Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

Inamana kampuni yake ya PPR ishakufa tena kwa kukosa tenda? Mara ya kwanza kampuni ilibanmwa na awamu ya 5 ila baada ya kuunga juhudi ikarudi
Hiyo Kampuni ingekuwa na Hela na inamlipa angeshindwa Kupangisha pale Posta alipokuwepo kisha akaenda Kupangisha Chumba Kimoja cha Ofisi na akashindwa na sasa amebaki Kupuyangapuyanga tu kupiga hizo Deiwaka zake?
 
Tanzania uandishi nguli haulipi, ndio maana waandishi wengi nguli wanakufa wakiwa kwenye maisha ya kubangaiza tu.
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
EA RADIO haipatikani kabisa Mbeya... For weeks!!
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
Mkuu MINOCYCLINE, a.k.a Cravi Maga, kwanza asante kunianzishia thread, mimi ni wale watangazaji wa zamani wa Nyerere type, ni watu ambao hatuna makuu, yaani down to earth, kwa sasa tayari nimeistaafu utangazaji, ila naendelea kufanya part time za utangazaji sehemu mbalimbali.

Niko kama Mwalimu Nyerere, baada ya kuwa rais wa taifa hili kwa miaka 23, alipostaafu, alirudi kijijini kwake Butiama, kuwa mkulima wa kawaida wa jembe la mkono!, hata nyumba amefanya kujengewa na serikali!.

Nivyo na mimi nilivyo, licha ya kuwa Mtangazaji kwa takriban miaka 30, sasa ni mstaafu, nikiitwa popote nakwenda bila kujali ni mtangazaji nguli kama Mesi, kwenda kucheza mechi za mchangani kama Ndondo Cup!.

Mtu ukiwa humble and down to earth, hautajisikia na kuanza kupandisha mabega na kutembelea visigino!. Ndio maana nimewaomba wana jf, lile jambo langu lile, hata likiwa, kwa ku materialize, sitaikimbia jf, nitaendelea kuwa mwana jf mtiifu.

Paskali
 
Alipotoka kuhojiwa na kamati ya Ndugai sijui aliambiwa nini baadae alirudi na mapambio ya kuabudu kusifu akadondokea kwa wajumbe sijui Kijiji gani huko hapo ndio chanzo chake cha kupotea angeachana na uandishi wa habari za kiuchunguzi kile kipindi kuliko kuungana na madharimu...
Mabadiliko ya kweli ni yale yanayoanzia, from within and not from outside!, hivyo sometimes when you fight and lose every now and then, kuna wapambanaji, fighters wa aina mbili, wale ambao wamekula yamini ya fight fight fight to the very end, no retreat, no surrender, you fight to the very end, hadi risasi ya mwisho, na tone la mwisho la damu, na kuwa declared shujaa wa taifa, umelifia taifa lako, na kuna wapiganaji ambao hawapeleki majeshi vitani, mpaka kwanza wajue nguvu ya adui, na wakifika vitani, wakijiona wanazidiwa, wakiendelea tuu kupambana wataishia kuwa wiped out, hawa huwa ama wana retreat, kwenda kujipanga upya, ama wa surrender. Mimi nime surrender, I have used the formular of "if you can't beat them, join them", nimejiunga nao, na kufanya changes from within.

P
 
Kiukweli, kuna reputation Pasko aliipoteza miaka michache hapa nyuma.

And, ali disappoint watu wengi sana walioamini katika weledi wake, na namna alikua among very genuine and unbiased journalists in the country.

Kama kuna journalists walijua kusema hii ni nyeusi and full stop, basi ni Pasko.
Mkuu Pep, kwa vile reputation is earned, and lost, I will earn it again kwenye fani nyingine!
Hata hivyo, simlaumu, I really feel for him.
Thanks for this
Najua kukuru kakara amezipitia katika miaka 5 ya hayati, haikua rahisi kwake.
Ni kweli miaka 5 ile... haikuwa rahisi!.
Ni kama alipoteza kila kitu alihangaikia katika career yake yote.
Its true I lost almost everything except, family and love,
Pengine kuna mambo angeweza kuya handle better zaidi?

Jibu ni Yes or No, ingetegemea zaidi motive yake behind kufanya journalism ilikua ipi, kujipatia kipato kwanza then passion ya kazi later or the vice versa.
Yes vipo na kimowapo ni hiki Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
All in all, he still got my respek.
Thanks for respect, much respect.
P
 
Tatizo wengi hawajui maana ya neno mafanikio..

Je mafanikio ni Pesa ?
Je mafanikio yanapimwa na wewe binafsi au jamii inavyotaka ?

In short mafanikio ni kufanikisha kile ulichokianza (kwahio kama unamuita nguli inamaanisha alishafanikiwa kwenye kile alichokifanya) jambo ambalo majority wanakufa hawajafikia ndoto zao...
Tuache kufuatiliana Maisha..... (Huo muda tuwekeze kwenye maisha yetu sababu nina uhakika kuna mengi ya kurekebisha)
Mkuu KeyserSoze, asante kwa hii.
Nimetumikia tasnia ya habari na utangazaji kwa miaka 30, ndani ya miaka hiyo, nimefanikiwa kujenga career, kujenga familia, and to live my life to the fullest!.
P.
 
Muacheni Pasco, kitu muhimu hela inaingia mfukoni...kwenye maisha kuna kupanda na kushuka
Mkuu Cannabis , asante for this, and it's true, kwenye maisha kuna kupanda na kushuka hivyo ni muhimu sana, wakati ukiwa juu, usijisikie, wewe ndio wewe, ukiwa juu, jishushe, be humble, ili siku ukiwa chini, ayaone maisha kawaida.
P
 
Walau Pasco alijitahidi kuandika mambo ya siasa kipindi cha mwendazake, alionyesha udhubutu flan kwenye social media,hasa jf tofauti na baadhi ya waandishi nguli mtu kama magid Mjengwa aliiishia kujiita Mwenyekiti wa Muyaya kule Fb, usingweza kudhan ni maggid wa enzi za Rai au akihojiwa na DW au Bcc
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
Mkuu MINOCYCLINE , hii maana yake mimi ni mtu down to earth!.
Tumuombee mwanaJF Pascal Mayalla apitishwe

Wote tuseme Amen!
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.
Hili jambo nimelianzia hapa Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
Nikakumbana na Kikwazo cha kwanza hapa Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie
Nikatoa ushauri kwa chama changu kuhusu EALA Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Kazi ya Uelimishaji Umma kuhusu EAC inaendelea Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano
Tukaitwa Dodoma kuhojiwa, huko nikakutana na A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!
Sasa leo ndio kikao cha CC kuchuja majina, hivyo sala zenu zinahitajika sana kuliko wakati mwingine wowote!.
Mungu Nisaidie!.
P
 
Back
Top Bottom