ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
mie mtu wa Konyagi..au Jacky Daniel...cjaziona
hata John Walker BLUE LABEL na GOLD LABEL sijaziona ........
MP.
mie mtu wa Konyagi..au Jacky Daniel...cjaziona
bebi..mbn hujaiweka Jacky Daniel's...?...wewe unakuja katika Party?..
hata John Walker BLUE LABEL na GOLD LABEL sijaziona ........
MP.
nakuja kwenye party bebii....nivae nini....?
pombe kwa wadada si nzuri kwa afya....hujaziona hapa......
Karibu yakhe....kuna Bacardi Limon, Patron Tequila, na mazagazaga mengine bwerere. Jiachie kama uko kwako.
hata John Walker BLUE LABEL na GOLD LABEL sijaziona ........
MP.
kitaka mneli muone Kongosho.
U
vijiti vipo...si mchezo...kitu cha arusha..
Ukitaka mneli muone Kongosho.
hujaziona hapa......
...Mh..Nimeziona mamaa nchagulie moja njoo huku kwenye kagiza cha uchokozi tunywe wote .......
pombe kwa wadada si nzuri kwa afya....
Mi sijiskii kuparty... nimefurahia sana lakini najiskia sad kwa mbali tu, sijui kwa nini...si sana Yo Yo.....tukio la namna hii linahamasisha.....hasa vijana wakikutana.......
Mi sijiskii kuparty... nimefurahia sana lakini najiskia sad kwa mbali tu, sijui kwa nini...