Mmewasahau Rejao na Ritz. Huyu wa pili aliahidi kwamba CDM Arumeru Mashariki ikishinda anatembea kama alivyozaliwa mtaani. Tumtafute athibitishe
Mkuu,
Umeshaenda kuedit nini?...angalia usiadhirike ukubwani broda!
Ha ha haa eti itakuwa kama Uzini na Igunga.....tuliwaambia AR sio Igunga.Adimit defeat is not a sportsman...Congratulate Chadema.
Naona ushindi wa Chadema unakuchanganya, ebu weka hiyo post yangu niliyosema hayo maneno kwenye uchaguzi wa Arumeru.
Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.
Ritz leo uko mtulivu sana hadi raha aisee!Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.
Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.
Pasco, yako wapi?
Hii si aibu kwa umri wako mzee mwenzangu?
Mtu kama wewe, kwa kazi yako hutakiwi kuwa mnafiki, maana unadeal na Media...umeishushia sana hadhi PPR
Yako mengi sana!
Yaje hapa tuyarambe...kudadadeki.