Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Ulishawahi kuwaona wanajeshi kwenye halfa za ikilu wakiwa wamevalia kijeshi as in vitani?
Kwa pale nje wanakuwapo. Zingatio rais akiwa ule upande wa bahari
Ulishawahi kuwaona wanajeshi kwenye halfa za ikilu wakiwa wamevalia kijeshi as in vitani?
Yeye kama Rais tunayemwamini anajua na inatosha, au ulitaka watanzania wote milioni 60 tukaingie Ikulu ya Paris kusikiliza wanachoongea? Acha ujingaSawa picha tumeziona ila yaliyojadiliwa ndio hatuyajui.
Sio kweli fuatilia vizuri kwetu wanavaa ceremonial dress nyukundu.
Mjinga ni wewe ambaye hujui kuwa sisi raia ndio mabosi wake na tuna kila haki ya kujua yanayojadiliwa maana nchi ni yetu hii.Yeye kama Rais tunayemwamini anajua na inatosha, au ulitaka watanzania wote milioni 60 tukaingie Ikulu ya Paris kusikiliza wanachoongea? Acha ujinga
Hiyo ni kati ya Ikulu inayolindwa zaidi duniani, hela nyingi mnoo inatumika kuilinda hiyo Ikulu! Wanausalama kuzunguka or kutozunguka ni kwamba kila nchi ina style yake ya ulinzi, hakuna shida yeyote kama tumeamua wanausalama kuzunguka katika Ikulu yetu, inakupunguzia kula hiyo?Na wale usalama wanao zunguka zunguka wengi kama vile hakuna amani
Jinga kabisa, nini maana ya kuchagua wawakilishi? Kama unataka kujua kila kitu haina haja ya kuchagua viongozi, tuishi kama wanyamaMjinga ni wewe ambaye hujui kuwa sisi raia ndio mabosi wake na tuna kila haki ya kujua yanayojadiliwa maana nchi ni yetu hii.
Kujadili jambo na wajinga ni kazi mno maana unaweza jikuta unafungua darasa badala ya kuendelea na mjadala.Jinga kabisa, nini maana ya kuchagua wawakilishi? Kama unataka kujua kila kitu haina haja ya kuchagua viongozi, tuishi kama wanyama
Mh. Samia ni rais tayari. Huko kwenye presidential material keshavuka. Rais hawezi kuwa presidential material, ni finished product.Hongera HE Samia hakika wewe ni presidential material
Wetu ana hijabu,ni ngumuKupenda wanawake wazee.
Unataka watanzania milioni 60 wote twende Ikulu Paris kusikiliza wanajadili nini? Subiri Zuhura atakuambia wamejadili nini! Acha genye mshindoKujadili jambo na wajinga ni kazi mno maana unaweza jikuta unafungua darasa badala ya kuendelea na mjadala.
Jifunze kwana maana ya "mwakilishi" au "representative" uzijue sifa zake, majukumu na mipaka yake.
Halafu uje tujadili.
Kuomba apige picha za kuweka kwenye magazeti ya keshoRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée leo Februari 14, 2022
Rais Samia yupo Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi. Akiwa huko pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo
View attachment 2119323
View attachment 2119324
View attachment 2119325
View attachment 2119326
Mama endelea kuupiga nwingi, uchungu tayari hukuu,....huyu anazaa (siyo kujifungga) sasa hivi!!!Ukiwa mjinga ukaona hiyo suti aliyovaa Jumong unaweza kufikiri kuwa nchi ina Rais.
Jana niliona huku jf kua kaomba mkopo wa kumlizi ujenzi wa mwendo kasiMjinga ni wewe ambaye hujui kuwa sisi raia ndio mabosi wake na tuna kila haki ya kujua yanayojadiliwa maana nchi ni yetu hii.
Tumeacha madini yamejaa ardhini tumeenda kukopa.Jana niliona huku jf kua kaomba mkopo wa kumlizi ujenzi wa mwendo kasi
Uki kopa si una rudisha kwani ni msaada? Madini utachimbaje huna utaalamu wala mtaji? Kumbuka mwendo kasi uta rahisisha usafiri na kuchochea ukuaji wa uchumi na uchumi ukikua tutachimba hayo madini wenyeweTumeacha madini yamejaa ardhini tumeenda kukopa.
Funguka yakumtongoza na kumuoa kibibi ambaye ni mwalimu wake au unasema yakupigwa kibao na raia.....punguza huo upana wako ,Bibi yetu Yuko imaraHuyu Macron anahistoria fulani maarufu duniani hapa, very interesting.. Ngoja tusubiri.
Mwaka wa 61 huu bado sisi ni omba omba.Uki kopa si una rudisha kwani ni msaada? Madini utachimbaje huna utaalamu wala mtaji? Kumbuka mwendo kasi uta rahisisha usafiri na kuchochea ukuaji wa uchumi na uchumi ukikua tutachimba hayo madini wenyewe
Geopolitics ya hizo nchi ni tofauti na sisi. Ila naheshimu mawazo yakoMwaka wa 61 huu bado sisi ni omba omba.
korea ya kusini, Malaysia na nyinginezo tulikua tunalingana nazo kwa sasa wametuacha mbali.
Sisi tumebakia na IF IF IF .
Hiyo ni kati ya Ikulu inayolindwa zaidi duniani, hela nyingi mnoo inatumika kuilinda hiyo Ikulu! Wanausalama kuzunguka or kutozunguka ni kwamba kila nchi ina style yake ya ulinzi, hakuna shida yeyote kama tumeamua wanausalama kuzunguka katika Ikulu yetu, inakupunguzia kula hiyo?