Panya Road wavamia Chamazi

Panya Road wavamia Chamazi

Mafunzo ya nn,itapelekea kuongezeka kwa matukio ya uhalifu.
Na ndio maana ukichunguza kiundani utagundua wengi wa Majambazi, utakuta walikuwa Wanajeshi, Polisi au wengine bado wanalitumikia Taifa lakini kuna baadhi ya matukio ya Ujambazi wanashiriki.

Mtu wa kawaida hasiewahi kupitia mafunzo ya Kijeshi, hana ujanja wa kutumia AK
 
Kukosekana kwa ajira ni kisingizio tu maana kuna vijana wengi waliojiajiri kwenye ukusanyaji wa taka majumbani, ufundi wa ujenzi, bodaboda, kilimo cha mboga mboga na hata uchuuzi wa bidhaa wa nyumba kwa nyumba, kwani wao wana nini mpaka wasifikirie kufanya shughuli kama hizo zisizohitaji mitaji mikubwa wala elimu ya ajabu? Ukitaka kujua kuwa hao ni wendawazimu, wapatie ajira rasmi kama watadumu nayo. Wengi wana tamaa ya maisha wasiyoweza kuyamudu na utajiri wa ghafla.
Umemaliza.

Hiyo ni sawa na Mwanamke anaejiuza Mwili wake kwa kisingizio cha Ajira, Maisha magumu.

Hakuna cha Maisha magumu wala nini, ni Tamaa, na Hulka ya Kimalaya.

Sikatai, wauza Uchi wanatusaidia sana, kuna wakati unajisikia hamu ya kununua Uchi, sawa.

Ila tukija kwenye ukweli, ni kujiendekeza kwao na kutaka Pesa ya haraka.

Jamani, ila sio siri, kununua Uchi kuna raha yake
 
--SEREKALI IACHE KULEA UGONJWA HUU / HII NI HATARI SANA./ INTELEGENSIA ITAPAKAE KATIKA KILA KITONGOJI HASA PEMBEZONI MWA JIJI FOR SPECIAL ALERTS./
MF./ MBAGALA PAWE SPECIAL RESPONSE UNITY.AMBAO WATAKUWA INFORMED KULINGANA NA UNITY ALERT ZITAVYOKUA ZINARIPOTI.
Nashauri;-
kwa ukubwa wa wilaya ya temeke na jamii ya watu waliopo
mbagala ilistahili kituo kikubwa cha kipolisi./
 
Ni kweli. Hili kundi hata sijui limeibukaje wakati Dar ilikuwa imenza kuwa tulivu. Serikali inapaswa kuwapa wananchi mafunzo ya kijeshi na kuwamilikisha silaha kwa ajili ya kujilinda na makundi ya kipuuzi kama hili la Panya Road.
Sasa ukiwamilikisha silaha sindio uhalifu utaongezekaa
 
Mkuu kwann huku mbezi beach hawaji? Huku si ndio kwa matajiri? Waje hapa tangi bovu kwa chini..tena huku hamna ujirani kila mtu na geti lake? Wakija ni kukata na kuiba tu...kwann wanaiba uswahilini ..? Nawakaribisha mbezi beach....huku kuna wanaume wa dar tu lege lege na watoto wa mama! (Kama wa mkoani wanavyosema)

Glock 17
Berretta
Pump Action
.45 colt

And so forth..
Karibuni tunawasubiri.
Yaani we badala ya kuprevent uhalifu unachocheaa coconut head
 
badala ya serikali ya CCM kulazimisha kuwapima watu UKIMWI nyumba kwa nyumba, ni wakati mwafaka wa kugawa silaha nyumba kwa nyumba kwa ajili ya wananchi kujilindia dhidi ya genge hili la panya road.
[HASHTAG]#tpaul[/HASHTAG] kugawa silaha ni kuchochea matatizo zaidi katika jamii. Check Marekani wanavyoexperience mauaji mfululizo kutokana na kuzagaa kwa silaha kwenye mikono ya raia wajinga na matahira. Bifu kidogo tu watu wanalipuana.

Hapa Bongo tumeshuhudia wajinga wenye silaha za kisasa (sio mapanga, mikuki au visu) wakizitumia vibaya kwenye public. Mtu akiwa na Bastola basi kila mtu atajua na mkizinguana anatishia kukupiga risasi.

Sasa ndugu yangu watu wa namna hiyo wako wengi sana na wote wakipewa silaha itakuwa hatari sana.

Mtazamo tu.
 
mkuu sijakuelewa bado. wewe unataka tumilikishwe silaha za jadi badala ya kumilikishwa silaha nzito? hujui kuwa panya road wanatumia silaha za jadi kuwadhuru raia?
Kuna principle inaitwa proportionality. Kwamba kama adui anatumia jiwe na wewe tumia jiwe, kama natumia fimbo na wewe tumia fimbo, kama anatumia panga na wewe hivyo hivyo ili hata kama ukishtakiwa ujitetee ulikuwa unajiokoa.

Huwezi kumilikishwa silaha nzito labda kama unataka kuhalalisha ujambazi wako
 
Uwezo mdogo wa kiakili wa jeshi la police hasa makamanda yaani viongozi wa juu wa jeshi la police ndiyo sababu ushauri JPM piga chini maafisa wote wa ngazi za juu tusilee upuuzi
 
Mtukufu Rais usiyejaribiwa vipi tena mbona hivi vitoto vinakujaribu?
We mwehu niache niendelee kula kuku na juisssi baridi mjengoni usiniambie mambo ya kijinga mm nimtu mkubwa sawa *ila ukisikia panya rodi wa ukawa au ukuta wanadai haki na kuandamana kwa amani nijulishe haraka nitumie vikosi vyote sungusungu mgambo ffu zimamoto jwtz anga jwtz ardhi jwtz nave jwtz komando * sijaribiwi
 
Nadhani pale Chamazi kuna kituo cha polisi. Vipi huna namba zao uwapigie wachukue hatua za haraka? Hilo eneo la Muhimbili hakika ni hatarishi sana. Lipo wazi kwa vile halijajengwa ijapokuwa limezungukwa na makazi ya watu. Nakumbuka pia jirani na hilo eneo kuna Bar nadhani inaitwa Last Card. Mliopo Chamazi mtanisahihisha
last card ipo mwanzon kabl hujafik muhimbili
 
Wanaume mnahamasishana kufunga milango.Kweli tumefika hapa???
 
Serikali itoe elimu uhswahilini mabint waache kuzaa hovyo..yani uipita mtaani vitoto vimezaa vitoto.. Yani kama panya.
 
Kuna principle inaitwa proportionality. Kwamba kama adui anatumia jiwe na wewe tumia jiwe, kama natumia fimbo na wewe tumia fimbo, kama anatumia panga na wewe hivyo hivyo ili hata kama ukishtakiwa ujitetee ulikuwa unajiokoa.

Huwezi kumilikishwa silaha nzito labda kama unataka kuhalalisha ujambazi wako
Ama! Kwa hiyo mkuu unashauri nasi tujilinde kwa kutumia panga, visu na nondo kama panya road? You cant be serious dude
 
Mzunguko mdogo wa hela mitaani ni moja ya kichocheo cha matukio haya.

Kwa mtazamo wangu,hawa ni vijana waliokata tamaa ya maisha na wako tayari kwa lolote kwani wanaona hawana cha kupoteza.
Siungi mkono hoja yako, cos ujinga huu ulianza miaka kumi iliyopita
 
Serikali itoe elimu uhswahilini mabint waache kuzaa hovyo..yani uipita mtaani vitoto vimezaa vitoto.. Yani kama panya.
Mkuu umesahau dr Makufuri ndiye anayewahimiza watu wazae kwa bidii ili watoto wao wasome bure?
 
Nadhani pale Chamazi kuna kituo cha polisi. Vipi huna namba zao uwapigie wachukue hatua za haraka? Hilo eneo la Muhimbili hakika ni hatarishi sana. Lipo wazi kwa vile halijajengwa ijapokuwa limezungukwa na makazi ya watu. Nakumbuka pia jirani na hilo eneo kuna Bar nadhani inaitwa Last Card. Mliopo Chamazi mtanisahihisha
ww huna akili ccm ndoo chanzo cha haya na ww ukiwemo
 
Mwaka 2001 kule Charambe kuna watoto walikua wanajiita Manchester walizingua sana kama panya road siku moja wakajichanganya wakamuua jamaa mmoja wale wanachimba mchanga(fukufuku) unaambiwa kundi la wachimba mchanga wakiwa na maserela(malori ya mchanga) wakaibuka Charambe nyumba hadi nyumba ambayo wale watoto wa Manchester wanaishi kikatembea kifinyo kwa watoto na wazazi wengi walipelekwa pale Kilwa road kituoni wengine wakakimbia na mpaka leo sidhani kama lile kundi lipo.
 
Ama! Kwa hiyo mkuu unashauri nasi tujilinde kwa kutumia panga, visu na nondo kama panya road? You cant be serious dude
Sasa kama hutaki kumiliki kitu kinachoruhusiwa, kwa nini udai kumilikiswa smg, g3, ak47, rpg, rocket longer n.k? Huoni unahalalisha ujambazi wako? Miliki silaha za jadi na zingatia uwiano wa adui basi
 
498cd796f2b93ec9c57aa3aa8ea03f69.jpg
8e1d7ec58d5749428ceafb824a9f4bb1.jpg
 
Back
Top Bottom