Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

Kwanza nampongeza kupata hiyo nafasi, maana kwa ninvyofaham mfumo wetu wa kiserikali/kisiasa ukiwa (kwenye tasnia) yoyote ukajifanya kuinanga na kuitweta serikali na kuonekana you're threat for future basi utasaga meno mpaka utakapoondoka duniani.

👉🏾 Kama hayaja kukuta ndiyo unaweza kumponda huyu jamaa.
 
Bora yeye alijaribu na ni mtu pekee katika awamu ya tano alimface JPM kuuliza swali gumu hakuna mtu yoyote aliyethubutu kumuuliza JPM uso kwa uso wala hakuna kiongozi yoyote aliyethubutu katika hili. kwa kuwa alijaribu nampa sifa zake leo JPM amezikwa lakini kuna watu mpaka leo wanamuogopa. Simtetei Mayalla lakini katika atabaki kuwa ni mtu pekee alimpiga swali JPM ambalo JPM alichukia wengine wanasema wakiwa wamejificha. Alijaribu lakini mfumo wetu mgumu wala nchi usije kujifanya shujaa utapotezwa wakati ule unajiunga nao tu. Mbowe mwenyekiti wa chama alitiwa ndani na wanachama wenyewe waliufyata sembuse Mayalla.
Still Pascal Mayalla akiamua kuandika habari za kichunguzi kuhusu rushwa mabrabarani, kwenye mizani , utoaji wa dhamana hakuna muandishi anamkuta Tanzania hi, one thing he has exceptional ni msomaji na anajua vitu vingi.
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.

Jiwe alisema Mayalla ni sawa na Njaa, kama ujuavyo Njaa ni Mbaya. Una swali?
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
Private sector hailipi, Pascal Mayalla alikuwa na kampuni ya ya PPR, lakini mfumo aliokuwa akiutetea ndio umeua biashara yake
 
Tatizo wengi hawajui maana ya neno mafanikio..

Je mafanikio ni Pesa ?
Je mafanikio yanapimwa na wewe binafsi au jamii inavyotaka ?

In short mafanikio ni kufanikisha kile ulichokianza (kwahio kama unamuita nguli inamaanisha alishafanikiwa kwenye kile alichokifanya) jambo ambalo majority wanakufa hawajafikia ndoto zao...

Huwezi kusema kwamba Tyson hakufanikiwa sababu alifirisika (wakati alikuwa bingwa wa ndondi duniani)..., huwezi kumcheka Msaanii wa Muziki (mfano Whitney ) sababu mwisho wake haukuwa mzuri wakati kwenye peak nyimbo zake ziligonga dunia nzima.... (wakati wewe hata ukianza kuimba tu waliokuzunguka wanaziba masikio).....

Tuache kufuatiliana Maisha..... (Huo muda tuwekeze kwenye maisha yetu sababu nina uhakika kuna mengi ya kurekebisha)
Umemaliza mila kitu Mungu akubariki.
 
Traditional media zinakufa. Sababu ya technology..

Ili ziwe na thamani angalau ziwe basi na soko..
Watu wanaojua thamani ya real journalism..
Wako wapi hao watu??

Wengi tuna subscribe umbea na udaku online....

Ndio maana real journalists watazidi kupotea ..
Wataenda fanya shughuli zingine nyingi tu
Na Na kutokea ki? Daywoker kama hivyo..manake hakuna media za kuwapa mishahar ya kutosha
Umeelezea vizuri sana Mkuu.
 
Traditional media zinakufa. Sababu ya technology..

Ili ziwe na thamani angalau ziwe basi na soko..
Watu wanaojua thamani ya real journalism..
Wako wapi hao watu??

Wengi tuna subscribe umbea na udaku online....

Ndio maana real journalists watazidi kupotea ..
Wataenda fanya shughuli zingine nyingi tu
Na Na kutokea ki? Daywoker kama hivyo..manake hakuna media za kuwapa mishahar ya kutosha
wanaziua wenyewe mkuu, siku hizi badala ya media kutafuta content, content zinawatafuta. yaan ukiwa na hela unaweza kabisa kununua kipindi redioni ili wakuhoji na ukachagua maswali ya kukuuliza.

nilisikitishwa sana na kipindi cha sabaya juzi pale clouds.
Nani atapoteza mda wake kufuatilia hizo media..
tusiisingizie technology ambayo ipo kila nchi lakini hatuoni anguko kubwa kama huku, waandishi na wamiliki wa media wamekosa ubunifu, uwezo na wanaua media kwa mikono yao wenyewe
 
Msimseme vibaya kaka Mayala..sio yeye tu. Tuseme ukweli watu wengi tu asilimia 80 mambo hayakuenda vizuri kipindi cha Magufuli. Unakuta kipindi cha JK mtu ulikuwa una move kwenye right direction, lakin baada ya jamaa kuingia akavuruga kila kitu. Hivyo mtu kujipanga na kuanza upya sio ujinga. Na ndo maana watu wengi wanamshukuru Mungu kwa kumuondoa mwendazake. Maana sijui ingekuwaje mpaka angemaliza miaka 4 zaidi? Na huenda angegoma kuondoka kabisa..watu wengi wangekuwa mafukara kabisa!
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
Acha awafundishe, Kuna mmoja nilimsikia care fm tanga anatamka sosikijaa badala ya "sosha". Wanaudhi Sana Hawa ma bogus.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom