TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,773
- 21,272
Kwanza nampongeza kupata hiyo nafasi, maana kwa ninvyofaham mfumo wetu wa kiserikali/kisiasa ukiwa (kwenye tasnia) yoyote ukajifanya kuinanga na kuitweta serikali na kuonekana you're threat for future basi utasaga meno mpaka utakapoondoka duniani.
👉🏾 Kama hayaja kukuta ndiyo unaweza kumponda huyu jamaa.
👉🏾 Kama hayaja kukuta ndiyo unaweza kumponda huyu jamaa.