Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Pascal Mayalla ni mmoja wa anayetumia kalamu yake kuishi though naye tutampoteza any day maana anaguza nyeti za wadosi.

Mshana Jr ni like nabii ambao Corona imewaumbua, he is there sasa kaanza kusoma vidole, ni kama wateja wamepungua sana as everyone kajifungia kwake.

Nani ni zaidi ,

Namtaja Mshana Jr ni zaidi sana maana alishasema alimtia dead person,

Sent using Jamii Forums mobile app
malizia na kumlamba mtu kin yeo!
 
Mpambano hauko sawa unawalinganisha watu wawili katika nyanja tofauti .kila mmoja atasifia kulingana na mapenzi yake kwenye jamii.kama sio mtu wa siasa huwezi kumjia paskalli Mayala..

Vivyo hivyo kama Ni mtu wa siasa pekee utakua humfahamu vizuri mshana Jr ni nani huku..kiufupi mayala sio mtu wa kawaida ambao wanaweza kumuelewa lazima IQ iwe juu tofauti na hapo utaishia kucomment kwa mahaba ya kinazi.paskali sio jf tu Bali ni wale manguli wa uhandishi wa habari Tanzania.tatizo la paskal tabia za kisukuma zinamsumbua ndio maana anaonekana wa kawaida

Refa umekurupuka kuleta pambano la watu wa kada tofauti ..mshana pia sio mtu wa mchezo katika fani zake




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom