Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,659
- 68,625
Daah bado nafikiria ni shetani gani kafa juzi
au usikute ni yule mkuu wa nchi
Daah bado nafikiria ni shetani gani kafa juzi
au usikute ni yule mkuu wa nchi
hatariiikumekucha
🤣🤣🤣🤣🤣Matoto ya kuzimu bana
Ni hatari brain programmingMind shifting
🤣🤣🤣🤣🤣 shetanu gani huyo kafa juzi juziMichael Jackson umetuzalia shetani pepo mchafu.
Shetani mmoja kafa juzi, mwanao anamrithi
Ni hatari sanaBora watoe na hii movie ili wazidi kuwachanganya wajinga zaidi. Maana kiasi hiki cha muigizaji wa Hollywood kubandikwa picha yake kwenye baadhi ya nyumba kuwa tukiamin ndo yesu dah ni shida. Yesu mwenyewe huko aliko nadhan anaumia sana
🤣🤣🤣🤣🤣 daahShing'weng'we, ibututu, setano yaani shetani muovu kuliko wote.
Alipigwa upper cut moja na covid....
aiseeeeWatu wakimdhihaki Mungu usipaniki acha Mungu ajitetee mwenyewe.Kwani Mungu hawezi kujitetea yeye mwenyewe?Yaani Mungu amuumbe binadamu kwa mikono yake mwenyewe kisha ashindwe kumdhibiti?Mimi nashauri wacheze pia filamu inayoonyesha kuwa Yesu na Mungu ni mashoga.
kwa kweliiiWakiamua wanaweza coz hata historia za dini zilizopo leo walitupatia wao..
Daa Mkuu umevuka mipaka asee,Watu wakimdhihaki Mungu usipaniki acha Mungu ajitetee mwenyewe.Kwani Mungu hawezi kujitetea yeye mwenyewe?Yaani Mungu amuumbe binadamu kwa mikono yake mwenyewe kisha ashindwe kumdhibiti?Mimi nashauri wacheze pia filamu inayoonyesha kuwa Yesu na Mungu ni mashoga.
Sijavuka mpaka wowote,kwani siyo sahihi kusema kuwa Mungu ana uwezo wa kujitetea mwenyewe akidhihakiwa?Daa Mkuu umevuka mipaka asee,
Na wanapiga pesa ndefu sanaaaAlianza yule wa kiatu cha shetani wameona haitoshi wanakuja na filamu kitakachoshangaza nikwamba unaweza kuta copy zote zitaisha siku moja
Aliyegundua pesa ndio ameleta yote haya
kweliiDunia hii ina wenyewe
Aiseeemtu mwenyewe alitungiwa mimba kwenye chupa sijui mbegu ilichukuliwa kwa mzungu jamaa kainunua akaenda kuitupia kwenye nyuchi ya mzungu, unafikiri akizaliwa akili zake zinakuwa sawa? hapa duniani kuna mashetani wengi tu ambao wamezaliwa sio kwa utaratibu wa kiMungu na sio wanadamu sawa na sisi wengine.