamiliki wa magari aina ya Passo tunahitajika kwa ajili ya mkutano mkuu wa chama.

SEHEMU: Msimbazi centre,

TAREHE: 28.7.2015.

AGENDA: Namna ya kukabiliana na dharau dhidi yetu wamiliki halali wa PASSO a.k.a BVR
Hahahaaaaaaaaaa... Daaaaah... So plan ni kununua Yutong au
 
Passo jamani Piston Tatu kichefuchefu,

Ukitaka passo zingatia hili, piston 4
kwani piston tatu inashida gani mkuu.nataka niingie yard muda si mrefu nam nipate kausafiri kakutembelea usiku na kwendea kanisani hata mikesha, maana mikesha ya mwsho wa mwaka sijaifadi kisa usafiri.
 
Back
Top Bottom