Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,683
Tatizo husomi, unakurupuka tu....vipi kuhusu mauaj ya al shabaab na boko kharam yenyewe mbona hukemei au wao ni jihad. tulia mrudishe adabu mana mmezoea kuchekewa sasa mmepamia pabaya, lile taifa hata dunia nzima iungane kulipiga never hamtawezd
nimekemea sana tu hata kwenye hii thread
dhuluma ndio tatizo, na kwa mizizi ya vitabu vya watu waliokua hawajui dunia ni duara bado tunadhulumiana uhai na haki za msingi