Pasco - Unawezaje kusema maneno kama haya ?

Pasco - Unawezaje kusema maneno kama haya ?

God bless Israel, a Holy Nation and a chosen race!!!!!

Na hao hao ndio wanasema kila atundikwae msalabani ana laana na nyinyi mkakubali kuwa Yesu ana laana kwa kutundikwa msalabani.

Wala hatuwashangai, tuna maandiko yana miaka zaidi ya 1400:

Qur'an 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. ***
 
tuliza nyege israel aendelee kutembeza kichapo kwa magaidi heshima irudi

nyege anzo mama yako, bibi yako, shangazi yako na baba zako (maana wapo wengi)

Dont jump to my d!ck coz I aint buying no holes.... Mind your business

Gaddeeemiit!!!
 
Na hao hao ndio wanasema kila atundikwae msalabani ana laana na nyinyi mkakubali kuwa Yesu ana laana kwa kutundikwa msalabani.

Wala hatuwashangai, tuna maandiko yana miaka zaidi ya 1400:

Qur'an 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. ***

You are wrong... huwezi kuondoa kosa kwa kutenda kosa

Shida sio dini hapa, shida ni dhuluma

kwa kuingiza dini na wewe unaangukia mtego uleule wa wapumbavu wanaotukuza taifa la madhalimu

kamwe siwezi kushangilia mjahiddins, israel wala waonevu wa aina yoyote ile

hata nyati hawafanyiani ukatili wa watu wanaoendekeza maandiko yaliyopitwa na wakati
 
You are wrong... huwezi kuondoa kosa kwa kutenda kosa

Shida sio dini hapa, shida ni dhuluma

kwa kuingiza dini na wewe unaangukia mtego uleule wa wapumbavu wanaotukuza taifa la madhalimu

kamwe siwezi kushangilia mjahiddins, israel wala waonevu wa aina yoyote ile

hata nyati hawafanyiani ukatili wa watu wanaoendekeza maandiko yaliyopitwa na wakati

vipi kuhusu mauaj ya al shabaab na boko kharam yenyewe mbona hukemei au wao ni jihad. tulia mrudishe adabu mana mmezoea kuchekewa sasa mmepamia pabaya, lile taifa hata dunia nzima iungane kulipiga never hamtawezd
 
You are wrong... huwezi kuondoa kosa kwa kutenda kosa

Shida sio dini hapa, shida ni dhuluma

kwa kuingiza dini na wewe unaangukia mtego uleule wa wapumbavu wanaotukuza taifa la madhalimu

kamwe siwezi kushangilia mjahiddins, israel wala waonevu wa aina yoyote ile

hata nyati hawafanyiani ukatili wa watu wanaoendekeza maandiko yaliyopitwa na wakati

Exactly!

Na ndipo shida ilipo. Tunashindwa kutofautisha imani zetu na dhulma nyinginezo duniani. Kama kuna dini inafundisha dhulma dhidi ya binadamu wengine. Na ilaaniwe. Na hiyo siyo dini ya Mwenyezi Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo. Dini ni upendo na heshimwa kwa binadamu wenzetu hata kama hatukubaliani na mawazo yao.

I for one, naamini kabisa..an eye for an eye..will make the world blind. Rockets na mizinga haviwezi kumaliza tatizo la Israel na waPelestina. Ni mazungumzo tuu. Lakini unakuta pande zote kuna wahafidhina wanaaona kwamba wao ndo wenye haki pekee. Israel anachofanya pale Gaza mimi naona SI SAWA. Hivo hivyo anachofanya Hamas kulipua rokect na makombora kule Israel SI SAWA.

As I said before, mjadala kama huu hauwezi kufika mbali au kujadiliwa kwa tija kwa sababu tayari tumeshachagua upande. Na tatizo kubwa ni imani zetu.

Mhukumu Myahudi na Mpalestina kwa matendo yake na wala si imani yake kamwe.

Tujifunze kujadili hoja bila kuitana majina. Tukishinda huo mtihani tutakuwa tumemteka adui yetu.

Masanja
 
Great one Masanja, umeiweka kistaarabu ingawa ujumbe ni uleule

Tufike sehemu tukubali kutofautiana bila victimization... Pasco had wished for something which never happened, and a wish is a wish

Many people have wishes that they never tell anyone... some of the wishes are outrageous etc.

We should always try to learn from ones point of view and use that as a point of reference at some point in time

I THINK IT WAS RIGHT FOR PASCO TO WISH WHAT HE WISHED FOR, AND WISHES ARE WISHES... IT DOESNT MEANT THAT HE WOULD TAKE SILAHA AND DESTROY EVERY ISRAELI IN THIS WORLD

MAYBE HITLER ANGEWAMALIZA, ANGEWISH OTHERWISE

IF WISHES WERE HORSES, BEGGARS COULD RIDE

Mkuu umeongea vyema kabisa lakini hapo juu kwenye bold. I respectfully beg to differ. Kwa wale tunaofuatilia haya mambo tutakubaliana kwamba incitement zinaanza hivi hivi. Ulizia Rwanda genesis ya Genocide ilianza vipi. Ni hizi hizi wishes...ambazo baadaye ukipata nafasi inabidi uanze kujustify. A wish ni kitu ambacho unakitamani hata kama huwezi kukipata. Imagine mtu anakwambia ningekuwa Rais..I wish ningezuia pombe nchi nzima au nginefutilia mbali kabila fulani...well..we live in a world of possibilities..what will happen ikitokea huyo mtu akawa Rais? It is possible also kwamba kuna watu wanashare wishes za huyo mtu..as such they might offer their support to him..simply because they know..akipata hiyo nafasi they can put into action their agenda.

In anycase..you cant wish..race fulani..au kabila fulani..lifutike duniani.....uhai ni tunu anayotoa Muumba tuu. Kwa hiyo hata kama tukitofautiana au ukanichukia vipi..ni vema vile vile tujifunze kuvumiliana.....Its simply a human nature that..we are bound to differ and see things differently. But that doesnt mean that we are enemies. Ndo maana ukiangalia kwa makini..huwezi kuona Dr. Slaa anakutana na Kinana au Nape kwenye sherehe au tukio fulani wasisalimiane..ingawa deep down...kila mmoja anajua anavyotukanwa/chukiwa na mwenzake. Mifano ni mingi.

Ndo maana nasema kuwa binadamu ni responsbility kubwa. You have to learn to restrain yourself. Otherwise, unaweza piga mapanga au bastola binadamu wote ukawamaliza...as long as they dont agree with you. And thats why we have THE law.

So..I may simply say...be careful with what you wish for...you might get it!
 
You are wrong... huwezi kuondoa kosa kwa kutenda kosa

Shida sio dini hapa, shida ni dhuluma

kwa kuingiza dini na wewe unaangukia mtego uleule wa wapumbavu wanaotukuza taifa la madhalimu

kamwe siwezi kushangilia mjahiddins, israel wala waonevu wa aina yoyote ile

hata nyati hawafanyiani ukatili wa watu wanaoendekeza maandiko yaliyopitwa na wakati

Kosa lipi lililoondolewa kwa kutenda kosa ewe punguani mwengine?

Sema hapo kama hakuna urafiki uliotajwa miaka zaidi ya 1400 nyuma. Cha kushangaza, hao hao waliwaua ma jews kwa mamilioni leo eti ndio wa maana. Wale walowahifadhi ma jews ndiyo maadui? Khaa! hamna hata fikra?

Hao ma jews miaka kwa miaka kabla ya ma jews wa Europe kuhamishiwa Palestina walikuwa wanaishi nchi za Kiarabu ulisikia wakiuliwa kama walivyouliwa na Hitler? hapana, Tena wala hawakunyanyaswa, na wengine wapo mpaka leo, lakini huwasikii kulalamika kabisa katika nchi zenye Waislam, wako huru na wala hawabughudhiwi, leo hao hao waliofuta ramani ya Palestina duniani wanatetewa na nani?

Qur'an 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. ***
 
Pasco huwa nakwaminia coments zako lakini kwa hili huelewi ulichosema!!
Soma book the strugle for EUrope! Hitler hakuwa na sababu ya maana kuwauwa Wayahudi zaidi ya wivu tuu!!
Wewe unasuport idealorodge ya wivu, kuna mambo mengi yamejificha ya chuki dhidi ya Wayahudi!!
Wanabidi wajitetee hakuna jinsi, huwezi kuwafuta Wayahudi maana ni wana wa Mungu aliye hai!!
Ukiwalaani unalaaniwa, ukiwabariki unabarikiwa, hiyo ni given, ask the Americans!!
mmegubikwa na hekaya za kutukuza ukoloni mkongwe... hivi ukiwabariki wana wa israel nawewe unabarikiwa kwa misingi gani....
huyu mungu wenu aliyeletwa na majahazi ya wafanya biashara na wakoloni ana matatizo sana.
 
Last edited by a moderator:
Israel ananikosha roho sana

Hawa jamaa bila kipigo hawawezi kuwa na adabu.

Wapigwe tu, mpaka wakubali kitimoto ni bora kuliko ngamia
 
Nilikuwa napitia posts hapa JF na nikakutana na hii statement aliyoitoa Pasco (rangi nyekundu hapa chini)....I was shocked !.

" Moja ya makosa makubwa sana Hitler aliyoyafanya, na kuwabakiza baadhi ya hawa jamaa!, walipaswa wote kabisa wawe wiped kwenye uso wa dunia ndipo asamani ya kudumu ingepatikana enero la Mashariki ya Kati "


Pasco wewe hapa JF, kwa watu wengi unajulikana ni mtu mwenye upeo mkubwa na vile vile kama sijakosea ni mwandishi wa habari. Kama mtu kama wewe ambaye kwa uelewa wako, utakuwa unajua genocides zote huwa zinaanza na propaganda za chuki na hatimaye zinawaingia watu mpaka wanakuwa kama wanyama na kuanza kuua watu wengine kwa sababu tu ya race zao, unawezaje kusema maneno kama haya !!!????

Miaka kama kumi hivi iliyopita, kuna wakati fulani, nilispend kama week nzima kusoma history ya vita kuu ya pili na niliposoma mauaji aliyokuwa anayafanya Hitler ya kuchukua watu na kuwaingiza kwenye gas chambers na kuua mamilioni ya watu kwa njia hiyo, nikajaribu kujiuliza, Hitler aliwezaje kuwashawishi na kuwafanya wajerumani wakubali kuwa wanyama kiasi hiki !. Lakini leo nilipoona statement yako hii, nikawaza, kama mtu kama Pasco anaweza akatamka maneno kama hayo, then kitu kama hiki kikianza kutokea duniani atakisupport na kama mtu wa uelewa wako Pasco atasupport kitu kama hiki, mbona ni rahisi kwa wengine wenye uelewa mdogo kukitekeleza....Probably hata wewe unaweza ukajikuta uko mstari wa mbele kutekeleza.....Ndio maana kwa wajerumani sasa hivi, manano kama hayo uliyoyasema yangekupeleka selo ! Wanajua problem ya statement za chuki kwani wame-experience first hand, na mpaka sasa hivi, wengi wao bado wana wakati mgumu kui-face history yao kama taifa !

Hakuna mtu anayezaliwa mnyama, tunabadilika na kuwa kama wanyama kwa kudharau vitu vidogo kama hivi na kutojifunza kutokana na history ! Baada ya hitler, bado genocides zimeendelea kutokea duniani (mojawapo ni kwa majirani zetu Rwanda) na kwa mtindo kama wa kwako Pasco ninalazimaka kwa masikitiko makubwa kuamini kwamba zitatokea tena na tena na tena.....

Wakati wewe, unafurahia kwamba Hitler alijitahidi kuangamiza race fulani hapa duniani, na wakati huo huo kusikitika kwamba alishindwa kumaliza kazi, Wajerumani, ambao Hitler alikuwa kiongozi wao, wameweka sheria kwamba kumshabikia hitler ni kosa kubwa kwa mujibu wa sheria zao !

Kwa kweli leo nimeamini usemi huu maarufu : "We learn from history that we never learn anything from history".


-----------------

Update - (Baada ya kupitia comments za wadau waliochangia)

Inatia moyo kuona watu wengi katika mjadala huu, hawakubaliani kabisa na maneno ya hatari aliyoyasema Pasco.

Ni ukweli ulio dhahiri, kwamba watu walioshiriki katika mauaji ya kimbari, ni watu wa kawaida kabisa kama wewe na mimi....ni engineers, journalists, soldiers, wamachinga, doctors, politicians etc, watu wenye familia zao, kama wengi wetu tulivyo. Kwa hiyo sisi kama watanzania hatuko immune kwa hatari kama hii...siku zote inaanza na propaganda za chuki na hizi zikishawaingia watu vizuri, kinachobaki ni kuingia madarakani kwa viongozi wenye nia ya kufanya hivyo na kuweka mipango, pamoja na kufanya uhamasishaji !

Tupinge hate speech na ubaguzi wa aina yeyote ile kwa nguvu zote. Ni hatari sana !

Ingawa Pasco hajasema chochote lakini naona ametumia muda wake mwingi kusoma karibia comments zote zilizotolewa. I hope atakuwa ameona hatari ya kauli yake hiyo na hatakuwa mtu tena wa kupromote vitu kama hivi na badala yake atakuwa mstari wa mbele kuvipinga.

Kuna quates nzuri ambazo Tyta amezishare kwenye moja ya posts zake, na mimi nimeona ni vyema niziweke hapa :

''Racism is man's gravest threat to man - the maximum of hatred for a minimum of reason.''-Abraham Joshua Heschel

''Racism springs from the lie that certain human beings are less than fully human. It's a self-centered falsehood that corrupts our minds into believing we are right to treat others as we would not want to be treated.''-Alveda King

''Racism is beyond common sense and has no place in our society''-.Steven Patrick Morrissey

''You don't fight racism with racism, the best way to fight racism is with solidarity.''Bobby Seale



Pia, kuna ushauri mzuri alioutoa Masanja kwa Pasco na ingawa najua Pasco atakuwa ameusoma, nimeona ni vyema niuweke hapa kwa msisitizo na kwa ajili ya wengine wote ambao kwa namna moja au nyingine hawatausoma :

Genocide and mass atrocities have no place in the 21 century. two wrongs dont make a right. Ukiwa-ua (Almighty forbid) waisrael-as one claims..watakuja wengine wakorofi. Utajistukia unabaki mwenyewe kwenye hii dunia.

The world is the way it is. We should learn to co-exist. We should celebrate our differences and diversity. We should ALWAYS know that as humans we are endowed with diferrent ways of seeing things and it is these differences that enriches us.

Pasco, I respect your right to opinion and freedom of expression. But people like you should be bit sensitive with what you write here or there. Tomorrow, you might be called upon to assume higher responsbility in our Republic. What if these comments surfaces? utakimbia maneno yako? what if kesho uitwe kutestify somewhere...my friend haya maneno may catch up with you.... My friend be careful brother. Kuna watu ukiona wameandika maneno kama haya..huwezi stuka..well..they are usual suspects. But not you my dear friend.

Dunia ya sasa na challenges mbali mbali tunazopitia (vita, njaa, magonjwa, chuki nk) huwezi uka-advocate violence as a means to tackle them. Such atitude and way of thinking are reserved for losers and defeated who tend to see things in colours of religions, race/ukabila/ukanda nk. Ndo maana kwenye siasa zetu..watu tumeshakuwa bigots bila kujua...hata watu unaowaheshimu..wakiona mijadala ya dini related...uwezo wao wa kufikiria unahama...ndo maana mijadala kama hii..haiwezi kujadiliwa kwa tija..kwa sababu we already have camps..wao..na sisi...as a result kila mtu anayaona mambo anavyotaka kuyaona....na wala si kiuhalisia.

I for one, namuelewa vema kabisa mleta mada. He brought it with good intention. And the message is imple: Dont advocate violence as a means to resolve differences. Genocide is a crime which should be condemned by all humans.


Kila kila kitu duniani kinakuja na sababu zake kutokana na wakati,,Mungu kumleta Hitler kuwaadhibu wayahudi ana sababu zake na amekuja kwa wakati wake

Inasikitisha kuona vipi jeshi lenye nguvu la Israel linavyowauwa na kuwatesa raia wa Palestine bila ya sababu yoyote,Hao hao waisrael walionewa huruma na dunia nzima kwa waliyowakuta kutoka kwa Hitler lakini tizama sasa nini wanawafanyia wapelesrine

video yasiri iliyochukuliwa na wavamiaji (Settler)inaonyesha vipi Natanyau anavyoidanganya dunia


Angalia video utafakari nini tafauti ya Judaism na zionsm
 
Last edited by a moderator:
Kwa hili Pasco was right 100% ... Haiwezekani watu wale wale waendelee kuleta madhara duniani miaka nenda miaka rudi! Wanatengeneza silaha za maangamizi ya ki-biologia na kikemikali kuwadhuru binadamu wenzao! wana-control media na wanaendesha propaganda za kibaguzi na ugaidi dunia nzima! wanajiita wateule wa kuhalalisha mauaji kwa jina Bwana alie hai!!! ... No wonder Nyerere aliwakataa kwa nguvu zote...!!! Pasco was absolutely right ...hawa watu hawana faida kwa binadamu wenzao hata kidogo....

ila boko haram, al qaeda, al shaabab wana faida kwa nani?
 
Kuna jamaa yetu hapa jamvini aliandika maneno haya kuwahusu nyie watu! Kwa hiyo nyie watu hamtakaa hata siku 1 mkawa na furaha! Libya ilikuwa nchi bora kabisa ona sasa hivi mambo yalivyo!

" Muslims are not happy They’re not happy in Gaza
They're not happy in Egypt They're not happy in
Libya They're not happy in Morocco They're not
happy in Iran They're not happy in Iraq They're not
happy in Yemen They're not happy in Afghanistan
They're not happy in Pakistan They're not happy in
Syria They're not happy in Lebanon So, where are
they happy? They're happy in Australia They're
happy in England They're happy in France They're
happy in Italy They're happy in Germany They're
happy in Sweden They're happy in the USA &
Canada They're happy in Norway They're happy in
almost every country that is not Islamic! And who
do they blame? Not Islam... Not their leadership...
Not themselves... THEY BLAME THE COUNTRIES
THEY ARE HAPPY IN!! And they want to change the
countries they're happy in, to be like the countries
they came from where they were unhappy. Try to
find logic in that ! Jeff Foxworthy on Muslims: 1. If
you refine heroin for a living, but you have a moral
objection to liquor... You are a Muslim 2. If you
own a $3,000 machine gun and $5,000 rocket
launcher, but you can't afford shoes... You are a
Muslim 3. If you have more wives than teeth... You
are a Muslim 4. If you wipe your butt with your
bare hand, but consider bacon unclean... You are
a Muslim 5. If you think vests come in two styles:
bullet-proof and suicide... You are a Muslim 6. If
you can't think of anyone you haven't declared
Jihad against... You are a Muslim 7. If you
consider television dangerous, but routinely carry
explosives in your clothing... You are a Muslim 8.
If you were amazed to discover that cell phones
have uses other than setting off roadside bombs...
You are a Muslim 9. If you have nothing against
women and think every man should own at least
four... You are a Muslim 10. If you find this
offensive or racist and don't forward it... You are a
Muslim!!"
Duh! Kuna watu wanajua kutafiti maana hata mimi hii nimeikubali. Ona vile wanavyoisumbua UK kwa sasa mpaka UK wanajuta kuwa jalala la wageni
 
Na hao hao ndio wanasema kila atundikwae msalabani ana laana na nyinyi mkakubali kuwa Yesu ana laana kwa kutundikwa msalabani.

Wala hatuwashangai, tuna maandiko yana miaka zaidi ya 1400:

Qur'an 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. ***

He kumbe kitabu kimeweka wazi kuwachukia Jews na Christian
 
Mkuu umeongea vyema kabisa lakini hapo juu kwenye bold. I respectfully beg to differ. Kwa wale tunaofuatilia haya mambo tutakubaliana kwamba incitement zinaanza hivi hivi. Ulizia Rwanda genesis ya Genocide ilianza vipi. Ni hizi hizi wishes...ambazo baadaye ukipata nafasi inabidi uanze kujustify. A wish ni kitu ambacho unakitamani hata kama huwezi kukipata. Imagine mtu anakwambia ningekuwa Rais..I wish ningezuia pombe nchi nzima au nginefutilia mbali kabila fulani...well..we live in a world of possibilities..what will happen ikitokea huyo mtu akawa Rais? It is possible also kwamba kuna watu wanashare wishes za huyo mtu..as such they might offer their support to him..simply because they know..akipata hiyo nafasi they can put into action their agenda.

In anycase..you cant wish..race fulani..au kabila fulani..lifutike duniani.....uhai ni tunu anayotoa Muumba tuu. Kwa hiyo hata kama tukitofautiana au ukanichukia vipi..ni vema vile vile tujifunze kuvumiliana.....Its simply a human nature that..we are bound to differ and see things differently. But that doesnt mean that we are enemies. Ndo maana ukiangalia kwa makini..huwezi kuona Dr. Slaa anakutana na Kinana au Nape kwenye sherehe au tukio fulani wasisalimiane..ingawa deep down...kila mmoja anajua anavyotukanwa/chukiwa na mwenzake. Mifano ni mingi.

Ndo maana nasema kuwa binadamu ni responsbility kubwa. You have to learn to restrain yourself. Otherwise, unaweza piga mapanga au bastola binadamu wote ukawamaliza...as long as they dont agree with you. And thats why we have THE law.

So..I may simply say...be careful with what you wish for...you might get it!

Sawa kabisa. Ni jambo la kustaajabisha kumsikia mtu anaye weza kuwa Mhariri kwa viwango vyetu vya Tanzania na msomi wa Sheria akiandika maandishi ya kijuha kiasi hiki.

Ethinic cleansing yoyote na mauaji ya genocide ni matokeo ya uchochezi wa chuki na wahanga wakubwa ni watu masikini,wanawake na watoto wasio weza jitetea! Leo tunamjadili Pasco lakini hawa ni wengi hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla! Waafrika hatujifunzi kitu ndio maana baada ya Genocide ya Rwanda karibia nyingine itokee Kenya na sasa mauaji ya kimbari yanaendelea Central Africa Republic!
 
Chunguza zaidi Mkuu, hayo makundi ni extension ya watu walewale Pasco aliowazungumzia!!! Uliza source of funds na silaha za hayo makundi.. you ll be shocked!!!
ila boko haram, al qaeda, al shaabab wana faida kwa nani?
 
Nilikuwa napitia posts hapa JF na nikakutana na hii statement aliyoitoa Pasco (rangi nyekundu hapa chini)....I was shocked !.

" Moja ya makosa makubwa sana Hitler aliyoyafanya, na kuwabakiza baadhi ya hawa jamaa!, walipaswa wote kabisa wawe wiped kwenye uso wa dunia ndipo asamani ya kudumu ingepatikana enero la Mashariki ya Kati "


Pasco wewe hapa JF, kwa watu wengi unajulikana ni mtu mwenye upeo mkubwa na vile vile kama sijakosea ni mwandishi wa habari. Kama mtu kama wewe ambaye kwa uelewa wako, utakuwa unajua genocides zote huwa zinaanza na propaganda za chuki na hatimaye zinawaingia watu mpaka wanakuwa kama wanyama na kuanza kuua watu wengine kwa sababu tu ya race zao, unawezaje kusema maneno kama haya !!!????

Miaka kama kumi hivi iliyopita, kuna wakati fulani, nilispend kama week nzima kusoma history ya vita kuu ya pili na niliposoma mauaji aliyokuwa anayafanya Hitler ya kuchukua watu na kuwaingiza kwenye gas chambers na kuua mamilioni ya watu kwa njia hiyo, nikajaribu kujiuliza, Hitler aliwezaje kuwashawishi na kuwafanya wajerumani wakubali kuwa wanyama kiasi hiki !. Lakini leo nilipoona statement yako hii, nikawaza, kama mtu kama Pasco anaweza akatamka maneno kama hayo, then kitu kama hiki kikianza kutokea duniani atakisupport na kama mtu wa uelewa wako Pasco atasupport kitu kama hiki, mbona ni rahisi kwa wengine wenye uelewa mdogo kukitekeleza....Probably hata wewe unaweza ukajikuta uko mstari wa mbele kutekeleza.....Ndio maana kwa wajerumani sasa hivi, manano kama hayo uliyoyasema yangekupeleka selo ! Wanajua problem ya statement za chuki kwani wame-experience first hand, na mpaka sasa hivi, wengi wao bado wana wakati mgumu kui-face history yao kama taifa !

Hakuna mtu anayezaliwa mnyama, tunabadilika na kuwa kama wanyama kwa kudharau vitu vidogo kama hivi na kutojifunza kutokana na history ! Baada ya hitler, bado genocides zimeendelea kutokea duniani (mojawapo ni kwa majirani zetu Rwanda) na kwa mtindo kama wa kwako Pasco ninalazimaka kwa masikitiko makubwa kuamini kwamba zitatokea tena na tena na tena.....

Wakati wewe, unafurahia kwamba Hitler alijitahidi kuangamiza race fulani hapa duniani, na wakati huo huo kusikitika kwamba alishindwa kumaliza kazi, Wajerumani, ambao Hitler alikuwa kiongozi wao, wameweka sheria kwamba kumshabikia hitler ni kosa kubwa kwa mujibu wa sheria zao !

Kwa kweli leo nimeamini usemi huu maarufu : "We learn from history that we never learn anything from history".


-----------------

Update - (Baada ya kupitia comments za wadau waliochangia)

Inatia moyo kuona watu wengi katika mjadala huu, hawakubaliani kabisa na maneno ya hatari aliyoyasema Pasco.

Ni ukweli ulio dhahiri, kwamba watu walioshiriki katika mauaji ya kimbari, ni watu wa kawaida kabisa kama wewe na mimi....ni engineers, journalists, soldiers, wamachinga, doctors, politicians etc, watu wenye familia zao, kama wengi wetu tulivyo. Kwa hiyo sisi kama watanzania hatuko immune kwa hatari kama hii...siku zote inaanza na propaganda za chuki na hizi zikishawaingia watu vizuri, kinachobaki ni kuingia madarakani kwa viongozi wenye nia ya kufanya hivyo na kuweka mipango, pamoja na kufanya uhamasishaji !

Tupinge hate speech na ubaguzi wa aina yeyote ile kwa nguvu zote. Ni hatari sana !

Ingawa Pasco hajasema chochote lakini naona ametumia muda wake mwingi kusoma karibia comments zote zilizotolewa. I hope atakuwa ameona hatari ya kauli yake hiyo na hatakuwa mtu tena wa kupromote vitu kama hivi na badala yake atakuwa mstari wa mbele kuvipinga.

Kuna quates nzuri ambazo Tyta amezishare kwenye moja ya posts zake, na mimi nimeona ni vyema niziweke hapa :

''Racism is man's gravest threat to man - the maximum of hatred for a minimum of reason.''-Abraham Joshua Heschel

''Racism springs from the lie that certain human beings are less than fully human. It's a self-centered falsehood that corrupts our minds into believing we are right to treat others as we would not want to be treated.''-Alveda King

''Racism is beyond common sense and has no place in our society''-.Steven Patrick Morrissey

''You don't fight racism with racism, the best way to fight racism is with solidarity.''Bobby Seale



Pia, kuna ushauri mzuri alioutoa Masanja kwa Pasco na ingawa najua Pasco atakuwa ameusoma, nimeona ni vyema niuweke hapa kwa msisitizo na kwa ajili ya wengine wote ambao kwa namna moja au nyingine hawatausoma :

Genocide and mass atrocities have no place in the 21 century. two wrongs dont make a right. Ukiwa-ua (Almighty forbid) waisrael-as one claims..watakuja wengine wakorofi. Utajistukia unabaki mwenyewe kwenye hii dunia.

The world is the way it is. We should learn to co-exist. We should celebrate our differences and diversity. We should ALWAYS know that as humans we are endowed with diferrent ways of seeing things and it is these differences that enriches us.

Pasco, I respect your right to opinion and freedom of expression. But people like you should be bit sensitive with what you write here or there. Tomorrow, you might be called upon to assume higher responsbility in our Republic. What if these comments surfaces? utakimbia maneno yako? what if kesho uitwe kutestify somewhere...my friend haya maneno may catch up with you.... My friend be careful brother. Kuna watu ukiona wameandika maneno kama haya..huwezi stuka..well..they are usual suspects. But not you my dear friend.

Dunia ya sasa na challenges mbali mbali tunazopitia (vita, njaa, magonjwa, chuki nk) huwezi uka-advocate violence as a means to tackle them. Such atitude and way of thinking are reserved for losers and defeated who tend to see things in colours of religions, race/ukabila/ukanda nk. Ndo maana kwenye siasa zetu..watu tumeshakuwa bigots bila kujua...hata watu unaowaheshimu..wakiona mijadala ya dini related...uwezo wao wa kufikiria unahama...ndo maana mijadala kama hii..haiwezi kujadiliwa kwa tija..kwa sababu we already have camps..wao..na sisi...as a result kila mtu anayaona mambo anavyotaka kuyaona....na wala si kiuhalisia.

I for one, namuelewa vema kabisa mleta mada. He brought it with good intention. And the message is imple: Dont advocate violence as a means to resolve differences. Genocide is a crime which should be condemned by all humans.

kwa nini usishangae wanaotoa maneno kama hayo hapa nchini ambao wako kwenye madaraka serikalini?
 
Nilikuwa napitia posts hapa JF na nikakutana na hii statement aliyoitoa Pasco (rangi nyekundu hapa chini)....I was shocked !.

" Moja ya makosa makubwa sana Hitler aliyoyafanya, na kuwabakiza baadhi ya hawa jamaa!, walipaswa wote kabisa wawe wiped kwenye uso wa dunia ndipo asamani ya kudumu ingepatikana enero la Mashariki ya Kati "


Pasco wewe hapa JF, kwa watu wengi unajulikana ni mtu mwenye upeo mkubwa na vile vile kama sijakosea ni mwandishi wa habari. Kama mtu kama wewe ambaye kwa uelewa wako, utakuwa unajua genocides zote huwa zinaanza na propaganda za chuki na hatimaye zinawaingia watu mpaka wanakuwa kama wanyama na kuanza kuua watu wengine kwa sababu tu ya race zao, unawezaje kusema maneno kama haya !!!????

Miaka kama kumi hivi iliyopita, kuna wakati fulani, nilispend kama week nzima kusoma history ya vita kuu ya pili na niliposoma mauaji aliyokuwa anayafanya Hitler ya kuchukua watu na kuwaingiza kwenye gas chambers na kuua mamilioni ya watu kwa njia hiyo, nikajaribu kujiuliza, Hitler aliwezaje kuwashawishi na kuwafanya wajerumani wakubali kuwa wanyama kiasi hiki !. Lakini leo nilipoona statement yako hii, nikawaza, kama mtu kama Pasco anaweza akatamka maneno kama hayo, then kitu kama hiki kikianza kutokea duniani atakisupport na kama mtu wa uelewa wako Pasco atasupport kitu kama hiki, mbona ni rahisi kwa wengine wenye uelewa mdogo kukitekeleza....Probably hata wewe unaweza ukajikuta uko mstari wa mbele kutekeleza.....Ndio maana kwa wajerumani sasa hivi, manano kama hayo uliyoyasema yangekupeleka selo ! Wanajua problem ya statement za chuki kwani wame-experience first hand, na mpaka sasa hivi, wengi wao bado wana wakati mgumu kui-face history yao kama taifa !

Hakuna mtu anayezaliwa mnyama, tunabadilika na kuwa kama wanyama kwa kudharau vitu vidogo kama hivi na kutojifunza kutokana na history ! Baada ya hitler, bado genocides zimeendelea kutokea duniani (mojawapo ni kwa majirani zetu Rwanda) na kwa mtindo kama wa kwako Pasco ninalazimaka kwa masikitiko makubwa kuamini kwamba zitatokea tena na tena na tena.....

Wakati wewe, unafurahia kwamba Hitler alijitahidi kuangamiza race fulani hapa duniani, na wakati huo huo kusikitika kwamba alishindwa kumaliza kazi, Wajerumani, ambao Hitler alikuwa kiongozi wao, wameweka sheria kwamba kumshabikia hitler ni kosa kubwa kwa mujibu wa sheria zao !

Kwa kweli leo nimeamini usemi huu maarufu : "We learn from history that we never learn anything from history".


-----------------

Update - (Baada ya kupitia comments za wadau waliochangia)

Inatia moyo kuona watu wengi katika mjadala huu, hawakubaliani kabisa na maneno ya hatari aliyoyasema Pasco.

Ni ukweli ulio dhahiri, kwamba watu walioshiriki katika mauaji ya kimbari, ni watu wa kawaida kabisa kama wewe na mimi....ni engineers, journalists, soldiers, wamachinga, doctors, politicians etc, watu wenye familia zao, kama wengi wetu tulivyo. Kwa hiyo sisi kama watanzania hatuko immune kwa hatari kama hii...siku zote inaanza na propaganda za chuki na hizi zikishawaingia watu vizuri, kinachobaki ni kuingia madarakani kwa viongozi wenye nia ya kufanya hivyo na kuweka mipango, pamoja na kufanya uhamasishaji !

Tupinge hate speech na ubaguzi wa aina yeyote ile kwa nguvu zote. Ni hatari sana !

Ingawa Pasco hajasema chochote lakini naona ametumia muda wake mwingi kusoma karibia comments zote zilizotolewa. I hope atakuwa ameona hatari ya kauli yake hiyo na hatakuwa mtu tena wa kupromote vitu kama hivi na badala yake atakuwa mstari wa mbele kuvipinga.

Kuna quates nzuri ambazo Tyta amezishare kwenye moja ya posts zake, na mimi nimeona ni vyema niziweke hapa :

''Racism is man's gravest threat to man - the maximum of hatred for a minimum of reason.''-Abraham Joshua Heschel

''Racism springs from the lie that certain human beings are less than fully human. It's a self-centered falsehood that corrupts our minds into believing we are right to treat others as we would not want to be treated.''-Alveda King

''Racism is beyond common sense and has no place in our society''-.Steven Patrick Morrissey

''You don't fight racism with racism, the best way to fight racism is with solidarity.''Bobby Seale



Pia, kuna ushauri mzuri alioutoa Masanja kwa Pasco na ingawa najua Pasco atakuwa ameusoma, nimeona ni vyema niuweke hapa kwa msisitizo na kwa ajili ya wengine wote ambao kwa namna moja au nyingine hawatausoma :

Genocide and mass atrocities have no place in the 21 century. two wrongs dont make a right. Ukiwa-ua (Almighty forbid) waisrael-as one claims..watakuja wengine wakorofi. Utajistukia unabaki mwenyewe kwenye hii dunia.

The world is the way it is. We should learn to co-exist. We should celebrate our differences and diversity. We should ALWAYS know that as humans we are endowed with diferrent ways of seeing things and it is these differences that enriches us.

Pasco, I respect your right to opinion and freedom of expression. But people like you should be bit sensitive with what you write here or there. Tomorrow, you might be called upon to assume higher responsbility in our Republic. What if these comments surfaces? utakimbia maneno yako? what if kesho uitwe kutestify somewhere...my friend haya maneno may catch up with you.... My friend be careful brother. Kuna watu ukiona wameandika maneno kama haya..huwezi stuka..well..they are usual suspects. But not you my dear friend.

Dunia ya sasa na challenges mbali mbali tunazopitia (vita, njaa, magonjwa, chuki nk) huwezi uka-advocate violence as a means to tackle them. Such atitude and way of thinking are reserved for losers and defeated who tend to see things in colours of religions, race/ukabila/ukanda nk. Ndo maana kwenye siasa zetu..watu tumeshakuwa bigots bila kujua...hata watu unaowaheshimu..wakiona mijadala ya dini related...uwezo wao wa kufikiria unahama...ndo maana mijadala kama hii..haiwezi kujadiliwa kwa tija..kwa sababu we already have camps..wao..na sisi...as a result kila mtu anayaona mambo anavyotaka kuyaona....na wala si kiuhalisia.

I for one, namuelewa vema kabisa mleta mada. He brought it with good intention. And the message is imple: Dont advocate violence as a means to resolve differences. Genocide is a crime which should be condemned by all humans.




umejitahidi kumtisha pasco lakini hilo halifanyi uongo kuwa ukweli wala ukweli kuwa uongo.

Nasikitishwa na ushahidi dhaifu uliouweka wa kuonyesha kwamba waizrael walifanyiwa ukatili na hitler, na vilevile inaonyesha wazi umeshindwa kusoma kwa ufasaha sababu ya WWI.
Nahakika kama ungeanzia vita ya kwanza ya dunia na jinsi izraeli walivyo vaa sura mbilimbili usinge thubutu kuandika chochote ungekaa kimya.
Kiukweli Izrael ni waharibifu wa dunia hii kwa kutumia uwezo wao mkubwa wa kugeuza mawazo ya watu wepesi kama wewe.kiukweli waizrael malengo yao tangiawameanza kuyaplan miaka 3000 iliopita mpaka leo bado haijakamilika.
Na mwisho wa malengo yao yataingia kwenye kuwaingiza walimwengu katika uharibifu mkubwa ambao haujawahi kutokea duniani.
Katika kitabu cha daniel limeitwa `chukizo la uharibifu`
Yesu amekumbusha mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama mahala patakatifu
katika Qur-an MWENYEZI MUNGU anasema hakika tuliandika katika taurati kwamba (nyinyi waizrael) mtafanya uharibifu mkubwa kwa mara ya pili.
 
Kosa lipi lililoondolewa kwa kutenda kosa ewe punguani mwengine?

Sema hapo kama hakuna urafiki uliotajwa miaka zaidi ya 1400 nyuma. Cha kushangaza, hao hao waliwaua ma jews kwa mamilioni leo eti ndio wa maana. Wale walowahifadhi ma jews ndiyo maadui? Khaa! hamna hata fikra?

Hao ma jews miaka kwa miaka kabla ya ma jews wa Europe kuhamishiwa Palestina walikuwa wanaishi nchi za Kiarabu ulisikia wakiuliwa kama walivyouliwa na Hitler? hapana, Tena wala hawakunyanyaswa, na wengine wapo mpaka leo, lakini huwasikii kulalamika kabisa katika nchi zenye Waislam, wako huru na wala hawabughudhiwi, leo hao hao waliofuta ramani ya Palestina duniani wanatetewa na nani?

Qur'an 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. ***
Punguani baba yako na huyo anaekufanza vibaya
 
Back
Top Bottom