Bumpkin Billionare
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 1,332
- 621
Hivi hamna mbunge mwingine wa CCM anaye-umwa-umwa?
Mkuu Ritz kumbe upo mzee mwenzangu,ulijificha wapi kiongozi?teh teh teh!kuhusu hiyo kauli ya kutembea uchi hata mimi nakutetea,ulisema uzini na wala si Arumeru!naona kamanda mwenzetu kateleza kidogo!
Ritz leo uko mtulivu sana hadi raha aisee!
Mkuu, wewe ni mwanamageuzi, umeguka mwili mzima, bado MKIA tu!
Hamia Airtel mkuu!
Aisee!! After hardship comes relief...
wewe na nani?Yako mengi sana!
Yaje hapa tuyarambe...kudadadeki.
Adimit defeat is not a sportsman...Congratulate Chadema.
Oyeeeeeeee! Chadema juuuuuu!Si ndo maana nakupendaga tu bure....
A town oyeeeeeeeee
SL hongera mwayego
Mimi na wapenda mabadiliko wenzangu.wewe na nani?
Tumewarambaaaaaa!TUMEZIPOKEA!
Tumewaramba hatujawaramba?
Ritz, Faiza fox Pascooooooooooooooooooooooooooooo jitokezeni basi?
Hivi SL ukisema unatumiaga kimiminika gani vile?...Najipanga vizuri ili uje ukimbie mwenyewe pale Bar Mpya!Tumewarambaaaaaa!
Kudadadeki!
Arusha raha jamani, tunasherehekea balaaaa, ukipita mjini kila mtu anatabasamu kama sio kucheka!
Najivunia watu wanguOyeeeeeeee! Chadema juuuuuu!
Ahsante sana bht..
Hahaha!..Hivi SL ukisema unatumiaga kimiminika gani vile?...Najipanga vizuri ili uje ukimbie mwenyewe pale Bar Mpya!
Hivi SL ukisema unatumiaga kimiminika gani vile?...Najipanga vizuri ili uje ukimbie mwenyewe pale Bar Mpya!
Msinisahau kwenye ufalme wenu.Hahaha!..
Ntakutumia kwa PM manake hapa watanionea tamaa lol...
Thanks sana PJ.