johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Ni hivi 2025 Katibu wa Uenezi CCM ndugu Paul Makonda atagombea Ubunge na kutimba mjengoni
Baadae atateuliwa Uwaziri mkubwa tu 😃
2030 maono ya mkuu Pascal yatatimia, Paul Makonda atagombea uRais wa JMT kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi yaani CCM
Kwa Mungu Hakuna Lisilowezekana
Baadae atateuliwa Uwaziri mkubwa tu 😃
2030 maono ya mkuu Pascal yatatimia, Paul Makonda atagombea uRais wa JMT kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi yaani CCM
Kwa Mungu Hakuna Lisilowezekana