Papa Francis asema kuipa silaha Ukraine inakubalika kimaadili lakini majadiliano ni muhimu

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,374
11,270
Hatari sasa inakuja baada ya papa Francis kutoa tamko kuwa ni jukumu la nchi kuipatia Ukraine silaha ili ijikomboe kutokana na uvamizi wa Urusi.

Hayo aliyasema juzi kwa waandishi wa habari akiwa kwenye ndege yake kutokea ziarani nchini Kazakhstan.

========

Jana Alhamis Papa Francis amesema inakubalika kimaadili kwa mataifa kuipa silaha Ukraine ili kuisaidia nchi hiyo kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi.

Akiwa kwenye ndege kutoka kwenye ziara ya siku tatu nchini Kazakhstan, Papa Franscis ameihimiza Kiev kufungua mazungumzo japokuwa yanaweza 'kunuka' kwasababu itakuwa ngumu kwa upande wa Ukraine.

"Kujilinda sio tu haikatazwi bali pia ni kuonesha upendo kwenye ardhi yako. Mtu ambaye hajilindi na halindi chochote, hakipendi. Wale wanaolinda chochote wanakipenda" Alisema Papa

KUHUSU MAZUNGUMZO
Siku zote huwa ni ngumu kuelewa mjadala na nchi ambayo imeanza vita, ni ngumu lakini wazo halitakiwi kutupwa. Siwezi kuondoa wazo la mjadala na mamlaka yoyote iliyo vitani, hata kama na mchokozi

CHANZO: Reuters

1663305612082.png
 
Ukishaona mpaka Pop ambaye ni kiongozi wa juu wa dini anapendekeza silaha nzito zipelekwe uwanja wa vita ili kupata suluhu

Basi unabidi utafakari mara mbili kuhusiana na habari za Malaika wa vita ambazo umekuwa ukihubiriwa
 
Hatari sasa inakuja baada ya papa Francis kutoa tamko kuwa ni jukumu la nchi kuipatia Ukraine silaha ili ijikomboe kutokana na uvamizi wa Urusi.

Hayo aliyasema juzi kwa waandishi wa habari akiwa kwenye ndege yake kutokea ziarani nchini Kazakhstan.

========

Jana Alhamis Papa Francis amesema inakubalika kimaadili kwa mataifa kuipa silaha Ukraine ili kuisaidia nchi hiyo kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi.

Akiwa kwenye ndege kutoka kwenye ziara ya siku tatu nchini Kazakhstan, Papa Franscis ameihimiza Kiev kufungua mazungumzo japokuwa yanaweza 'kunuka' kwasababu itakuwa ngumu kwa upande wa Ukraine.

"Kujilinda sio tu haikatazwi bali pia ni kuonesha upendo kwenye ardhi yako. Mtu ambaye hajilindi na halindi chochote, hakipendi. Wale wanaolinda chochote wanakipenda" Alisema Papa

KUHUSU MAZUNGUMZO
Siku zote huwa ni ngumu kuelewa mjadala na nchi ambayo imeanza vita, ni ngumu lakini wazo halitakiwi kutupwa. Siwezi kuondoa wazo la mjadala na mamlaka yoyote iliyo vitani, hata kama na mchokozi

CHANZO: Reuters

View attachment 2358331
Hivi haya maneno mbona hatuyasikii kwenye uvamizi wa Islaer kule Palestina? Kumbe Palestina nae anahaki ya kujilinda? Kwanini hamkemei?
 
Ukishaona mpaka Pop ambaye ni kiongozi wa juu wa dini anapendekeza silaha nzito zipelekwe uwanja wa vita ili kupata suluhu

Basi unabidi utafakari mara mbili kuhusiana na habari za Malaika wa vita ambazo umekuwa ukihubiriwa
Mbona jibu lako halina logical connection na kilichoandikwa.
 
Hatari sasa inakuja baada ya papa Francis kutoa tamko kuwa ni jukumu la nchi kuipatia Ukraine silaha ili ijikomboe kutokana na uvamizi wa Urusi.

Hayo aliyasema juzi kwa waandishi wa habari akiwa kwenye ndege yake kutokea ziarani nchini Kazakhstan.

========

Jana Alhamis Papa Francis amesema inakubalika kimaadili kwa mataifa kuipa silaha Ukraine ili kuisaidia nchi hiyo kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi.

Akiwa kwenye ndege kutoka kwenye ziara ya siku tatu nchini Kazakhstan, Papa Franscis ameihimiza Kiev kufungua mazungumzo japokuwa yanaweza 'kunuka' kwasababu itakuwa ngumu kwa upande wa Ukraine.

"Kujilinda sio tu haikatazwi bali pia ni kuonesha upendo kwenye ardhi yako. Mtu ambaye hajilindi na halindi chochote, hakipendi. Wale wanaolinda chochote wanakipenda" Alisema Papa

KUHUSU MAZUNGUMZO
Siku zote huwa ni ngumu kuelewa mjadala na nchi ambayo imeanza vita, ni ngumu lakini wazo halitakiwi kutupwa. Siwezi kuondoa wazo la mjadala na mamlaka yoyote iliyo vitani, hata kama na mchokozi

CHANZO: Reuters

View attachment 2358331
Hapa naona papa Kakosea,alitakiwa ajikalie Kimya. Kiongozi wa Kiiman Kama yeye Ni hatari kujiinguza kwenye masuala ya kisiasa Kama haya.

Mimi naunga mkono kabisa Ukraine apewe Silaha nzito hata Kama Ni Makombora ya Nyuklia ya Masafa Marefu Ni Sawa TU.
 
Back
Top Bottom