Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Rivado alitoka huko akaenda kucheza Angola, mbona Charles katoka BBC sasa hivi yupo Azam anatangaza na kina Ivona? Kuna watu wana mahaba na fani zao ndugu! Ila aangalie asijechinganya akaitwa ' takataka' na kina Haji!Lionel Messi wa FC Barcelona ( La Pulga na Le Football Magician ) leo hii akiwa Kit Manager wa Yanga SC ya Tanzania Kwako Wewe ni sawa Ndugu?