Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Kwa hiyo unawapambanisha kwenye nini haswa?
Mtu ambaye ana nyuzi nyingi?
Mtu ambaye nyuzi zake zinasomwa sana?
Mtu ambaye anapenda kufungua nyuzi tuu?
Mtu ambaye anaongoza kwa kupest nyuzi zake kwenye nyuzi za wenzake.?
Mtu ambaye anaongoza kwa kutumia emoji sana?
Mtu ambaye ana kitambi kumzidi mwenzake?
Kuwa wazi tujue.

Majibu.
Mwenye nyuzi nyingi sana = Mshana Jr.
Nyuzi zinazosomwa sana =Pascal Mayala.
Anayependa kufungua nyuzi = Mshana Jr.
Anayependa kupest nyuzi kwenye nyuzi za wenzake= Wote wametoka sare.
Anayeongoza kutumia emoji = Mshana Jr.
Kitambi = hapa naachia wengine.
 
Bro Mshana Jr huyu Ni legendary ambaye hata akigombea ubunge au urais kupitia CHAUMA anapita mchana kweupee coz anakubalika na vijana ambao ndo majority ya population ya Tz.
Sina uhakika na umri wake ila kutokana na nyuzi na uchangiaji wake majukwaa tofaut tofaut inaonekana Ni Rika letu majanki.

Bro Pascal Mayalla huyu Ni typical mwanasiasa ambapo ana mrengo wa kijani.
Amekuwa Kama kinyonga ambaye hubbadilika badilika kutokana na mazingira.
Tangu nzi wa kijani waanze kumshughulikia baada ya maswali yake kwa mtukufu na kwa serikali yake Bwana huyu amekuwa akiegemea zaidi upande wa kijani na kusahau ethics za taaluma yake. Kutokana na kuegemea kwake upande was kijani Bwana huyu anapoteza mvuto kwa kuwa ipo dhahiri nzi wa kijani na yeyote anayewaunga mkono Ni adui wa Watanzania walio wengi.

Mwisho kabisa Kura inaenda kwa Homeboy Mshana Jr , popote ulipo kachukue Pierre Bar yoyote bill kwangu
 
Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.

Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja anaandika kulingana na inshu zinazotrend kwa kipindi husika.
Mmoja nyuzi zake ziko mbele Sana na nyuma Sana anafikiria sana

Kura yangu Nampa mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unawapambanisha kwenye nini haswa?
Mtu ambaye ana nyuzi nyingi?
Mtu ambaye nyuzi zake zinasomwa sana?
Mtu ambaye anapenda kufungua nyuzi tuu?
Mtu ambaye anaongoza kwa kupest nyuzi zake kwenye nyuzi za wenzake.?
Mtu ambaye anaongoza kwa kutumia emoji sana?
Mtu ambaye ana kitambi kumzidi mwenzake?
Kuwa wazi tujue.
mbona hayo maswali yako mawili ya mwisho unamsema Mshana Jr.
 
Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.

Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo bora kujadili mtu. Little minds discuss people. Jadili hoja ya mtu. Katika hoja fulani inayojadiliwa, utaishia kukubaliana na fulani, na katika hoja nyingine labda yule mwingine ndiye utakubaliana naye. Hicho ndicho kinachohitajika katika jukwaa hili. Siyo kusema kwa ujumla fulani ni zaidi. Utakumbuka hata Mwalimu Nyerere, katika kuwachambua wagombea wa Urais mwaka 1995, alisema kama unamuona fulani ni mzuri, basi mchukue ukanywe chai naye.
 
P. Mayalla amekaa kiumbeyaumbeya, kujikoshakosha! Msukuma ni shidaa
Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.

Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na janga la Covid-19. Naamni mnaenda kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wetu wa afya,bila kusahau kuendelea kufanya yale maombi ya siku 3.

Leo wakati naperuzi zangu jamiiforum nikawa nasoma post mbalimbali za watu lakini nikavutiwa na maandiko ya hawa jamaa wawili Mayalla na Mshana Jr. Ni dhahiri nyuzi zao ndo zinaongozwa kwa kusomwa na watu. Nikaona si vibaya km tumkitafta Tanzania one (T.O) wa Jamii Forum kwa kuwapambanisha hawa malegendari. Je nani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Mshana Jr ni Taasisi

Tafuta mtu mwingine mmoja wa kumlinganisha na Pascal labda Lara 1,Nyani Ngabu,Kiranga,The Boss nk
 
Back
Top Bottom