Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Tofauti yao na sisi ni kuwa wao wanafanya mambo kwa malengo. Sisi siasa nyingi.Geopolitics ya hizo nchi ni tofauti na sisi. Ila naheshimu mawazo yako
Wamekopa kimkakati na kufanyia mambo ya muhimu sasa wameondokana na mikopo ya lazima wanakopa wakiona kuna uhitaji.
Sisi bila kukopa mambo hayaendi.
Na bado tumewazidi kwa rasilimali.
Huoni kwamba sisi tuna matatizo makubwa sana??