Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

Huyu jamaa alianza maisha wakati diamond analilia JoJo kule tandale kwa tumbo leo diamond ana media kubwa tu yeye bado ana analamba watu miguu

Hajawahi hata shika position kubwa kubwa huko kwenye media zaidi ya kuwa mtangazaji na kale kakanpuni Kaka hewa kaliko kiss tenda za matangazo

Laana za kutemgemea mwanadamu aitwae "jiwe" zinamtafuna hajui aanzie wapi maana aibu na dhamira take inamtafuta moyoni

Karma is bitch Pasco is bitched

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Mifano yako ni mfu, hasa huo wa Messi, Naona unamkuza sana Mayala hivi ni chombo gani cha habari kikubwa dunia hii alichowai kufanya kazi Mayala mpaka useme kua kaporomoka, mpqka useme kua Messi kutoka barca kuja kuajiliwa yanga?
Hata BBC hajawahi fika Huyo tvt na dtv na Chanel ten

At least alikua vizuri kwenye uandishi Hilo halina shaka

Ila alipoanza kusema eti MAKONDA ndio RAIS ajae

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.

Angefungua chekechea yake ya utangazaji, nimeona huu uzi huku nje labda angekuwa msaada kwa hawa

Kwani kabla hayaenda hapo alikuwa wapi?

Anyway, maisha ni kupanda na kushuka
 
Kuna video yake moja alikuwa kwenye maonyesho fulani nadhani 88 aliwasifia sana tume ya uchaguzi kuwa waliendesha uchaguzi huru na wa haki wakati uchaguzi huo ulilalamikiwa sana
 
Alipotoka kuhojiwa na kamati ya Ndugai sijui aliambiwa nini baadae alirudi na mapambio ya kuabudu kusifu akadondokea kwa wajumbe
 
Usimcheke mwezio anayepitia magumu maishani.
Na maisha si mteremko muda wote, kuna kupanda na kushuka.
Mshukuru Mungu bado una afya na nguvu.
Magwiji wa vyombo vya habari kama Reginal Mengi wako wapi?
Ujumbe mzuri sana huu, ni nadra kupata maneno yenye mafunzo kama haya
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.

Pascal Mayalla anapiga kazi sehemu 3 au zaidi mean income yake pia ni reasonable.

Abdalla Majura ameiachia management radio yake kule Dodoma amekuja kusimamisha biashara yake Daladala huku Dar ikisimama aghalabu atakuwa na na sources za income zaidi ya 2 au 3.

Wewe umekalia una source ngapi za income? Shituka mkuu maisha siyo kukariri!!! [/QUOTE]
 
Pascal Mayalla anapiga kazi sehemu 3 au zaidi mean income yake pia ni reasonable.

Abdalla Majura ameiachia management radio yake kule Dodoma amekuja kusimamisha biashara yake Daladala huku Dar ikisimama aghalabu atakuwa na na sources za income zaidi ya 2 au 3.

Wewe umekalia una source ngapi za income? Shituka mkuu maisha siyo kukariri!!!
Huna ukijuacho kuhusu Abdallah Idrisa Majura hivyo nakuomba tena haraka sana tu Kaa Kimya Ndugu sawa?
 
Muda wote alipokuwa Hewani leo EA Radio kazi yake ilikuwa ni Kukosoa tu W Watangazaji sasa kama anajiona ni Nguli kwanini asianzishe tu Chuo chake cha Uandishi wa Habari ili awafunde vizuri huko huko Darasani? Anaboa....!!
Mkuu hiyo ni njia tu anapitia ili kuepuka dhahama aliyo nayo aseee, kwanini unadhani anakosa media ya kufanyia kazi au kuanzisha yake?

Pengine si kuanzisha media house yake bali kwa nafasi aliyokuwa nayo hata investors wangeweza kuwekeza kupitia yeye ila sasa...

Jamaa kataitiwa sema wengi hamjui na hata hamuelewi means from my first comment.
 
Mkuu hiyo ni njia tu anapitia ili kuepuka dhahama aliyo nayo aseee, kwanini unadhani anakosa media ya kufanyia kazi au kuanzisha yake?

Pengine si kuanzisha media house yake bali kwa nafasi aliyokuwa nayo hata investors wangeweza kuwekeza kupitia yeye ila sasa...

Jamaa kataitiwa sema wengi hamjui na hata hamuelewi means from my first comment.
Sawa Pascal Mayalla nimekuelewa sana.
 
Inamana kampuni yake ya PPR ishakufa tena kwa kukosa tenda? Mara ya kwanza kampuni ilibanmwa na awamu ya 5 ila baada ya kuunga juhudi ikarudi
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom