Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Nimepitia comments zote NIMEGUNDUA KATI YA HAO WAWILI NANI KALETA HUU UZI KIJANJA

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.

Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usifananishe Mshana na muimba mapambio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tuwe wakweli. Hivi maandiko kutoka kwa yule anaeandika sana mambo ya ulozi na ushirikina yana manufaa gani kwa jamii ya leo? Mimi nikishaona post yoyote kutoka kwake au member mwingine yeyote ikizungumzia hayo mambo hata uwa siangaiki kuendelea kusoma.
 
Shout out to brother Mshana Jr anandika kila jukwaa mambo ya kisiasa kijamii kiroo

Paschal Mayala amebase sasa kwenye siasa za kuitetea CCM sana sana Hata ikifanya maovu anasifia tu
Ikiangalia hadi sasa miaka mitano tangia aingie ngosha ilani ya CCM hatimizwa hata 50%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi siwezi kujibu hili swali maana sioni mantiki yoyote.

Hapa umelinganisha Watu wasioendana kabisa, labda tu kuendana kwao ni vile wote ni wanachama wa Jamii Forum kama mimi na wewe na wana muda wa kuandika mara kwa mara.

Mimi si msomaji sana wa kila nyuzi iletwayo humu ila kwa zile nilizowahi kuzisoma kati ya mambo niliyoyagundua kwenye nyuzi nyingi za Pascal zina ugumu kwa Mtu asiyependa taabu, ukisoma comment za Wadau unagundua ya kuwa wengi wamepotea kwa kila anachokikusudia na wanaishia kulaumu tu kama sio kutukana kabisa.

Nyuzi za Mshana zipo moja kwa moja na hazimsumbui msomaji, na kwa vyovyote ndivyo wapendavyo walio wengi humu.

Pascal anatumia sana mtindo wa kutoa hoja zinazohitaji msomaji "kufumbua fumbo", mara nyingi anajitahidi kula na kipofu bila kumshika mkono...jambo ambalo nahisi Bw Pascal ameshaligundua kwamba anawapa tabu Wasomaji wake ila hana namna zaidi ya kwenda nao hivyo hivyo.

Na kumbuka Watu unaotaka wakupe maoni humu ndio hao mada zao pendwa ni kama zile za "kula tunda kimasihara" wanazochangia usiku na mchana.

Hapa ni kama kupeleka Daktari na Mganga wa Kienyeji Gambosh, ni wachache sana watashtuka wakisikia kwamba yule Daktari Bingwa alifurumushwa usiku uleule na Wanakijiji.
 
Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.

Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenny Trump
 
Back
Top Bottom