Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Maneno matupu hayavunji mfupa. Ulichojaaliwa ni maneno tu, matendo ziro, na pia nina uhakika huna uwezo hata wa kujaribu.Nitamshindwaje Mtu ambaye 'Watutsi' tumemuweka hapo alipo sasa na hata 'Misaada' mingine ya 'Siri' tunampa? Tanzania iko mikononi mwetu tu.