kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
ni kazi ngumu sana kuikausha bahari
mkuu hapo kwa alex massawe sidhani kama ni sawa ndio ni marafiki na msofe ila wamekutana juzi tu miaka ya 2006 ila michezo yao tofauti kabisa....Papaa yeye ni conman na swindler while Mzee alex ni Retired Gangster....
ni kweli ...je unajua tofauti ya mwizi na tapeli? au mtu mdhalimu ?mi naona kama ni watu wa fani moja ila categories tofauti ni kama wote muwe mnaitwa engineers lakini mmoja ni Civil Engineer na mwingine ni Software engineer..
Thank you mkuu!!
Ila bado hatujajua kakamatwa kwa kufanya mauaji gani..
aika mbeHapo nimekuelewa mkuu
Wiki iliyopita kuna mchimbaji mwenzetu wa Tanzanite anaitwa Onesmo Kituli alipigwa risasi kwenye nyumba alakipanga Dar na amezikwa Singida juzi.
Haya mauaji yanaweza kuwa yamefanywa na Alex Massawe kwe Kushirikiana na Papa Msofe kwani walikuwa na kesi mahakamani kuhusu nyumba ya Kituli aliyodhulumiwa na Massawe alafu akauziwa Msofe na Massawe. mwenendo wa hii kesi ilionyesha wazi kabisa kuwa Kituli atashinda. Naona jamaa wakaamua kuchukua kazi ya mungu ya kutoa roho ya Mchimbaji ili waidhulumu mali ya jamaa.
Lakini wakumbuke kuwa malipo ni hapa hapa duniani.
Mungu ailaze mahala pema roho ya Onesmo Kituli
Hebu tuambianage, ni nani hasa mutu hii? Si ni mutu ya Mobutu hiyo? Serikali hata Ikulu iko kiganjani mwake, hata JK?
Huyu ndo "mtoto wa ndama"?
Oh!lol!huyo huyo "ndama mtoto wa ng'ombe".Haya majina bana,hivi kuna mtoto wa ng'ombe ambaye si ndama?Kwenye hii kesi kwa bongo huyo Legrande Mupao wala hana kesi.Sanasana polisi watataka kula kidogo,basi.Unless aliuwa yeye mwenyewe ndo watakula zaidi..Hapana huyu ni Legrande Mupao suvereee mwokonzi Papa musofe mutu ya pakee,mutu ya pesa mingi......Ndama mutoto ya ngombe na musofe ni category hyo hyo ya wapigaji(conmen),matapeli wa mujini!
First person on the right..........
Teh teh teh...jamaa huwa anachagua mtu wa kumsalimia. Siamini kama atakaa polisi huyu. Anaendesha magaro yote latest na watu wanapenda sana lift...teh teh teh
Pinda alisema mtu kama huyu akifungwa nchi itayumba !