Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Mkuu, una uhakika na unayoyasema?
Mkuu jaribu kufuatilia record za hao watu kama wana bussiness sehemu au wanajihusisha na deal za tamaa utakuta weupeeeeee.
Mkuu, una uhakika na unayoyasema?
...kingunge mbona ana matatizo kiasi hiki! Huyu si ndio anaendesha pia ile parking system? Ndio maana anachukia watu wanaopinga mafisadi,ni fisadi namba moja, na tatizo kuwa busara kwake kwake zinapungua badala ya kuongezeka kama tunavyodhani wazee wana busara,lakini kwa huyu ni tofauti. Kwanza ana ushauri mbovu kwa jk, pili anatetea ufisadi (rejea alivyopinga kuwepo kwa ufisadi bot), nadhani pia ndio mzee wa fitina ccm (rejea alivyowapinga akina warioba na bujiku). Naomba mwenye mazuri yake ayaweke hapa, so far record yake haionyeshi!
Rekodi za mapato yao yote tangu walipokabidhiwa rasmi kuendesha kituo hicho zipitiwe na wakaguzi na warudishe mapato ambayo yanastahili kwa halmashauri ya jiji ambayo ni lazima yatakuwa zaidi ya shilingi milioni 1 kwa siku.
Jiji halina fedha za kufanya mambo mbali ya kuboresha huduma mbalimbali za jiji, wakati huo huo kuna watu wanapewa mikataba ya kifisadi.
Kwenye magazeti ya leo familia ya Kingunge wamejitetea kuwa wanapata hasara siku ambazo madaraja huzunjika kwa mvua na kusababisha mabasi kutosafiri.My take: hii ni 'very weak excuse' na hutokea mara 1 kila baada ya miaka hata 5 na kwa njia 1 tu ya arusha/moshi au singida/mwanza.
Unamaanisha nini? Ina uhusiano gani na ufisadi?
pinda aumbua familia ya kingunge
2009-03-13 14:17:27
na restuta james
waziri mkuu mizengo pinda ameshuhudia mkataba mbovu unaonukia ufisadi katika kituo kikuu cha mabasi cha ubungo (ubt), jijini dar es salaam.
ufisadi huo unafanywa kupitia mkataba uliofikiwa kati ya halmashauri ya jiji la dar es salaam na mkandarasi, kampuni binafsi ya smart holdings, inayomilikiwa na familia ya mbunge wa kuteuliwa na rais, kingunge ngombale-mwiru.
katika taarifa yake, izumbe alisema kwa mujibu wa mkataba, mkandarasi huyo hutoa sh. Milioni 1.5 kwa halmashauri ya jiji kwa siku, taarifa iliyomshangaza pinda na kumfanya ahoji: ``hata kama anakusanya sh. Bilioni 1 anatoa sh. Milioni 1.5? Na kwa nini mkataba utamke shilingi badala ya asilimia?`` [/b]
kutokana na hali hiyo, pinda aliiagiza halmashauri ya jiji na halmashauri ya manispaa ya kinondoni kuupitia upya mkataba huo ili kuondoa maswali yasiyokuwa na majibu.
Source: Nipashe [/color]
Huyo mama hana aibu na wala hatosheki ! Huyo mzee ameshakua mtu mzima, haongei wala hafurukuti mbele ya mkewe. "National Parking solutions" wanakusanya pesa mpaka vichochoro vya kariakoo, mpaka mbele ya nyumba za watu, ardhi yote ya DAR imekuwa shamba lake, utafikiri ametoka nayo BK ! isitoshe, ana mtoto mmoja tuu, na yeye kazeeka, hizo hela zote atazipeleka wapi ??????????????? TAMAA GANI HIYO !!!!!!!!!!!!!!
Rekodi za mapato yao yote tangu walipokabidhiwa rasmi kuendesha kituo hicho zipitiwe na wakaguzi na warudishe mapato ambayo yanastahili kwa halmashauri ya jiji ambayo ni lazima yatakuwa zaidi ya shilingi milioni 1 kwa siku.
Jiji halina fedha za kufanya mambo mbali ya kuboresha huduma mbalimbali za jiji, wakati huo huo kuna watu wanapewa mikataba ya kifisadi.
"We cannot tolerate such investors� such contracts are unbearable and can�t be entertained any more, let�s be serious so that we don't loose revenues in the hands of few individuals," said Mr Pinda.