King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,641
Legrande Mupao! Suveree anashikiliwa na kituo cha polisi cha magomeni kwa tuhuma za mauaji.
Source:magazeti ya leo
Source:magazeti ya leo
Yaani wanamkamata baada ya kuona kuwa amefilisika?
Jamaa kaua watu wengi sana kwa namna tofauti
Iweke vizuri hii habari, wengine tupo mkoani..
Papaa Msofe ni tapeli mmoja maarufu sana ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake. Kimsingi dola ya Tanzania kaiweka viganjani mwake.
Mihuri ya Ikulu na wizara mbalimbali kwake utapata...na akishakufanyia utapeli,nenda kashitaki popote wala hutapata haki maana ni mmoja kati ya wale watanzania wachache walio juu ya sheria
Friimasoni!
Legrande Mupao! Suveree anashikiliwa na kituo cha polisi cha magomeni kwa tuhuma za mauaji.
Source:magazeti ya leo
Papaa Msofe ni tapeli mmoja maarufu sana ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake. Kimsingi dola ya Tanzania kaiweka viganjani mwake.
Mihuri ya Ikulu na wizara mbalimbali kwake utapata...na akishakufanyia utapeli,nenda kashitaki popote wala hutapata haki maana ni mmoja kati ya wale watanzania wachache walio juu ya sheria
Dr jamani dr.....friimasoni tena???
Itakuwa jamaa wamekosea kuripoti, PPMuso hawezi kushikwa na polisi, atakuwa anaisaidia tuu polisi na by leo atakuwa huru.Papaa Msofe ni tapeli mmoja maarufu sana ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake. Kimsingi dola ya Tanzania kaiweka viganjani mwake.
Mihuri ya Ikulu na wizara mbalimbali kwake utapata...na akishakufanyia utapeli,nenda kashitaki popote wala hutapata haki maana ni mmoja kati ya wale watanzania wachache walio juu ya sheria
Yaani wanamkamata baada ya kuona kuwa amefilisika?
Jamaa kaua watu wengi sana kwa namna tofauti