Pasco wa JF aje Hapa!

Jamani hii ni siasa tu. Tusipeleke vitu vikawa hadi vionekane kuwa ni personal. Kwenye haya mambo kuna passion (hisia kali) na wakati mwingine watu wanaweza kuzichukua hizo hisia na kuzifanya kuwa ni za binafsi. Kaitka wakati wa kampeni na hizi siasa watu huweza kuwa pande mbili tofauti tena kwa ukali sana lakini wakati wote tukumbuke kuwa ni siasa. Tatizo kuwa tumeanza kujenga tabia - ya aibu - kuwa kwa vile watu wako pande mbili tofauti (pro-ccm and pro-cdm) basi ni lazima wawe na uadui wa kuchukiana.

Tusipoangalia sisi sote hatutakuwa tofauti na wale waliokata wabunge wa CDM mapanga au ambao wanapigana na kuumizana kwa sababu za kisiasa tu. Tujifunze kupingana bila kupigana, kulumbana bila kuumana na kukosoana bila kukosana. Kama sisi hapa hatuwezi kutofautiana bila kufanyana duni basi hatuna tofauti na watu wengine ambao hawana wigo mpana wa kushirikiana namna hii.

So Pasco alichukua upande ambao historia imehukumu ni wa makosa; so what? So kina Ritz, Ribosome na wengine walishabikia sana CCM na kubezana sana CDM so what? it is JUST POLITICS! kwa kawaida inatakiwa tufike mahali baada ya mambo haya siasa kuweza kucheka, kuchekeana na kuchekeshana tusubiri mtanange mwingine. NDIVYO tutakavyozidi kukomaa katika demokrasia. BInafsi nilitarajia watu waliochekeshwa na Pasco wangeamua kumtafuta ili kumkaribisha kunywa naye bia na kucheka pamoja.

Vinginevyo, tutaanza kutengeneza visasi visivyo na sababu.
 
Jamani hii ni siasa tu. Tusipeleke vitu vikawa hadi vionekane kuwa ni personal. Kwenye haya mambo kuna passion (hisia kali) na wakati mwingine watu wanaweza kuzichukua hizo hisia na kuzifanya kuwa ni za binafsi. Kaitka wakati wa kampeni na hizi siasa watu huweza kuwa pande mbili tofauti tena kwa ukali sana lakini wakati wote tukumbuke kuwa ni siasa. Tatizo kuwa tumeanza kujenga tabia - ya aibu - kuwa kwa vile watu wako pande mbili tofauti (pro-ccm and pro-cdm) basi ni lazima wawe na uadui wa kuchukiana.

Tusipoangalia sisi sote hatutakuwa tofauti na wale waliokata wabunge wa CDM mapanga au ambao wanapigana na kuumizana kwa sababu za kisiasa tu. Tujifunze kupingana bila kupigana, kulumbana bila kuumana na kukosoana bila kukosana. Kama sisi hapa hatuwezi kutofautiana bila kufanyana duni basi hatuna tofauti na watu wengine ambao hawana wigo mpana wa kushirikiana namna hii.

So Pasco alichukua upande ambao historia imehukumu ni wa makosa; so what? So kina Ritz, Ribosome na wengine walishabikia sana CCM na kubezana sana CDM so what? it is JUST POLITICS! kwa kawaida inatakiwa tufike mahali baada ya mambo haya siasa kuweza kucheka, kuchekeana na kuchekeshana tusubiri mtanange mwingine. NDIVYO tutakavyozidi kukomaa katika demokrasia. BInafsi nilitarajia watu waliochekeshwa na Pasco wangeamua kumtafuta ili kumkaribisha kunywa naye bia na kucheka pamoja.

Vinginevyo, tutaanza kutengeneza visasi visivyo na sababu.
Ni upande gani huo ambao historia imehukumu ni wa makosa?
 
Hongereni sana watani zangu CHADEMA kwa ushindi huu.....

Ila kuna siku Pasco hapa hapa JF baada ya Siyoi kupitishwa na CCM kugombea ubunge alisema hivi:

Arumeru is done!, kinachoendelea sasa ni kukamilisha tuu taratibu!. Wameru ni watu wenye msimamo, uamuzi wamchague nani, umeishafanyika hivyo hautegemei kampeni yoyote!.

Kama ni kamanda yule yule aliomba kura kwa watu hao hao huku akishindana na kivili cha mahituti kitandani, na akatoswa, what chances does he stand now?,
Next....?.

Nami nikamjibu hivi:

Kuna msemo unasema 'Watanzania si wajinga tena'....So CCM tusitegemee mteremko hapa.....

Binafsi nilitegemea kwenye hatua ya awali ya kura Sioi Sumari(kama kweli anakubalika kutokana na kukubalika kwa baba yake) angepata asilimia 100 kama sio 51 ya kura za maoni....Lakini cha kushangaza alipata asilimia 30+ tu ya kura...Hii ina maana alikuwa hakubaliki hata ndani ya CCM wilayani Arumeru......Kitu ambacho ni hatari sana maana nilitegemea angepata ushindi wa kishindo.....Hayo masuala ya kwamba baba yake alishinda akiwa kitandani so na mwanaye atashinda hayana nafasi na tusiyape nafasi kabisa maana Jery Sumari na Sioi Sumari ni watu wawili tofauti na mbaya zaidi huyo Sioi alikuwa hajishughulishi na mambo ya siasa(ameibuka mara tu baada ya baba yake kufariki)......Sina uhakika kama Wameru wote wana mawazo finyu kama haya unayotaka tuyaamini kwamba wanaendekeza mambo ya kurithishana,kwamba wanamchagua mtu kwa kujuana na si kwa kuangalia sera/Ilani ya chama chake wala uwezo wake....Hili litakuwa ni TUSI kubwa sana kwa Wameru na kama CCM wanataka Sioi ashinde wasijaribu kutumia ama kuitegemea dhana hii mbaya na chafu........

Sina uhakika(pamoja na kuwa ni Mwanasheria) na uwezo wa Sioi wa kumiliki jukwaa la kisiasa(kuongea kwenye haliki kubwa ya wananchi wakati wa kampeni) kama ilivyo kwa mpinzani wake wa karbu Joshua Nasari,...Huyu bwana mdogo anaongea na ana uwezo mkubwa sana wa kulimiliki Jukwaa na pamoja na kushindwa kwa zaidi ya kura 11,000 na Jery Sumary,huyu kijana alionesha kwamba anao uwezo mkubwa wa kuhimili siasa za ushindani hasa ukizingatia kwamba alikuwa akishindana na mtu ambaye pamoja na kwamba ni kama baba yake pia alikuwa ni mwanasiasa mzoefu,Mbunge aliyemaliza muda wake,Naibu Waziri na pia Mzazi mwenza wa aliyepata kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa.....Pamoja na hayo yoote huyu kijana aliweza kupata kura nyingi kiasi cha kuwa tishio kwa Jerry Sumari....

Ninawashauri wana CCM wasibweteke na waachane na hii dhana mbaya na potofu ya Pasco ya kusema eti 'Arumeru is Done' kisa tu Mkwe wa Lowassa ameshinda kuiwakilisha CCM.....Haiwezekani eti mtu ambaye hakubaliki ndani ya chama chake(kwa matokeo ya awali na hata ya leo) eti ndio apewe nafasi kubwa ya kumshinda kijana mahiri wa aina ya Nasari......Nakataa.....Cha msingi ni CCM kujipanga kwa ajili ya mapambano(ya kisera) na si kubweteka eti watashinda kiulaini.......Tanzania ya sasa si ya mwaka 1995 wala 2000.......Ikumbukwe kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 mkoa wa Arusha hasa wilaya za Arusha mjini na Arumeru umekuwa ni ngome kuu ya CHADEMA na maandamano na hekaheka za kisiasa ambazo zimekuwa zikitokea mara baada ya uchaguzi huo zimeifanya CHADEMA izidi kupata wafuasi na wanachama katika wilaya za Arusha mjini na Arumeru hivyo CCM tusitegemee kushinda kiulaini kama Pasco anavyojaribu kupotosha......Kama Lowassa anakubalika sana Arumeru na ndani ya CCM sidhani kama mkwewe Sioi angeweza kupata asilimia 30+ ya kura za maoni za awali na hata uchaguzi wa leo inajulikana wazi kwamba Sioi ameshinda kutokana na nguvu ya ziada iliyotumika ikiwa ni pamoja na matumizi makubwa ya fedha ambapo imeripotiwa kwamba TAKUKURU wamewakamata watu watatu(03) ambao wanadaiwa ni wafuasi wa Sioi wakijihusihsa na vitendo vya utoaji wa Rushwa kwa wana CCM...

CCM inapaswa kugangamala na kujipanga maana kazi iliyopo mbele ni ngumu hasa tofauti na Pasco anavyotaka tuamini....

Wakatabahu......

Bala.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...evu-anguko-lililo-wazi-ccm-3.html#post3416629

Hongereni sana CHADEMA....

CCM tunajipanga na kuangalia ni wapi tumekosea(japo makosa ni yaleyale na sababu za kushindwa ni zilezile).....

Kila la heri kwa Nassari..
 
Namtaka Pasco, aka Pasco wa JF aje hapa!

My take:
Unafiki na kuwaramba miguu watawala si dawa!
PK,
Kama mtu ni mrambaji miguu watawala kwakwe ndio raha yake, au ndio mfumo wa uendeshaji maisha yake, then ni haki yake, kumuita mnafiki, sio kumtendea haki!.

Kama na wewe unanihesabu miongoni mwa hao wajikomba komba na waramba miguu watawala, keep counting me in, muda muafa ukifika, you'll count me out.

Mimi nipo na pia nakiri kuwa wengi wetu mnanijua kama pro EL, ni ukweli kabisa, ila ule upro EL wangu was only ment for great thinkers tuu. Only those who can read in between the lines ndio walinielewa!.

Wakati wa Arumeru, niliside na Sioi kwa vile niliamini Watanzania ni wale wale juzi jana na leo, hivyo baada tuu ya kupitisha, nikasema kwa uhakika, uchaguzi umeisha kilichobakia ni kukamilisha tuu taratibu!.

Kilichotokea sote tumekiona, kumbe Watanzania wa sasa, sio wale wale wa juzi na jana, hawa wa leo wameamka, sio watu wa kupelekwa pelekwa tuu kwa t-shirt, kofia na shibe ya siku moja!. Watanzania wa sasa sio tena bendera fuata upepo!. Hivyo baada ya uchaguzi ule nilikuja na kukubali matokeo na nikasema bayana kumbe mabadiliko yanawezekana hata bila CCM kumsimamisha EL. The wind of change is sweeping accross Tanzania, hivyo 2015, hata CCM ikimsimamisha the best of the best, down the drain, it will go!.

Wakunielewa wamenielewa, msio elewa endeleeni kuelewa hivyo hivyo mnavyoielewa kwa kadri ya uelewa ambao kila mmoja wetu amejaliwa. Jf ni yetu sote, the great mind, the ordinary and the simple mind alike.

Asante.

Pasco
 
PK,
Kama mtu ni mrambaji miguu watawala kwakwe ndio raha yake, au ndio mfumo wa uendeshaji maisha yake, then ni haki yake, kumuita mnafiki, sio kumtendea haki!.

Kama na wewe unanihesabu miongoni mwa hao wajikomba komba na waramba miguu watawala, keep counting me in, muda muafa ukifika, you'll count me out.

Mimi nipo na pia nakiri kuwa wengi wetu mnanijua kama pro EL, ni ukweli kabisa, ila ule upro EL wangu was only ment for great thinkers tuu. Only those who can read in between the lines ndio walinielewa!.

Wakati wa Arumeru, niliside na Sioi kwa vile niliamini Watanzania ni wale wale juzi jana na leo, hivyo baada tuu ya kupitisha, nikasema kwa uhakika, uchaguzi umeisha kilichobakia ni kukamilisha tuu taratibu!.

Kilichotokea sote tumekiona, kumbe Watanzania wa sasa, sio wale wale wa juzi na jana, hawa wa leo wameamka, sio watu wa kupelekwa pelekwa tuu kwa t-shirt, kofia na shibe ya siku moja!. Watanzania wa sasa sio tena bendera fuata upepo!. Hivyo baada ya uchaguzi ule nilikuja na kukubali matokeo na nikasema bayana kumbe mabadiliko yanawezekana hata bila CCM kumsimamisha EL. The wind of change is sweeping accross Tanzania, hivyo 2015, hata CCM ikimsimamisha the best of the best, down the drain, it will go!.

Wakunielewa wamenielewa, msio elewa endeleeni kuelewa hivyo hivyo mnavyoielewa kwa kadri ya uelewa ambao kila mmoja wetu amejaliwa. Jf ni yetu sote, the great mind, the ordinary and the simple mind alike.

Asante.

Pasco
Utetezi wako umekamilika, Lakini umechelewa sana, mategemeo yangu ni kwamba utetezi huu ungeuficha kwenye hoja zako za upro Lowasa toka mapema isingefikia hatua ya kuitwa majina ya ajabu. Do not ignore the small things
 
Jamani hii ni siasa tu. Tusipeleke vitu vikawa hadi vionekane kuwa ni personal. Kwenye haya mambo kuna passion (hisia kali) na wakati mwingine watu wanaweza kuzichukua hizo hisia na kuzifanya kuwa ni za binafsi. Kaitka wakati wa kampeni na hizi siasa watu huweza kuwa pande mbili tofauti tena kwa ukali sana lakini wakati wote tukumbuke kuwa ni siasa. Tatizo kuwa tumeanza kujenga tabia - ya aibu - kuwa kwa vile watu wako pande mbili tofauti (pro-ccm and pro-cdm) basi ni lazima wawe na uadui wa kuchukiana.

Tusipoangalia sisi sote hatutakuwa tofauti na wale waliokata wabunge wa CDM mapanga au ambao wanapigana na kuumizana kwa sababu za kisiasa tu. Tujifunze kupingana bila kupigana, kulumbana bila kuumana na kukosoana bila kukosana. Kama sisi hapa hatuwezi kutofautiana bila kufanyana duni basi hatuna tofauti na watu wengine ambao hawana wigo mpana wa kushirikiana namna hii.

So Pasco alichukua upande ambao historia imehukumu ni wa makosa; so what? So kina Ritz, Ribosome na wengine walishabikia sana CCM na kubezana sana CDM so what? it is JUST POLITICS! kwa kawaida inatakiwa tufike mahali baada ya mambo haya siasa kuweza kucheka, kuchekeana na kuchekeshana tusubiri mtanange mwingine. NDIVYO tutakavyozidi kukomaa katika demokrasia. BInafsi nilitarajia watu waliochekeshwa na Pasco wangeamua kumtafuta ili kumkaribisha kunywa naye bia na kucheka pamoja.

Vinginevyo, tutaanza kutengeneza visasi visivyo na sababu.

Mwanakijiji unamaanisha nini unaposema.
1. Hizi ni siasa
2. Ni siasa
3. Sababu za Kisiasa tu.
4. It is just Politics
5. Baada ya Mambo haya Siasa
6. Tusubiri Mtanange Mwingine.

Naomba clarification umenichanganya sana.
 
PK,
Kama mtu ni mrambaji miguu watawala kwakwe ndio raha yake, au ndio mfumo wa uendeshaji maisha yake, then ni haki yake, kumuita mnafiki, sio kumtendea haki!.

Kama na wewe unanihesabu miongoni mwa hao wajikomba komba na waramba miguu watawala, keep counting me in, muda muafa ukifika, you'll count me out.

Mimi nipo na pia nakiri kuwa wengi wetu mnanijua kama pro EL, ni ukweli kabisa, ila ule upro EL wangu was only ment for great thinkers tuu. Only those who can read in between the lines ndio walinielewa!.

Wakati wa Arumeru, niliside na Sioi kwa vile niliamini Watanzania ni wale wale juzi jana na leo, hivyo baada tuu ya kupitisha, nikasema kwa uhakika, uchaguzi umeisha kilichobakia ni kukamilisha tuu taratibu!.

Kilichotokea sote tumekiona, kumbe Watanzania wa sasa, sio wale wale wa juzi na jana, hawa wa leo wameamka, sio watu wa kupelekwa pelekwa tuu kwa t-shirt, kofia na shibe ya siku moja!. Watanzania wa sasa sio tena bendera fuata upepo!. Hivyo baada ya uchaguzi ule nilikuja na kukubali matokeo na nikasema bayana kumbe mabadiliko yanawezekana hata bila CCM kumsimamisha EL. The wind of change is sweeping accross Tanzania, hivyo 2015, hata CCM ikimsimamisha the best of the best, down the drain, it will go!.

Wakunielewa wamenielewa, msio elewa endeleeni kuelewa hivyo hivyo mnavyoielewa kwa kadri ya uelewa ambao kila mmoja wetu amejaliwa. Jf ni yetu sote, the great mind, the ordinary and the simple mind alike.

Asante.

Pasco
Kazi ya Pascal endelevu
 
Back
Top Bottom