Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Pascal Mayalla kamuacha Mshana kwa kila kuanzia hoja nyepesi mpaka hoja fikirishi. Mayalla ana uwezo mkubwa wa kumfanya msomaji aendelee kusoma tena kwa kutumia lugha isiyoudhi Wala kejeli .

Mayalla ni trend reader ,ana uwezo wa kubashiri kitu kutokana na matukio na kikatokea kweli ,hicho ni kipawa ila Mshana hana huo uwezo na tabiri zake huwa kinyume kwa sababu ni ramli
 
Dogo binadamu hawafananishwi, hafu jua kuwa Paschal ni kada mtiifu wa CCM na mtia nia ya Ubunge ambaye jina lake litakatwa, Mshana ni kijana wa makamo ambaye huleta hoja nyingi fikilishi ziwe za ulozi, mapenzi, Siasa, uchumi nk.Paschal amejiegemeza zaidi kutetea watawala wa awamu hii
Mbona husemi Mshana yuko kambi gani? Kumbuka tunajua yuko kambi gani. After all Mshana atabaki kuwa yeye vile vile Pascal atabaki kuwa Pascal
 
Dogo binadamu hawafananishwi, hafu jua kuwa Paschal ni kada mtiifu wa CCM na mtia nia ya Ubunge ambaye jina lake litakatwa, Mshana ni kijana wa makamo ambaye huleta hoja nyingi fikilishi ziwe za ulozi, mapenzi, Siasa, uchumi nk.Paschal amejiegemeza zaidi kutetea watawala wa awamu hii

Mwenye tatizo hapa Ni wewe na unaonekana hugonjwa wako hauna tiba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unawapambanisha kwenye nini haswa?
Mtu ambaye ana nyuzi nyingi?
Mtu ambaye nyuzi zake zinasomwa sana?
Mtu ambaye anapenda kufungua nyuzi tuu?
Mtu ambaye anaongoza kwa kupest nyuzi zake kwenye nyuzi za wenzake.?
Mtu ambaye anaongoza kwa kutumia emoji sana?
Mtu ambaye ana kitambi kumzidi mwenzake?
Kuwa wazi tujue.
Excellent response
 
Bro Mshana Jr huyu Ni legendary ambaye hata akigombea ubunge au urais kupitia CHAUMA anapita mchana kweupee coz anakubalika na vijana ambao ndo majority ya population ya Tz.
Sina uhakika na umri wake ila kutokana na nyuzi na uchangiaji wake majukwaa tofaut tofaut inaonekana Ni Rika letu majanki.

Bro Pascal Mayalla huyu Ni typical mwanasiasa ambapo ana mrengo wa kijani.
Amekuwa Kama kinyonga ambaye hubbadilika badilika kutokana na mazingira.
Tangu nzi wa kijani waanze kumshughulikia baada ya maswali yake kwa mtukufu na kwa serikali yake Bwana huyu amekuwa akiegemea zaidi upande wa kijani na kusahau ethics za taaluma yake. Kutokana na kuegemea kwake upande was kijani Bwana huyu anapoteza mvuto kwa kuwa ipo dhahiri nzi wa kijani na yeyote anayewaunga mkono Ni adui wa Watanzania walio wengi.

Mwisho kabisa Kura inaenda kwa Homeboy Mshana Jr , popote ulipo kachukue Pierre Bar yoyote bill kwangu
Kijana gani anaemkubari mshana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unawapambanisha kwenye nini haswa?
Mtu ambaye ana nyuzi nyingi?
Mtu ambaye nyuzi zake zinasomwa sana?
Mtu ambaye anapenda kufungua nyuzi tuu?
Mtu ambaye anaongoza kwa kupest nyuzi zake kwenye nyuzi za wenzake.?
Mtu ambaye anaongoza kwa kutumia emoji sana?
Mtu ambaye ana kitambi kumzidi mwenzake?
Kuwa wazi tujue.
Kwa maelezo Haya nishajua karata yako umeitupia wapi.
 
Mshana hana unafiki na anachukia uovu wa CCM toka moyoni ila paskali pamoja na mazuri yake ana unafiki na ishu zilizomshusha ni ile aliyosema eti dreva wa lisu ndie aliempiga lisu risasi na ile ishu ya usnich kwa kabendera.
 
Back
Top Bottom