Kisesetusese
Senior Member
- Sep 12, 2022
- 173
- 242
Haji ni kijana bado, sio mzee kivile, mwanamichezo na serebliti katika sport na kadhalika.
Hoja yangu ni kwamba ni kweli aliigusa 7 points katika division ya kwanza.
Labda nite maelezo mafupi kwa wenye talent, bahati njema ni kwamba hawa vipaji aka vipanga wamenizunguka nawafaham vyema. Mmoja katika hawa ni mtangazaji maarufu pasco, msomi, mwana jamii forum na mtu mwerevu. Huyu ni kipaji alianzia pale arusha katika kituo cha ilboru Sekondari. Huyu sina shaka. Haji alisoma wapi na alipata one points sevon kweli??
Ni mtu na kijana na ana dini imemkaa mashaallah. Haji manara tangu akiwa yanga kama msemaji ninamheshim bado lakini katika uwanja wa kitaalam na kitaaluma. naombeni kujua
Kwawanaomjua
Hoja yangu ni kwamba ni kweli aliigusa 7 points katika division ya kwanza.
Labda nite maelezo mafupi kwa wenye talent, bahati njema ni kwamba hawa vipaji aka vipanga wamenizunguka nawafaham vyema. Mmoja katika hawa ni mtangazaji maarufu pasco, msomi, mwana jamii forum na mtu mwerevu. Huyu ni kipaji alianzia pale arusha katika kituo cha ilboru Sekondari. Huyu sina shaka. Haji alisoma wapi na alipata one points sevon kweli??
Ni mtu na kijana na ana dini imemkaa mashaallah. Haji manara tangu akiwa yanga kama msemaji ninamheshim bado lakini katika uwanja wa kitaalam na kitaaluma. naombeni kujua
Kwawanaomjua