Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Unawezaje kulinganisha vitu visivyo na uhusiano?Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.
Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano unalinganisha timu ya volleyball na timu basketball? Kuna akili hapo.
Pascal ni freelance journalist. Mshana sio journalist hata kidogo lakini kabobea kwa mada zake nyingi kuhusu mambo ya imani.
How on Earth do you compare the two? Unashusha hadhi ya JF.





